Maxime asema uzembe umewaponza kwa Singida

DODOMA Jiji jana ilipokea kipigo cha mabao 2-1 kikiwa ni cha sita katika Ligi Kuu Bara kutoka kwa Singida United, lakini kocha wa kikosi hicho amekiri wameangushwa na uzembe walioufanya wachezaji dakika 20 za mwanzo kwenye Uwanja wa Liti, mjini SIngida ulipochezwa mchezo huo. Elvis Rupia alifunga mara mbili dakika ya nane na 15 iliyotosha…

Read More

Wanandoa waburutwa ofisi ya kata kwa ukatili wa mtoto

Dodoma. Wanandoa wamefikishwa katika ofisi ya Kata ya Tambukareli, jijini Dodoma, wakikabiliwa na tuhuma za kumjeruhi mtoto wa miaka minne, tukio ambalo limesababisha mtoto huyo kushonwa nyuzi tisa kichwani. Akizungumza leo Aprili 12, 2025, Mjumbe wa Serikali ya Mtaa wa Tambukareli, Zamaradi Kaunje amesema alipata taarifa ya tukio hilo kupitia wafanyakazi wa taasisi za mikopo walikwenda…

Read More

Matampi, Coastal ngoma bado mbichi

SAKATA la kipa Mkongomani, Ley Matampi na Coastal Union, limeendelea kuchukua sura mpya baada ya nyota huyo hadi sasa kutojiunga na kikosi hicho kilichopo visiwani Zanzibar. Akizungumza na Mwanaspoti, Ofisa Habari na Mawasiliano wa Coastal Union, Abbas Elsabri amesema, Matampi anaweza kukosekana katika mchezo wa kesho wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii, dhidi ya…

Read More

Mpina aliamsha jimboni amtaka DED, DC kurejesha Sh50 milioni za wananchi

Mwanza. Baada ya mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kusimamishwa bungeni, sasa amegeukia jimboni kwake ambako amewavaa Mkuu wa Wilaya ya Meatu Fauzia Ngatumbura na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Meatu, Athuman Masasi kuhusu Sh50 milioni zilizodaiwa kuchukuliwa kwa wananchi waliotozwa faini kwa kutokuwa na vyoo. Mpina amewaka wakuu hao warejeshe fedha hizo zilizodaiwa kuchukuliwa kwa wananchi…

Read More

Mwandishi Mwananchi, Sharon Sauwa afariki dunia

Mwanahabari mwandamizi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Sharon Sauwa amefariki dunia alfajiri ya kuamkia Jumanne Agosti 19, 2025 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili. Baba mzazi wa Sharon, Steven Lamlembe amesema mazishi yatafanyika Agosti 21, 2025 katika makaburi ya Pugu Mwakenga nyuma ya Shule ya Sekondari ya Pugu jijini Dar es…

Read More

Israel military intelligence chief quits over 7 October

ISRAEL: The Israeli military’s intelligence chief has resigned, saying he took responsibility for the failures before Hamas’s attack on Israel on 7 October. The Israel Defense Forces (IDF) said Major General Aharon Haliva would retire once his successor was selected. In a letter, he acknowledged that his intelligence directorate “did not live up to the…

Read More

Wachoma nyama wa Arusha kutumia nishati safi, kuchomea nyama

Arusha. Katika hatua ya kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, wachoma nyama mkoani Arusha wameahidiwa kupewa majiko yanayotumia nishati safi kwa ajili ya kazi yao. Hayo yamesemwa leo Ijumaa Machi 7, 2025 na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda wakati akikagua maandalizi ya nyama choma kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, ambayo kitaifa yatafanyika…

Read More