BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA LAPITISHA RASIMU YA BAJETI SHILINGI BILIONI 112.8 KWA MWAKA WA FEDHA 2026/27

Na Nasra Ismail, Geita. Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Geita leo Januari 30,2026 limefanya Mikutano wake Maalum kujadili na kupitisha rasimu ya Mpango wa Bajeti kwa mwaka wa fedha 2026/27. Akiwasilisha rasimu hiyo kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji katika Mkutano Maalum wa Baraza la Madiwani uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri uliopo…

Read More

Iringa kupanda miti milioni 42

Iringa. Mkoa wa Iringa umeimarisha usimamizi wa kampeni ya upandaji miti kwa kuweka mfumo madhubuti wa ufuatiliaji na uwajibikaji. Umesema lengo ni kutaka kuhakikisha miti inayopandwa inatunzwa na kukua, badala ya kupandwa kwa lengo la kutimiza takwimu za kampeni pekee. Hatua hiyo imebainishwa leo Ijumaa Januari 30, 2026 katika Kijiji cha Ihemi, Wilaya ya Iringa,…

Read More

MIKAKATI YAWEKWA KUIJENGA UPYA TANZANIA KIMIUNDOMBINU

 ::::::::::::: SERIKALI imetangaza mpango kabambe wa kuboresha miundombinu ya usafirishaji kwa njia ya barabara wenye lengo la kurahisisha usafiri, kuongeza ufanisi na kukuza Pato la Taifa. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam , Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema mpango huo unaojulikana kwa jina la Expressways Master Plan sasa umeanza kutekelezwa na…

Read More

Pedro awatangazia vita Ahly, wenyewe wajibu

Yanga itakuwa na mchezo mgumu kesho dhidi ya Al Ahly, huku kocha Pedro Goncalves akitangaza kwamba wapo tayari kucheza na mabingwa hao wa kihistoria wa Afrika. Yanga itakuwa mwenyeji wa Ahly kwenye mchezo wa nne wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, utakaopigwa kesho katika Uwanja wa New Amaan. Akizungumza kwenye mkutano wa…

Read More

Aishi Manula amkosha Kocha Azam FC

KIWANGO cha kipa Aishi Manula ambacho ameendelea kukionyesha Azam FC kimemkosha Kocha Florent Ibenge, ambaye amesema kuwa klabu hiyo ilichanga vyema karata zake kwa kumsajili kipa huyo. Manula safari yake ya soka ilianzia Azam kabla ya kutimkia Simba, ambako aliichezea kwa miaka saba na kupata mafanikio makubwa pamoja na timu ya Taifa. Akizungumza na Mwanaspoti,…

Read More

Latra yafungia kampuni nne za mifumo ya tiketi mtandao

Dar es Salaam. Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (Latra) imetangaza kusitisha huduma kwa kampuni nne za mifumo ya tiketi mtandao ambazo hazijaidhinishwa kisheria na kutoa muda kwa wamiliki wa mabasi waliokuwa wakitumia mifumo hiyo kujitoa na kujisajili kwenye mifumo iliyoidhinishwa rasmi. Kampuni zilizositishwa kutoa huduma ni Tiketi rafiki, Safari yetu, Safiri tiketi na Exbite…

Read More

Joto lawatingisha Al Ahly Amaan

Mapema tu leo Al Ahly imeonyesha kuanza kutishwa na hali ya joto kwenye Uwanja wa New Amaan Complex mjini Unguja ikisaka maji kwa haraka kabla ya kuanza kwa mazoezi. Timu hiyo ambayo kesho itakuwa mgeni wa Yanga kwenye mchezo wa nne wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, imetua Uwanja Amaan saa 9:55…

Read More

Ahly yathibitisha kumuacha nyumbani staa wake

Al Ahly imethibitisha kwamba kiungo wake Emam Ashour hayupo kwenye kikosi kitakachoivaa Yanga kesho kutokana na makosa ya kinidhamu. Timu hiyo ipo Zanzibar ikitarajiwa kupambana na Yanga kwenye mchezo wa nne wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika utakaochezwa katika Uwanja wa New Amaan Complex. Kocha wa Al Ahly, Jesse Thorup amethibitisha akisema…

Read More

BoT yaeleza mpango wa kuuza sehemu ya dhahabu iliyohifadhi

Dar es Salaam. Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeweka wazi mpango wake wa kuuza sehemu ya dhahabu iliyohifadhi kulingana na viashiria vya soko litakavyokuwa huku ikikanusha za mitandaoni kuwa fedha zitakazopatikana kupitia mauzo hayo zitaelekezwa katika uboreshaji wa miundombinu. Haya yanasemwa ikiwa ni siku chache tangu kuchapishwa kwa taarifa katika mitandao ya kimataifa ikieleza mpango…

Read More