Nafasi ya Tanzania katika uchumi wa dunia kupitia madini muhimu
Dunia inapoharakisha mpito kutoka nishati ya mafuta na gesi kwenda nishati safi, madini muhimu yanayotumika katika teknolojia mpya yameanza kuwa nguzo ya ushindani wa kiuchumi kati ya mataifa makubwa. Katika mabadiliko hayo ya kimataifa, Tanzania imeanza kujitokeza kama moja ya nchi zenye rasilimali zinazoweza kuwa na mchango mkubwa katika mustakabali wa uchumi wa dunia. Madini…