Simulizi wanayopitia wanafunzi wanaotembea umbali mrefu kwenda shule – 1
Bagamoyo. Pamoja na jitihada za Serikali za kujenga shule za sekondari katika kila kata nchini, uchunguzi wa Mwananchi umebaini kwamba baadhi ya wanafunzi bado wanatembea umbali mrefu kwenda shule na kurudi nyumbani. Shule hizo, pamoja na nyingine, ziliwekwa ili kuhakikisha kila mtoto wa Kitanzania, hasa walioko vijijini, anapata fursa ya elimu ya sekondari karibu na…