Tshabalala: Tumepambana  tatizo refa | Mwanaspoti

NAHODHA wa timu ya Simba, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’, amesema licha ya juhudi kubwa walizoweka uwanjani kuhakikisha wanatwaa Kombe la Shirikisho Afrika, ndoto hiyo ilizimwa na maamuzi tata ya refa Dahane Beida kutoka Mauritania. Akizungumza mara baada ya kumalizika kwa mechi ya pili ya fainali dhidi ya RS Berkane, Tshabalala alisema wachezaji wa Simba walipambana kwa…

Read More

Tunaanza upya 2024/25, mipango mikakati kambini

ILE siku iliyokuwa inasubiriwa na mashabiki wa soka hususan wale wa klabu zilizomaliza Nne Bora ya Ligi Kuu Bara msimu uliopita, Yanga, Simba, Azam na Coastal Union imefika. Klabu hizo zote zilitangaza kwamba leo, Jumatatu, ikiwa ni Julai Mosi ndio zinaanza rasmi mipango ya msimu ujao wa Ligi Kuu ikiwamo kuanza kukutana kambi za awali…

Read More

Serikali yakana wagonjwa kubebwa kwenye matenga Tunduru

  WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa, amekanusha wagonjwa kusafirishwa kwa pikipiki wakiwa wamewekwa kwenye matenga kupelekwa hospitali, wilayani Tunduru. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Badala yake, Mchengerwa amesema mwaka jana serikali ilitoa magari 535 ya wagonjwa nchi nzima na wilaya hiyo…

Read More

Zungu awatwisha mzigo wabunge bajeti ya kijinsia

Dodoma. Naibu Spika wa Bunge, Mussa Zungu amewataka wabunge kutizama Kanuni za Kudumu za Bunge kama zinakidhi ipasavyo utekelezaji wa dhana bajeti inayozingatia masuala ya kijinsia na iwapo zina kasoro,  ziboreshwe ili ziwawezeshe kuishauri Serikali kwa manufaa ya Taifa. Zungu ameyasema hayo leo Juni 8, 2024 wakati akifungua mafunzo ya wabunge kuhusu uchambuzi wa bajeti…

Read More

Rais Assad wa Syria, familia wapewa hifadhi Russia

Moscow. Rais wa Syria, Bashar Al-Assad, aliyepinduliwa jana Jumapili Desemba 8, 2024 pamoja na familia yake wamewasili nchini Russia walipopewa hifadhi. Mashirika ya habari ya Russia yameripoti yakinukuu chanzo cha Ikulu ya Kremlin: “Rais Assad wa Syria amewasili Moscow. Russia imewapa (yeye na familia yake) hifadhi kwa misingi ya kibinadamu.” Assad amepinduliwa baada ya waasi…

Read More

Utata wa mazishi ya viongozi wanaofia uhamishoni

Katika historia ya Afrika, vifo vya viongozi wakuu vinavyotokea wakiwa nje za nchi zao vimekuwa chanzo cha mzozo wa kisiasa, mashauri ya kisheria na mijadala mikubwa ya kitaifa. Mfano wa karibuni zaidi ni wa aliyekuwa Rais wa Zambia, Edgar Lungu, ambaye habari za kifo na mazishi yake zimetamba sana katika vyombo mbalimbali vya habari duniani….

Read More