Padri Mwang’amba afariki dunia | Mwananchi

Unguja. Padri wa Kanisa Katoliki Jimbo la Zanzibar, Anselmo Mwang’amba amefariki dunia Februari 27, 2025 kisiwani hapa. Taarifa iliyotolewa na Askofu Mkuu jimbo hilo, Agustino Shao imesema mipango ya mazishi inaendelea. “Roho ya padri Anselmo Mwanga’mba ipate rehema kwa Mungu ipumzike kwa amani,” imeeleza sehemu ya taarifa hiyo. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Februari 28,…

Read More

SWAHIBA WA NYERERE APONGEZA UONGOZI WA SAMIA, AKITIMIZA MIAKA 99

Mwanasiasa mkongwe nchini, Alhadji Mustapha Songambele amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuliongoza vyema taifa. Mzee Songambele ametoa pongezi hizo mbele ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel Nchimbi, leo Jumamosi, Mei 25, 2024. Balozi Nchimbi alikwenda nyumbani kwa Mzee Songambele Mwananyamala jijini Dar es Salaam kumfikishia salam za pongezi kutoka…

Read More

Wakazi Ngorongoro wadai kusalitiwa, Mamlaka yafafanua

Dar es Salaam. Kucheleweshwa  fedha ya karo na  kujikimu kwa wanafunzi 554 wa Sekondari na vyuo kumeibua mvutano mpya kati ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) na Baraza la Wafugaji Tarafa ya Ngorongoro (NPC). Msingi wa mvutano huo ni kitendo cha (NCAA), kushindwa kutekeleza matakwa ya mkataba walioingia tangu mwaka 1994 wa kusomesha wanafunzi hao…

Read More

Besigye atoweka Nairobi, mkewe adai anashikiliwa Kampala

Mwanasiasa wa upinzani nchini Uganda, Dk Kizza Besigye anadaiwa kutekwa na watu wasiojulikana jijini Nairobi, Kenya. Kwa mujibu wa tovuti ya Daily Monitor ya nchini Uganda, Dk Besigye ambaye ni mpinzani wa muda mrefu wa Rais Yoweri Museven aliripotiwa kutekwa Jumamosi Novemba 16, 2024 jijini Nairobi alipokwenda kuhudhuria uzinduzi wa kitabu cha mwanasiasa wa Kenya,…

Read More

Matukio haya kutikisa siasa za Tanzania 2025

Mwaka 2025, kwenye uga wa siasa nchini, utakuwa na matukio mengi ambayo yaanza kurindima kuanzia Januari hii, huku historia ikitarajiwa kuandikwa kupitia matukio hayo ambayo kwa namna moja au nyingine yatakuwa na mengi ya kujifunza. Ni dhahiri kwamba Watanzania, ambao ndio wahusika wakuu katika michakato yote ya kisiasa, watakuwa na nafasi ya kushiriki moja kwa…

Read More

MASHIRIKA YA UMMA YAONGEZE TIJA YALETE GAWIO SERIKALINI

Na Khadija Kalili Michuzi TV Msewa, Kibaha. Msajili wa Hazina na CAG kushirikiana katika usimamizi wa Mashirika ya Umma wamekutana kwa siku mbili kujadili namna bora ya mashirika ya Umma kuboresha utendaji kazi ilikuongeza ufanisi, kuleta tija kwa Umma na kuondoka na utegemezi wa ruzuku za serikali na mashirika hayo yatoe gawio kwa serikali. Hayo…

Read More

Tunahitaji maktaba za jamii kila wilaya

Arusha. Ikiwa jirani yako ana jambo fulani ambalo wewe huna, na ikiwa kwamba jambo hilo ni zuri, si dhambi, tena ni busara, ukajifunza kutokana na hilo. Ukijifunza, bila shaka utaweka mikakati ya kulifanya jambo hilo nyumbani kwako. Nasema hivi kwa sababu katika makala haya napenda kujadili hoja kwamba kama taifa tuweke nguvu za makusudi ili…

Read More

Gamondi: Kwa Aucho, Chama subirini muone

SINGIDA Black Stars leo usiku inaanza kampeni ya kusaka taji la kwanza msimu huu itakapovaana na Coffee ya Ethiopia katika michuano ya Kombe la Kagame, huku kocha mkuu Miguel Gamondi akiwataja mastaa watatu wa zamani wa Yanga. Gamondi amesema uwepo kwa Khalid Aucho, Clatous Chama na Nickson Kibabage utamsaidia katika mechi kubwa za ndani na…

Read More