Straika Namungo ndio basi tena!

MSHAMBULIAJI wa Namungo, Ibrahim Ali Mkoko amemaliza msimu kutokana na kufanyiwa tena upasuaji wa pili wa goti la mguu wa kulia, kutokana na mishipa yake kushindwa kupeleka damu kwa wakati sahihi. Akizungumza na Mwanaspoti, Daktari wa Namungo, Richard Yomba alisema mchezaji huyo kwa sasa hawezi kucheza tena mechi zote zilizosalia msimu huu, ingawa maendeleo yake…

Read More

Watanzania kuanza na vigogo Uturuki

NYOTA wawili wa kimataifa wanaocheza Ligi ya Walemavu nchini Uturuki, wanaanza mechi za kwanza za ligi kwa vigogo nchini humo. Kwenye ligi hiyo watanzania wawili, Ramadhan Chomelo anayekipiga Konya Amputee na  Hebron Shedrack wa Sisli Yeditepe ndio wanacheza soka la ulemavu kwa msimu wa tatu sasa. Ligi hiyo itaanza rasmi Novemba 24 na Chama la…

Read More

SITI ASHAURI KUANZISHWA DAWATI LA JINSIA BANDARINI

Na Takdir Ali. Maelezo.  Idara ya maendeleo ya ya Jamii, Jinsia na Watoto inatarajia kuanzisha Dawati la Jinsia katika eneo la Bandari ili kuondosha matatizo yanayojitokeza. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Idara hiyo, Siti Abasi Ali wakati alipofanya ziara na mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bandari Zanzibar huko Ofisi za Shirika hilo Malindi Mjini…

Read More

Simba yamvutia waya Ibenge, bosi wa Nabi nae yumo

JINA la kocha wa Al Hilal, Florent Ibenge (62) linatajwa kupewa kipaumbele cha kwanza na mabosi wa Simba kumrithi Abdelhak Benchikha aliyeondoka mwishoni mwa mwezi uliopita lakini wakati wakiendelea kujifikiria zaidi, bosi wa zamani wa Kocha Nasreddine Nabi naye amewasilisha maombi mezani akiomba kupewa kibarua cha kuinoa timu hiyo. Uongozi wa Simba ulikuwa na hamu…

Read More

'Uhalifu wa Urasimu', Sheria Mpya Inatishia NGOs na Demokrasia – Masuala ya Ulimwenguni

Machi kutafuta haki katika Asunción, mji mkuu wa Paraguay. Mikopo Patricia López Maoni na Monica Centron – Isabella Camargo – Bibbi Abruzzini (asunciÓn, Paragwai) Jumatatu, Julai 29, 2024 Inter Press Service ASUNCIÓN, Paraguay, Julai 29 (IPS) – Katika hatua ambayo imeibua wasiwasi wa kitaifa na kimataifa, Seneti ya Paraguay imetoa kibali cha awali kwa mswada…

Read More

Tanzania, Msumbiji wajadili mikakati kuinua biashara, uwekezaji

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Msumbiji, Phaustine Kasike amekutana na Waziri wa Viwanda na Biashara wa Jamhuri ya Msumbiji, Silvino Augusto José Moreno na kukubaliana kufanikisha ushirikiano katika sekta ya biashara na uwekezaji kati ya nchi hizo mbili. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Pia katika mazungumzo hayo yaliyofanyika jana Jumatano kwenye Ofisi…

Read More

KAMPUNI YA ORYX YAADHIMISHO SIKU YA MAZINGIRA KWA KUTOA ELIMU MATUMIZI SALAMA YA NISHATI SAFI KWA WANAFUNZI

:::::: Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Oryx Gas imewakumbusha Watanzania kuhakikisha wanaendelea kutunza mazingira kwa kuhakikisha wanatumia nishati safi ya kupikia ambayo ni rafiki wa mazingira. Akizungumza katika siku ya kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani ambapo kampuni hiyo ilimua kufanya usafi na kukabidhi vifaa vya kuhifadhi taka Shule ya Msingi Kisiwani iliyopo wilayani Kigamboni mkoani…

Read More