WAZIRI MKUU MAJALIWA ATOA WITO WADAU KUIMARISHA USHIRIKIANO NA SERIKALI
::::::::: Na Mwandishi Wetu – Dodoma Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa mashirika yasiyo ya kiserikali, sekta binafsi na taasisi za dini kuimairisha ushirikiano na Serikali na kujiunga katika mtandao wa kitaifa wa usimamizi wa huduma za kibinadamu. Wito huo umetolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Mhe….