
Askofu Novatus Rugambwa Kuagwa Dar, Kuzikwa Bukoba – Global Publishers
Last updated Sep 20, 2025 Sekretarieti ya Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) imetangaza ratiba ya kuaga na mazishi ya Askofu Mkuu Novatus Rugambwa aliyefariki dunia Septemba 16, 2025 huko Roma, Italia. TEC imesema Askofu Rugambwa, aliyewahi kuwa Balozi na Baba Mtakatifu huko New Zealand, atakumbukwa kwa utumishi wake wa muda…