RAIS WA ZANZIBAR DKT. MWINYI AMEFUNGUA TAMASHA LA MWAKA KOGWA MAKUNDUCHI MKOA WA KUSINI UNGUJA LEO

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kulifungua Tamasha la Mwaka Kogwa Makunduchi lililofanyika katika viwanja vya Kae Kuu Makunduchi Wilaya ya Kusini Unguja leo 16-7-2024 na (kulia kwa Rais) Mwenyekiti wa Kamati ya Mwaka Kogwa.Mwita Masemo Makungu na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja…

Read More

MAJALIWA: VYOMBO VYA HABARI VIJIEPUSHE NA TAARIFA ZA UCHOCHEZI

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezitaka mamlaka zinazohusika na usimamizi wa sekta ya habari ziendelee kusimamia vyombo vya habari vizingatie maadili na kujiepusha na uchapishaji wa taarifa na picha zinazochochea uvunjaji wa maadili, mila na desturi za Kitanzania. Pia, Waziri Mkuu amesema Serikali itaendelea kushirikiana na wadau wa habari za mitandao ya kijamii na vyombo vya…

Read More

Mbadala wa Aucho huyu hapa

YANGA wameanza mapema kukifanyia maboresho kikosi chao kuelekea msimu ujao, baada ya kupiga hodi kuulizia huduma ya kiungo mkabaji, Yusuph Kagoma kama mbadala mpya wa staa wao, Khalid Aucho. Kagoma ni kati ya viungo wakabaji wazawa wanaofanya vizuri katika Ligi Kuu Bara ambapo msimu huu amekuwa akiitumikia Singida Fountain Gate aliyojiunga nayo kipindi cha usajili…

Read More

Vyama vya siasa Mwanza vyaiomba INEC posho ya mawakala

Mwanza. Baadhi ya vyama vya siasa mkoani Mwanza, vimeiomba Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kuangalia uwezekano wa kugharamia posho kwa ajili ya mawakala wa vyama hivyo, wakati wa uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura. Wakizungumza leo Ijumaa Agosti 9, 2024 kwenye mkutano wa wadau wa uchaguzi kuhusu uboreshaji wa daftari hilo…

Read More

Novatus asaka historia ya Samata Ulaya

MBWANA Samatta anajiandaa kuandikia historia binafsi ya kuwa Mtanzania wa kwanza kushiriki michuano ya Ulaya zaidi ya mara moja baada ya timu yake ya PAOK FC ya Ugiriki kushindwa kufuzu Ligi ya Mabingwa Ulaya na kuangukia katika Europa League msimu ujao, jambo ambalo Mtanzania mwingine Novatus Miroshi anayekipiga Goztepe ya Uturuki anafukuzia pia. Msimu wa…

Read More

BARABARA YA LAMI YA KM 7.7 YENYE THAMANI YA BILIONI 9.3 KUUNGANISHA MIKOA YA SINGIDA-SIMIYU-ARUSHA

  Wakazi wa Wilaya ya Iramba na Mkalama, Mkoani Singida, wanatarajia kunufaika na barabara ya kiwango cha lami inayojengwa kuunganisha mikoa ya Singida, Simiyu, hadi Arusha. Mradi huu, wenye thamani ya shilingi bilioni tisa, umefikia asilimia 65 ya utekelezaji. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry Silaa, ametembelea na kukagua mradi huo…

Read More

ULEGA AENDELEA KUINADI ILANI YA UCHAGUZI MKUU CCM AKIOMBA KURA KWA WANANCHI

Na Mwandishi Wetu,Mkuranga MGOMBEA ubunge Jimbo la Mkurunga mkoani Pwani Abdallah Ulega, ameendelea kuimarisha kampeni zake kwa kunadi Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya Uchaguzi Mkuu 2025-2030 huku akisisitiza dhamira ya chama hicho ni kuendelea kuboresha maisha ya wananchi na ustawi wa maendeleo. Akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo Kata…

Read More

Mabadiliko ya kijamii yanavyochochea mijadala ya malezi

Tunaishi katika nyakati ambazo maarifa kuhusu malezi ya watoto yamepata kipaumbele kikubwa, tofauti na miaka ya nyuma. Pamoja na kuongezeka kwa mijadala kuhusu malezi kwenye majukwaa mbalimbali, suala hili limelenga zaidi hisia za watafiti kuliko ilivyokuwa zamani. Kila siku, tafiti mpya zinaendelea kuchapishwa zikichunguza changamoto zinazoyakumba malezi ya watoto. Hali hii inaweza kuleta wasiwasi kwa…

Read More

RITA YASHIRIKI MAONESHO YA SABASABA KWA MAFANIKIO

  Afisa msajili.  Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) ,Mariam Ling’ande (kulia) wakiendelea na kazi ya kuwahudumia wananchi waliotembelea mbanda hilo katika maonesho ya kimataifa yanayo fanyika Sabasaba jijini Dar as Salaam. Mafisa mbalimbali wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) wakiendelea na kazi ya kuwahudumia wananchi waliotembelea mbanda hilo katika maonesho ya kimataifa yanayo…

Read More