Wanafunzi jamii ya wafugaji wapata misaada ya shule

Arusha. Zaidi ya wanafunzi 150 wa jamii ya wafugaji wa Kimasai waishio Kijiji cha Kimokouwa, wilayani Longido, Mkoa wa Arusha wamepatiwa misaada ya vifaa mbalimbali vya shule. Misaada hiyo imetolewa hivi karibuni na Shirika la ‘Smile Youth and women Support Organisation’ la jijini Arusha, kwa lengo ni kusaidia wanafunzi hao wa shule za msingi na…

Read More

‘Ukweli mchungu’! Cheki Simba na Yanga zinavyoteseka

IPO methali ya Kiswahili isemayo “Ukweli mchungu” ikiwa na maana kwamba wakati mwingine kusema ukweli huleta maumivu, huzuni au hali ngumu kwa mtu anayekubali au anayeambiwa ukweli husika. Hata hivyo, ingawa ukweli unaweza kuumiza ni bora kuliko kudanganywa au kufichwa ukweli kwa sababu katika muda mrefu ukweli ndiyo unaoleta suluhisho la kudumu. Kunani kwani? Licha…

Read More

Vincent Kompany kumsaka nyota wa Uingereza.

Vincent Kompany anamtaka nyota wa Ligi Kuu ya Uingereza pauni milioni 35 kama uhamisho wa kwanza wa Bayern Munich Bayern Munich wanamfuatilia nyota wa Arsenal Oleksandr Zinchenko, ambaye anaweza kuwa mchezaji wa kwanza kusajiliwa na Vincent Kompany kama meneja wao mpya. Kocha wa zamani wa Burnley Kompany aliwasilishwa kwa vyombo vya habari siku ya Alhamisi…

Read More

Kapama ampigia saluti Debora | Mwanaspoti

KIRAKA wa Kagera Sugar, Nassoro Kapama amesema anatamani kucheza na Debora Fernandes, Awesu Awesu na Abdulrazak Hamza wa Simba kwani ni wachezaji wanaomvutia sana. Nyota huyo aliyesajiliwa Simba lakini hakupata nafasi ya kudumu na kuondoka, alisema wachezaji hao ni kati ya wanaomvutia sana Ligi Kuu Bara. Alisema kutokana na uwezo wake wa kucheza nafasi tofauti,…

Read More

Maonyesho ya ISUZU Yahitimishwa kwa mafanikio Dodoma, Wabunge, Wadau wa Usafirishaji watia neno.

Maonyesho ya siku tatu yaliyoandaliwa na kampuni ya Al Mansour Auto EA Tanzania, kuangazia teknolojia za kisasa za usafiri na muktadha mzuri wa magari ya ISUZU, yamehitimishwa kwa mafanikio makubwa jijini Dodoma huku yakionesha kuwavutia wabunge na wadau mbalimbali wa sekta ya uchukuzi nchini waliofanikiwa kutembelea maonesho hayo. Maonyesho hayo yalifanyika katika viunga vya Akachube…

Read More