Msigwa, Lissu jukwaa moja Singida

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa zamani wa Chadema Kanda ya Nyasa, Peter Msigwa amefika mkoani Singida kuungana  na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu kwenye mikutano ya hadhara. Lissu amekuwa na mikutano ya hadhara mkoani Singida tangu mwanzoni mwa Juni inayotarajiwa kufanyika kwa wiki tatu. Msigwa aliyeshindwa na Joseph Mbilinyi (Sugu) katika uchaguzi wa…

Read More

Dk Mwigulu atoa maelekezo kulinda kazi za wazawa

Dodoma. Waziri Mkuu Dk Mwigulu Nchemba amezitaka wizara zinazohusika na masuala ya ajira zisimamie kikamilifu utekelezaji wa sheria zinazotaka kazi zinazoweza kufanywa na Watanzania zisifanywe na wageni isipokuwa zile zinazohitaji utaalamu ambao nchi ina upungufu. Vilevile, Dk Mwigulu amekemea tabia ya baadhi ya wenye nyumba kumpangisha raia mmoja wa kigeni na kumruhusu mpangaji huyo apangishe…

Read More

Malejendi watangaza kurudi mbio za magari

MADEREVA na waongozaji (navigators) wa timu Stado wametangaza kurudi mchezoni baada ya miaka saba ya ukimya na kutojihusha na mchezo huu pendwa. Samir Nahdi Shanto, mmoja wa madereva wa timu hiyo, akiongea na Mwanaspoti kutoka mjini Morogoro, alisema wanarudi tena mchezoni na safari hii wanakuja na mashine ya kisasa iitwao Ford Proto. “Stado Team wote…

Read More

Matumizi ya nishati safi sio anasa, ladha ipo

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema matumizi ya nishati safi kwa kupikia ni mahitaji ya lazima sio anasa hivyo utamaduni wa Watanzania kudhani chakula kilichopikwa kwenye gesi kwamba hakina ladha sio kweli. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Akizindua rasmi mkakati wa kitaifa wa matumizi ya nishati safi kwa kupikia leo Jumatano jijini Dar es Salaam, Rais…

Read More