1,675 watibiwa magonjwa ya ngono Njombe

Njombe. Kaimu Mganga mkuu wa Mkoa wa Njombe Dk David Ntahindwa amesema mwaka 2024 huduma ya uzazi wa mpango ilitolewa kwa vijana balehe wapatao 35,223 (wenye umri kati ya miaka 10 hadi 24) huku zaidi ya 1,600 wakitibiwa magonjwa ya ngono. Takwimu hizo zimetolewa leo Januari 11, 2025 wakati wa mkutano wa Naibu Waziri Ofisi…

Read More

WAZIRI RIDHIWANI AZINDUA BODI YA WADHAMINI YA NSSF

  *Aitaka Bodi kutekeleza majukumu kwa kuzingatia sheria, sera na miongozo inayotolewa na Serikali *Mkurugenzi Mkuu asema NSSF inatekeleza azma ya Rais Dkt. Samia ya kuongeza wigo wa hifadhi ya jamii kwa kuwafikia wananchi waliojiajiri Na MWANDISHI WETU, Dar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe….

Read More

Mikakati yapangwa katika kutatua changamoto kwa magonjwa yasiyoambukiza shuleni

Uanzishwaji wa Mitaala ya ufundishaji kuhusu magonjwa yasiyoambukiza shuleni,upimaji wa magonjwa kwa wanafunzi,kauli nzuri za watoto kwa wazazi na upimaji wa mara kwa mara ni moja ya mikakati iliyoidhinishwa katika kutatua changamoto wanazokumbana nazo wagonjwa hao na jinsi yakuishi uwapo na magonjwa hayo. Hayo yamebainishwa katika mkutano ulioandaliwa na Taasisi ya Tanzania Non communicable disease…

Read More

Timu hizi ukilenga tu, imooo!

LIGI Kuu Bara inatarajiwa kuendelea tena kesho kwa mchezo wa kiporo baina ya Simba dhidi ya Dodoma Jiji ikiwa ni funga hesabu kwa mechi za raundi ya 23 kabla ya ligi hiyo kusimama hadi Aprili Mosi kupisha kalenda ya mechi za kimataifa kwa timu za taifa na michuano ya Kombe la Shirikisho. Hata hivyo, wakati…

Read More

Kufuru, huu hapa mshahara wa Ibenge Azam

MAMBO ni bambam kwa Wanalambalamba Azam FC baada ya kumalizana na aliyekuwa kocha mkuu wa Al Hilal Omdruman ya Sudan, Florent Ibenge, inayokipiga katika Ligi Kuu Mauritania kwa sasa, kwani ameshatia maguu Chamazi, Dar es Salaam. Lakini, kama unataka kujua nini amedhamiria kukifanya kocha huyo ndani ya chama hilo, endelea kusikilizia kwa sasa, ingawa amegusia…

Read More

BILIONI 43 ZATEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO JIMBO LA HAI.

IMEELEZWA kuwa zaidi ya shilingi bilioni 43 zimetolewa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo katika Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro. Hayo yameelezwa na Mbunge wa Viti Maalum Kundi la Wenye Ulemavu na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, Ummy Nderiananga katika mkutano wa hadhara…

Read More

Taasisi za Ulinzi wa Mlaji zimetakiwa kushirikiana na FCC

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Suleimani Jafo, amezitaka taasisi zote za serikali zinazohusika na ulinzi wa mlaji kufanya kazi kwa pamoja  ili kuhakikisha haki za watumiaji zinalindwa. Akizungumza leo jijini Dar es Salaam katika maadhimisho ya Siku ya Haki za Watumiaji Duniani, Dkt. Jafo amesisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya mamlaka mbalimbali za udhibiti…

Read More