Wahamiaji haramu 10,960 wakamatwa wakiingia nchini, RC Mwassa akerwa

Bukoba. Idara ya uhamiaji mkoani Kagera imefanikiwa kuwakamata wahamiaji haramu 10,960 wakiingia nchini kinyemela kuanzia Januari hadi Septemba 2025. Akizungumza na Mwananchi Digital, Septemba 3, 2025 ofisa Uhamiaji Mkoa wa Kagera, Mrakibu mwandamizi, Eleneus Kasimbazi amesema idara hiyo ya uhamiaji Mkoa wa Kagera kupitia doria mbalimbali walizozifanya kwenye maeneo muhimu ya mipaka ya nchi jirani…

Read More

Kocha Abdul Saleh amrithi Mngazija Uhamiaji FC

KIKOSI cha Uhamiaji FC kimemtambulisha Abdul Saleh Mohammed kuwa kocha mkuu wa timu hiyo akichukua nafasi ya Ali Bakar Mngazija. Mngazija ambaye ametimkia Coastal Union ya Tanga, aliitumikia Uhamiaji FC kwa msimu mmoja pekee wa 2024-2025 ambapo timu hito ilimaliza nafasi ya sita kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya Zanzibar. Mbali na kufanya maboresho ya benchi la…

Read More

Madereva wapewa mbinu kunufaika na stahiki za wafanyakazi

Mwanza. Mikataba ya uonevu, ukosefu wa usalama kazini, kutojiunga na mifuko ya hifadhi ya jamii na kukosa bima za afya, likizo na mikopo, imetajwa kuwa changamoto kubwa zinazowakabili madereva wa bodaboda, bajaji na daladala nchini. Hayo yameelezwa leo Jumanne Septemba 16, 2025 na Ofisa Elimu wa Chama cha Wafanyakazi wa Mawasiliano na Uchukuzi Tanzania (Cotwu),…

Read More

Pamba Jiji yabanwa nyumbani | Mwanaspoti

PAMBA Jiji jana ikicheza kwa mara ya kwanza mechi y Ligi Kuu Bara ikiwa nyumbani ilibanwa mbavu na Watoza Ushuru wa TRA United baada ya kutoka suluhu kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, jijini Mwanza. Katika pambano hilo lililokuwa la tatu kwa Pamba na la pili kwa wageni, lilihudhuriwa na mashabiki wachache, huku wenyeji wakishindwa kurudia…

Read More

ELIMU YA WATU WAZIMA NI ZANA YA MAENDELEO ENDELEVU

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza, kwenye kongamano la kilele cha maadhimisho ya miaka 50 ya Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima yaliyofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, Agosti 25.2025. (Pichana Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizindua mfumo wa kupata taarifa kuhusu elimu ya watu…

Read More

WANAWAKE MABACHELA WAITWA KUCHUKUA FOMU YA KULIPIWA MAHARI

 Taasisi ya Al-Hikma imetangaza mpango wa kulipia mahari kwa vijana 130 walio tayari kuoa katika mwaka huu.  Akizungumza leo Machi 1, 2026 jijini Dar es Salaam wakati wa mashindano ya Kimataifa ya Qur’aan yaliyoandaliwa na taasisi hiyo, Mratibu wa taasisi hiyo Nurdin Sheikh Kishki amesema kuwa lengo ni kuwawezesha vijana kuingia kwenye ndoa kwa urahisi…

Read More

Meridianbet Kuendeleza Biashara na Mshikamano wa Jamii Dar

Global Publishers February 27, 2026 0 Comments Meridianbet inathibitisha dhamira yake ya kusaidia jamii kwa hatua thabiti ya kutoa msaada wa vyakula na mahitaji muhimu kwa familia zenye uhitaji wilayani Kinondoni, jijini Dar es Salaam. Mpango huu ni sehemu ya mkakati mpana wa kampuni kuhakikisha maendeleo ya biashara yanashirikiana kwa karibu na ustawi wa wananchi….

Read More

TUME YA UCHUNGUZI YAKUTANA NA ABDULRAHMAN KINANA

TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Machi 2, 2026 imekutana na mwanasiasa mkongwe wa Chama cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Abdulrahman Kinana. Mkutano huo wa Tume na Kinana umefanyika katika ukumbi wa Tanganyika uliopo jengo la Benki Kuu ya Tanzania…

Read More

Vijana 308 wapewa Sh7 bilioni kutekeleza miradi ya uvuvi

Mwanza. Vijana 308 waliohitimu mafunzo ya programu ya Jenga Kesho Iliyo Bora (BBT-Uvuvi) wamekabidhiwa Sh7 bilioni kwa ajili ya kuwawezesha kutekeleza miradi ya ufugaji wa samaki kwa vizimba, ufugaji wa jongoo bahari, kilimo cha mwani pamoja na unenepeshaji wa kaa, ikiwa ni sehemu ya jitihada za Serikali kukabiliana na changamoto ya ajira. Akikabidhi hundi ya…

Read More