SERIKALI INABORESHA MIUNDOMBINU ILI MTOTO WA KITANZANIA APATE HAKI YAKE YA MSINGI YA ELIMU BORA – PROF. SHEMDOE

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amesema Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI inaendelea kusimamia uboreshwaji wa miundombinu ya elimu nchini, ili kuhakikisha kila mtoto wa Kitanzania anapata haki yake ya msingi ya elimu bora katika mazingira mazuri na rafiki ya ujifunzaji na ufundishwaji.  Prof. Shemdoe amesema,…

Read More

Timu kutathmini majengo ya Serikali yasiyotumika Dar

Dar es Salaam. Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Dk Jim Yonazi, amesema timu maalumu ya kutathmini majengo ya Serikali yasiyotumika jijini Dar es Salaam inaendelea na kazi hiyo. Timu hiyo iliundwa kufuatia maelekezo ya Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, aliyoyatoa Januari 22, 2026, alipotembelea mji wa Serikali, Mtumba…

Read More

Maji ni Uhai: TRAMEPRO Yaadhimisha Siku ya Maji Duniani 2026

Kila mwaka tarehe 22 Machi, dunia huungana kuadhimisha Siku ya Maji Duniani—siku muhimu inayotukumbusha thamani ya rasilimali maji katika maisha ya kila siku. Mwaka huu wa 2026, maadhimisho haya nchini Tanzania yanafanyika katika Mkoa wa Morogoro, yakileta pamoja wadau wa sekta ya maji, afya na mazingira. Katika kuadhimisha siku hii, Shirika la Dawa Asilia na…

Read More

M/kiti CCM aonya maneno matamu kwenye shida ya maji

Dar es Salaam. Katika kuadhimisha Siku ya Maji Duniani, Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Morogoro, Joseph Masunga amewataka wasimamizi wa sekta ya maji kupunguza maneno mengi na michakato mirefu isiyo na majibu ya haraka kwa kero za maji zinazowakabili wananchi. Amesema wakati mwingine viongozi wanaosimamia sekta ya maji hutoa maelezo yanayoweza kuwaburudisha…

Read More

Dk Nchimbi aitaka wizara ya maji kushirikiana na sekta binafsi kutatua changamoto ya maji

Morogoro. Makamu wa Rais Balozi, Dk Emmanuel Nchimbi ameitaka menejimenti ya Wizara ya Maji kujenga ushirikiano na sekta binafsi ili kushughulikia changamoto za upatikanaji na upotevu wa maji, ili dhamira ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kumtua “mama ndoo kichwani” iweze kutekelezeka. Dk Nchimbi ameyasema hayo leo wakati akifunga kilele cha maadhimisho ya Wiki ya…

Read More

Mgambo watatu mbaroni kwa tuhuma za mauaji

Mwanza. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linawashikilia askari mgambo watatu kwa tuhuma za mauaji ya Rashid Nyandonga (31), fundi simu na mkazi wa Bugando Jeshini, Wilaya ya Nyamagana mkoani humo. Taarifa ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbrod Mutafungwa, iliyotolewa leo, Jumapili, Machi 22, 2026, imeeleza kuwa mgambo hao walikamatwa usiku wa Machi…

Read More

STARTIMES WAMESHUSHA TENA BURUDANI KWA WATEJA WAO.

KUELEKEA Msimu wa Sikukuu za Eid na pasaka Kampuni ya Startimes imezindua rasmi Kampeni ya “Lipa tukubusti” itakayodumu mwezi mmoja tu ili kuwaweka karibu watazamaji wake kiburudani na kimichezo 100% kipindi hiki cha Sikukuu. Akizungumza na Wanahabari Jijini Dar es Salaam, Meneja Masoko wa Kampuni ya Startimes David Malisa amesema msimu huu wa Sikukuu familia…

Read More

TPA KUFUNGUA MILANGO YA BIASHARA KIMATAIFA

Na Mwandishi Wetu  Serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari  Tanzania (TPA) inaendelea kufungua fursa za uwekezaji katika sekta ya meli ili kuimarisha usafirishaji wa mizigo ndani na nje ya nchi. Katika juhudi hizo, TPA ilipokea maombi kutoka kampuni ya Gold Voyage Logistics Limited, tanzu ya Zijin Mining Group Co. Ltd, ya kukodisha eneo katika…

Read More