Padri Mwang’amba afariki dunia | Mwananchi
Unguja. Padri wa Kanisa Katoliki Jimbo la Zanzibar, Anselmo Mwang’amba amefariki dunia Februari 27, 2025 kisiwani hapa. Taarifa iliyotolewa na Askofu Mkuu jimbo hilo, Agustino Shao imesema mipango ya mazishi inaendelea. “Roho ya padri Anselmo Mwanga’mba ipate rehema kwa Mungu ipumzike kwa amani,” imeeleza sehemu ya taarifa hiyo. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Februari 28,…