Wizara yawezesha wanawake kufikia fursa kiuchumi

Unguja. Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Zanzibar imesema imewezesha vikundi 6,700 vya wajasiriamali Unguja na Pemba kupitia programu ya Dk Mwinyi Boasting Fund. Kupitia programu hiyo, imetoa mikopo nafuu ya Sh2.8 bilioni,  yenye lengo la kuwawezesha kiuchumi wajasiriamali wanawake katika vikundi mbalimbali. Hayo yameelezwa leo Jumanne Machi 3, 2026 na Waziri wa…

Read More

Namna ya kumsaidia mtoto anayemaliza darasa la saba

Dar es Salaam. Wakati wanafunzi wa darasa la saba wakitarajia kufanya mitihani yao ya kumaliza elimu ya msingi Septemba 10 na 11 mwaka huu, wadau wameainisha njia nzuri ya kuishi nao kwa miezi mitatu ijayo. Kipindi hiki cha likizo kinatajwa kuwa fursa nzuri kwa wazazi na walezi kusaidia kukuza vipaji vya watoto wao, hivyo kupata…

Read More

Jinsi Wavuvi Wachache Wanavyoonyesha Jinsi Hapooni Inaweza Kuwa Endelevu Kiikolojia – Masuala ya Ulimwenguni

Sudhi Kumar (51) ni mvuvi kutoka Kovalam, India, ambaye amekuwa akivua chusa kwa zaidi ya miaka 30. Credit: Bharath Thampi/IPS na Bharath Thampi (thiruvananthapuram, india) Ijumaa, Machi 20, 2026 Inter Press Service THIRUVANANTHAPURAM, India, Machi 20 (IPS) – Sudhi Kumar anasogeza mikono yake kwa uhuishaji, mithili ya uchezaji wa densi wa kupendeza, huku akionyesha jinsi…

Read More

Kero tano zinavyopigiwa chapuo na wagombea urais

Dar/Mikoani. Upatikanaji duni wa huduma ya maji safi na salama, migogoro ya ardhi, miundombinu, uhaba wa ajira na kipato kwa wananchi, ndizo changamoto zilizoteka vinywa vya wagombea urais wa vyama mbalimbali vya siasa ndani ya siku tano za mwanzo za kampeni za uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Tayari kampeni hizo zimeshafanyika katika mikoa ya Dar…

Read More

Taji la Kagame lampa mzuka Gamondi

KOCHA Mkuu wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi amesema taji la Kagame walilolitwaa litakuwa chachu ya kuiweka timu kwenye morali nzuri kuikabili Rayon Sports Jumamosi, Septemba 12, mwaka huu. Gamondi alifunguka hayo saa chache baada ya timu yake ikiwa na nyota 26 kuanza safari ya kwenda Rwanda kuwafuata wapinzani wao kwenye michuano ya Kombe la…

Read More

MAFUNDO MCHUNDO WATAKIWA KUZINGATIA HIFADHI YA TABAKA LA OZONI

…………………. Serikali imewataka mafundi mchundo wa majokofu na viyoyozi kuendelea kutumia njia salama za kuhudumia vifaa hivyo pasipo kuathiri mazingira na sanjari na kuzingatia ukomo wa matumizi wa kemikali zinazodhibitiwa.  Wito huo umetolewa na Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Deogratius Paul wakati akifungua mafunzo kwa mafundi viyoyozi na majokofu…

Read More