Wizara yawezesha wanawake kufikia fursa kiuchumi
Unguja. Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Zanzibar imesema imewezesha vikundi 6,700 vya wajasiriamali Unguja na Pemba kupitia programu ya Dk Mwinyi Boasting Fund. Kupitia programu hiyo, imetoa mikopo nafuu ya Sh2.8 bilioni, yenye lengo la kuwawezesha kiuchumi wajasiriamali wanawake katika vikundi mbalimbali. Hayo yameelezwa leo Jumanne Machi 3, 2026 na Waziri wa…