Nafasi ya Tanzania katika uchumi wa dunia kupitia madini muhimu

Dunia inapoharakisha mpito kutoka nishati ya mafuta na gesi kwenda nishati safi, madini muhimu yanayotumika katika teknolojia mpya yameanza kuwa nguzo ya ushindani wa kiuchumi kati ya mataifa makubwa. Katika mabadiliko hayo ya kimataifa, Tanzania imeanza kujitokeza kama moja ya nchi zenye rasilimali zinazoweza kuwa na mchango mkubwa katika mustakabali wa uchumi wa dunia. Madini…

Read More

Askofu Munga azikwa, jamii ikiaswa juu ya upendo

Mkinga. Mazishi ya Askofu mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dk Stephen Munga, yametawaliwa na nasaha za kuwaasa Watanzania kuimarisha amani na upendo, badala ya kujenga chuki. Dk Munga amezikwa leo, Septemba 24, 2025, saa 9:30 alasiri ndani ya kanisa lililopo Kijiji cha Maramba, wilayani Mkinga, mkoani Tanga….

Read More