Kakolanya: Kukaa nyumbani sio poa

KIPA wa Singida Black Stars, Beno Kakolanya aliyekuwa anacheza kwa mkopo Namungo, amesema hakuwa na msimu mzuri kutokana na kucheza mechi saba na sasa yupo nje ya kazi, akisema kwake sio poa, japo hana namna kwani msimu umeshaisha. Namungo ilitangaza kuachana na Kakolanya, hivyo alirejea SBS ambako hawezi kucheza hadi msimu umalizike, alikiri endapo kama…

Read More

Maajabu ya Ahoua CAF, akifunga tu kuna jambo

MFUNGAJI wa bao pekee katika mchezo wa kwanza ulioipa Simba ushindi wa 1-0 dhidi ya Stellenbosch, Jean Charles Ahoua, ana maajabu yake kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika msimu huu. Ahoua mwenye mabao matatu sawa na Kibu Denis katika michuano hiyo wakiwa vinara wa utupiaji kikosini hapo, maajabu yake ni kwamba akifunga Simba haipotezi…

Read More