Kesi za Lissu leo, mojawapo kusomwa maelezo yake

Dar es Salaam. Kesi mbili ikiwemo ya kuchapisha taarifa za uongo mitandaoni zinazomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, leo Jumatatu, Mei 19, 2025 zitaunguruma katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Mbali na kesi ya kuchapisha taarifa za uongo, kesi nyingine inayomkabili kiongozi huyo ni kesi ya uhaini. Hata hivyo, leo…

Read More

DR Congo yazinduka CHAN, yainyoa Zambia

BAADA ya kupoteza mechi ya kwanza ya mashindano ya CHAN 2024 inayoendelea kutimua vumbi ukanda wa Afrika Mashariki, DR Congo imepata ushindi wa kwanza jioni hii dhidi ya Zambia.  DR Congo ilianza michuano hiyo ilichapwa katika mechi ya kwanza dhidi ya wenyeji, Kenya ambao usiku huu wapo uwanjani kutupa karata ya pili katika michuano hiyo….

Read More

Kuongeza vurugu na kupunguzwa kwa fedha kunasababisha mamilioni ya Haiti – maswala ya ulimwengu

Haiti inakabiliwa na moja ya shida kubwa zaidi ya chakula ulimwenguni ambayo inazidi kuwa mbaya kwa sababu ya kupunguzwa kwa fedha kwa WFP mipango ya misaada. “Tunawahimiza washirika wa kimataifa kuchukua hatua ili kuwezesha WFP na washirika kutoa msaada wa dharura tu wa kuokoa maisha, bali pia Wekeza katika mipango inayoshughulikia sababu za njaa,“Alisema Wanja…

Read More

Maktaba, usomaji vinakufa, Bohumata iamke

Dar es Salaam. Katika nchi inayoelekea kuwa ya maarifa, maendeleo ya kweli hayawezi kufikiwa bila kukuza utamaduni wa kusoma. Kusoma si jambo la anasa tena, bali ni hitaji la msingi kama ilivyo afya, elimu na miundombinu.  Katika muktadha huu, Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (Bohumata) ni chombo mama, mhimili mkuu wa maendeleo ya usomaji…

Read More

Hukumu kesi ya Milembe yaahirishwa tena

Geita.  Mahakama Kuu Kanda ya Geita, imeshindwa kutoa hukumu ya mauaji inayomkabili Dayfath Maunga (54) na wenzake watatu baada ya Jaji Mfawidhi Kelvi Mhina wa Mahakama hiyo anayesikiliza kesi hiyo, kuwa na udhuru. Mbali na Maunga,  washitakiwa wengine katika kesi hiyo ya mauaji namba 39 ya mwaka 2023 ni pamoja na Safari Labingo (54), Genja…

Read More

Betting Sites 5 Bora Tanzania za Ushindi: Ushindi Unaanzia Hapa!

Katika miaka ya hivi karibuni, tasnia ya michezo ya kubashiri nchini Tanzania imepata umaarufu mkubwa sana. Watanzania wengi wanapenda kubashiri michezo mbalimbali hasa hasa soka, ikifatiwa na basketball, na mengineyo, kwa matumaini ya kushinda fedha za ziada. Hapa chini, tumekusanya orodha ya tovuti 5 bora za kubashiri nchini Tanzania, ambazo zimepata umaarufu sana kwa huduma…

Read More

Umuhimu wa bajeti katika mipango binafsi

Katika mazingira ya sasa yenye hali ya kiuchumi isiyo tulivu, kupanga bajeti na mipango ya kifedha si jambo la hiari tena bali ni muhimu sana kwa yeyote anayetaka kuwa na uthabiti wa kifedha wa muda mrefu. Bajeti ni mpango wa matumizi ya kipato chako. Inakusaidia kugawa mapato yako kwenye matumizi ya kila siku, akiba, na…

Read More

Bashe alia na zao la chai Tanzania

Dodoma. Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema tangu ateuliwe kuongoza wizara hiyo haridhishwi na maendeleo yaliyopo kwenye zao la chai kutokana na mambo yanayoendelea ikiwamo kushuka kwa mapato yatokanayo na mauzo yake nje ya nchi. Bashe ameeleza hayo leo Aprili 8, 2025 wakati akizindua bodi mpya ya wakurugenzi wa Bodi ya Chai Tanzania (TBT) kwenye…

Read More