Mavunde ataka viongozi waombewe | Mwananchi

Dodoma. Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amewataka Watanzania kuwaombea viongozi wa nchi kuelekea kwenye uchaguzi mkuu mwaka huu. ‎Uchaguzi mkuu wa kuwapata Rais, wabunge na madiwani unatarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025. ‎Mavunde ametoa kauli hiyo leo Jumapili Agosti 24, 2025 jijini Dodoma kwenye harambee ya kuchangia ujenzi wa Kanisa la Anglikana la Mtakatifu Petro (St….

Read More

INEC yasisitiza Mpina si mgombea urais

Dar es Salaam. Tume Huru ya Taifa Uchaguzi (INEC), imesisitiza msimamo wake kuhusu Luhaga Mpina aliyekuwa akiwania kiti cha urais kupitia chama cha ACT – Wazalendo kwamba  hajapitishwa kuwa mgombea wa kiti hicho. Kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Tume hiyo leo Jumatatu Septemba 22, 2025, INEC imesema ACT – Wazalendo hakina mgombea wa urais…

Read More

Mbele ya Wiki ya Mkutano Mkuu wa hali ya juu, Guterres anawasihi viongozi wa ulimwengu ‘kupata uzito-na kutoa’-maswala ya ulimwengu

Akiongea katika mkutano na waandishi wa habari katika makao makuu ya UN Jumanne huko New York, alionya kwamba mgawanyiko wa ulimwengu, mizozo na machafuko yameacha kanuni ya ushirikiano wa kimataifa kwa hatua yake dhaifu katika miongo. “Wengine huiita Kombe la Dunia la diplomasia,” Bwana Guterres alisema. “Lakini Hii haiwezi kuwa juu ya alama za kufunga…

Read More

Mechi ya kisasi ipo Mkwakwani

LIGI Kuu Bara inaendelea tena leo kwa mechi moja kupigwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, jijini Tanga kuanzia saa 1:00 usiku na wenyeji Coastal Union iliyoanza na ushindi dhidi ya Tanzania Prisons, itakuwa na vita kali na maafande wengine wa JKT Tanzania walioanza kwa sare ya 1-1. Coastal ilianza Ligi Kuu Bara kwa ushindi wa bao…

Read More

Aliyeua mke akidai kusemwa vibaya mtaani, kunyongwa hadi kufa

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Mtwara imemhukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa, Issa Kaunda baada ya kumtia hatiani kwa mauaji ya mkewe, Elimina Severine. Mahakama ilielezwa alimchoma visu mwilini akidai mkewe alikuwa akimzungumzia vibaya mtaani. Katika maelezo ya onyo ya mshtakiwa na maelezo ya ziada inadaiwa baada ya kumuua mkewe kutokana na hasira alikimbilia porini…

Read More

Samatta, Gomes waitwa Taifa Stars

NAHODHA na nyota wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga, Le Havre ya Ufaransa, Mbwana Samatta na mshambuliaji mpya wa Simba, Seleman Mwalimu ‘Gomes’ ni miongoni mwa wachezaji waliotwa katika kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars kilichotangazwa rasmi leo Jumapili. Kocha mkuu wa timu hiyo, Hemed Suleiman ‘Morocco’ amekitaja kikosi hicho kwa ajili ya kambi ya…

Read More