WANA CCM YAPO YA KUJIFUNZA KWA ABDULRAHMAN KINANA

Na Said Mwishehe  NGOJA nikwambie kitu mtu wangu ingawa najua itakuwa unafahamu kwamba Chama Cha Mapinduzi(CCM) Januari 18 hadi 19 mwaka huu wa 2025 kinafanya mkutano mkuu maalum. Tufanye hivi ajenda zinaweza kuwa zaidi ya mbili au tatu lakini unachotakiwa katika akili yako ni ajenda kuu ya mkutano huo ni kujaza nafasi ya Makamu Mwenyekiti…

Read More

‘Utambuzi wa usoni humtendea kila mtu kama mtuhumiwa anayeweza, kudhoofisha faragha na kuzuka kwa hatia’ – maswala ya ulimwengu

na Civicus Jumatano, Juni 18, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Jun 18 (IPS) – Civicus inajadili hatari za moja kwa moja Teknolojia ya utambuzi wa usoni Na Madeleine Stone, afisa mwandamizi wa utetezi katika Big Brother Watch, shirika la asasi za kiraia ambazo zinafanya kampeni dhidi ya uchunguzi wa watu na kwa haki za…

Read More

Bajana, Zayd wamkosha Taoussi | Mwanaspoti

KOCHA wa Azam FC, Rachid Taoussi, ameonyesha kuridhishwa na viwango vya viungo wake, Sospeter Bajana na Yahya Zayd, baada ya kuongoza timu hiyo kuibuka na ushindi mkubwa wa mabao 4-0 dhidi ya Iringa SC kwenye mchezo wa raundi ya tatu ya Kombe la Shirikisho (FA). Ushindi huu unakuwa ni wa nane mfululizo kwa Azam FC…

Read More

SEKTA YA UTALII INAKABILIWA NA CHANGAMOTO ZA KUONGEZEKA KWA MIGONGANO BAINA YA BINADAMU NA WANYAMAPORI

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma PAMOJA na mchango wa Sekta ya Maliasili na Utalii katika uchumi wa nchi na ustawi wa jamii Sekta hiyo inakabiliwa na changamoto mbalimbali zikiwemo kuongezeka kwa migongano baina ya binadamu na wanyamapori inayosababishwa na uvamizi wa shughuli za binadamu karibu na maeneo ya hifadhi na kwenye shoroba za wanyamapori hususan…

Read More

Fyatu ‘kuchangisha’ matrilioni ya kampeni

Japo mie na chata letu tumepiga njuluku za mafyatu hata kabla ya dunia kuumbwa, lazima tuzidi kuwafyatua ili wasitufyatue. Hakuna wakati mzuri wa kufyatua njuluku za mafyatu hasa wale mafisi na mafisadi kama huu. Kwa vile huu ni wakati wa kupika kura ya kula, lazima wasaka kura ya kula waliwe na wapika kura ya kula….

Read More

Askofu Laizer asimikwa kuwa msaidizi wa Askofu KKKT

Arusha. Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki (KKAM) limemsimika na kumuingiza kazini Mchungaji Jeremia Laizer, kuwa msaidizi wa Askofu Mkuu Dayosisi ya Arusha. Mchungaji Laizer aliyekuwa Mkuu wa Jimbo la Magharibi amesimikwa leo Juni 30, 2025 katika Kanisa la KKAM Dayosisi ya Arusha Jimbo la Magharibi katika Parokia ya Mto wa Mbu. Akimsimika Mchungaji Laizer, Askofu…

Read More

Donald Trump aponea chupuchupu kwenye jaribio lililolenga kumuua

Mamlaka ya shirikisho inachunguza tukio la Rais wa zamani Donald Trump kupigwa risasi katika jaribio la mauaji katika mkutano wa uchaguzi huko Butler, Pennsylvania, Jumamosi. Mawakala wa Secret Service walivamia Trump na kujibanza nyuma ya jukwaa. Damu ilionekana kwenye sikio lake la kulia la Trump wakati maajenti wakimzunguka na kumtoa jukwaani hadi kwenye gari lililokuwa…

Read More