BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA LAPITISHA RASIMU YA BAJETI SHILINGI BILIONI 112.8 KWA MWAKA WA FEDHA 2026/27
Na Nasra Ismail, Geita. Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Geita leo Januari 30,2026 limefanya Mikutano wake Maalum kujadili na kupitisha rasimu ya Mpango wa Bajeti kwa mwaka wa fedha 2026/27. Akiwasilisha rasimu hiyo kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji katika Mkutano Maalum wa Baraza la Madiwani uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri uliopo…