USHINDI TUZO YA MWAJIRI BORA WA BARRICK NORTH MARA NI MFANO WA UWEKEZAJI MADHUBUTI KATIKA TASNIA YA MADINI NCHINI

Wafanyakazi wa Barrick wakishangilia mafanikio ya kampuni baada ya ushindi wa Tuzo za ATE katika vipengele mbalimbali Meneja Mkuu wa Mgodi wa North Mara, Apolinary Lyambiko (kushoto) akipokea kikombe cha Tuzo ya Ushindi wa Mwajiri bora ilipopokelewa mgodini. Meneja Mkuu wa Mgodi wa North Mara, Apolinary Lyambiko (kushoto) akipokea kikombe cha Tuzo ya Ushindi wa…

Read More

WANANCHI WA KIJIJI CHA MTYANGIMBOLE WASHUKURU SERIKALI KWA KUJENGA SHULE YA SEKONDARI

 NA BELINDA JOSEPH, RUVUMA. Wananchi wa Kijiji cha Mtyangimbole kata ya Mtyangimbole Halmashauri ya Madaba, wamemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kupitia Mbunge wa Jimbo la Madaba Mhe Joseph Kizito Mhagama,  kwa kujenga shule ya sekondari katika eneo hilo ambayo imeondoa adha kubwa iliyokuwa ikiwakumba wanafunzi kulazimika kutembea umbali mrefu wa zaidi ya kilomita nne kufuata…

Read More

Massanza: Guede ananikumbusha Sowah | Mwanaspoti

OFISA Habari wa Singida Black Stars, Hussein Massanza, amesema moto alioanza nao mshambuliaji wa timu hiyo, Joseph Guede, unamkumbusha alivyokuwa Jonathan Sowah. Guede ambaye amerejea Singida Black Stars baada ya awali kuitumikia kwa takribani miezi mitano msimu wa 2024-2025, ameanza vizuri kwa kufunga mabao mawili katika michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026 inayoendelea kisiwani Unguja…

Read More

Mitazamo tofauti yanayoendelea Chadema | Mwananchi

Dar es Salaam. Wadau wa siasa nchini Tanzania wamekuwa na maoni tofauti juu ya kile kinachoendelea ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Kwa sasa Chadema kuna mvutano baada ya kuibuka kwa kundi la G55 la watia nia ubunge wa mwaka 2020 na 2025 likijumuisha baadhi ya vigogo wanaokubaliana kwamba No Reforms, lakini si…

Read More

MSD YAPONGEZWA KWA MABORESHO YA HUDUMA MKOANI KAGERA

Bohari ya Dawa (MSD) imepongezwa kwa kuimarisha mnyororo wa ugavi wa bidhaa za afya mkoani Kagera, ambao umepunguza malalamiko ya upungufu wa bidhaa za afya mkoani humo. Pongezi hizo zimetolewa hapo jana tarehe 6/1/2025 na Katibu Tawala wa Mkoa huo Stephen Ndaki, wakati akizungumza na ujumbe maalum kutoka MSD uliomtembelea ofisini kwake, ukiongozwa na Mwenyekiti…

Read More

KAMISHNA BADRU ATOA KONGOLE KWA TIMU ZA NGORONGORO ZILIZOSHIRIKI SHIMMUTA

Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Bwana Abdul-Razaq Badru amezipongeza timu za Mamlaka hiyo zinazoshiriki mashindano ya Shirikisho la Mashirika ya serikali na Taasisi Binafsi (SHIMMUTA) yanayoendelea mkoani Morogoro kwa kuendelea kulinda na kutangaza taswira ya taasisi hiyo kupitia sekta ya Michezo. Akitoa salamu  alipotembelea timu hiyo kwa niaba  Kamishna Badru, Kaimu…

Read More