Mkakati wa kuboresha miundombinu ya Tanzania

Dar es Salaam. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ametangaza mpango kabambe wa kuboresha miundombinu ya usafirishaji kwa njia ya barabara utakaorahisisha usafiri, kuongeza ufanisi na kukuza pato la Taifa. Mpango huo unaoitwa ‘Expressways Master Plan’ umeanza kutekelezwa na wataalamu wazalendo wa Tanzania kwa ushirikiano na wenzao kutoka Korea Kusini. Akizungumza na waandishi wa habari leo…

Read More

UWEKEZAJI WA SAMIA KWENYE SAYANSI NAENDELEA: WANAFUNZI 16 KUSOMEA DATA SCIENCE NA AI AFRIKA KUSINI

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeanza utekelezaji kwa vitendo wa agizo la Rais Samia Suluhu Hassan la kuwekeza kwenye sayansi na teknolojia, baada ya kuwaaga wanafunzi 16 waliopata ufadhili wa masomo ya juu nje ya nchi kupitia mpango wa ‘Samia Scholarship’ Wanafunzi hao wanaelekea katika Chuo Kikuu…

Read More

Amcos zisizozalisha kilo 10,000 za pamba kufutwa

Mwanza. Vyama vya msingi vya ushirika (Amcos) vitakavyoshindwa kuzalisha angalau kilo 10,000 za pamba kwa mwaka vitafutwa kuanzia msimu ujao, ikiwa ni mkakati wa Serikali kupunguza vyama visivyo na tija na kuimarisha uzalishaji wa zao la pamba mkoani Mwanza. Kauli hiyo imetolewa leo Ijumaa Januari 30, 2026 na Mrajisi Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa…

Read More

Tume yakutana na mashirika yasiyo ya kiserikali

TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Januari 30, 2026, imekutana na viongozi wa mashirika yasiyo ya kiserikali. Mkutano huo wa Tume na viongozi hao umefanyika katika Ukumbi wa Tanganyika uliopo katika ofisi za Benki Kuu ya Tanzania (BoT) jijini, Dar…

Read More

Tume yakutana na Wakili Peter Madeleka

TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Januari 30, 2026, imekutana na Wakili wa kujitegemea Peter Madeleka. Mkutano huo wa Tume na Madeleka umefanyika katika Ukumbi wa Tanganyika uliopo katika ofisi za Benki Kuu ya Tanzania (BoT) jijini, Dar es Salaam….

Read More