Mbeya City yazidi kujiimarisha yambeba Kelvin Kingu

BAADA ya kumalizana na Ame Ally akitokea Mashujaa, uongozi wa Mbeya City umemuongezea nguvu mkongwe huyo kwa kunasa saini ya beki wa kati, Kelvin Kingu Pemba kutoka Tabora United kwa mkataba wa mwaka mmoja. Msimu uliopita Pemba alikuwa na kiwango bora sana akiwa na nyuki wa Tabora, lakini klabu hiyo imeshindwa kumbakisha akitimkia Mbeya City…

Read More

Mgombea wa Chadema aliyeenguliwa ashinda uenyekiti wa kijiji

Hai. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro kimeeleza kushangazwa na Mgombea wake katika Kijiji cha Useri, Kata ya Machame Narumu, Wilfred Ritte kutangazwa mshindi wa nafasi ya uenyekiti wa kijiji hicho, licha ya kuondolewa katika kinyang’anyiro katika hatua za mapingamizi. Katika matokeo hayo mgombea huyo wa Chadema anaonekana kupata kura…

Read More

Kaya 902 zaachwa bila makazi Moshi

Moshi. Zaidi ya kaya 902 zimebainika kuathiriwa na mafuriko ya mvua wilayani Moshi, Mkoani Kilimanjaro baada ya kufanyika kwa tathmini ya awali. Mafuriko hayo yalitokea juzi Alhamisi Aprili 25, 2024 baada ya kunyesha kwa mvua kubwa na kusababisha vifo vya watu saba wakiwemo wanne wa familia moja. Hayo yamesemwa leo Jumamosi Aprili 27, 2024 na…

Read More

Vikao CCM kuibuka na mrithi Dk Nchimbi?

Dar es Salaam. Swali kuu miongoni mwa wadau wa siasa, makada na wafuasi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), ni nani atakayeteuliwa kushika nafasi ya Katibu Mkuu wa chama hicho, inayoshikiliwa kwa sasa na Dk Emmanuel Nchimbi? Swali linaibuka kutokana na uwezekano wa Dk Nchimbi kuachia wadhifa huo ili kupata fursa ya kujiandaa kikamilifu na majukumu…

Read More

WAFANYABIASHARA WA SOKO LA KARIAKOO WAPEWA SEMINA

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV SHIRIKA la Masoko ya Kariakoo limeendesha Semina ya Siku mbili kwa waliokuwa wafanyabiashara wa soko la Kariakoo ambao wanatarajiwa kurejeshwa ndani ya soko kufuatia kukamilika kwa mradi ujenzi na ukarabati wa soko. Akizungumza na waandishi wa habari katika Semina hiyo leo Machi 11,2025 Jijini Dar es Slaam, Afisa Uhusiano Mkuu…

Read More

Maajabu ya nywele anazozaliwa nazo kichanga

Dar es Salaam. Katika kipindi cha ujauzito,mtoto akiwa tumboni hupitia mabadiliko mengi ya ajabu,na moja ya mabadiliko hayo ni pamoja na ‘Lanugo.  Kwa mujibu wa utafiti wa International Journal of Pediatric Research wa mwaka 2018, Lanugo ni nywele nyepesi zinazokuwa kwenye mwili wa mtoto mchanga, ambapo kazi yake kubwa ni kudhibiti joto la mwili wa…

Read More

Waziri wa afya ataka mpango mkakati kusimamia usafi

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Afya, Jenista Mhagama amesema ili kuepuka magonjwa ya mlipuko ameitaka Idara ya Kinga Wizara ya Afya kuimarisha mpango mkakati wa kusimamia suala la usafi wa mazingira katika majiji makubwa pamoja na maeneo ya mipakani mwa nchi. Waziri Mhagama amesema hayo leo Septemba 9, 2024 wakati wa kikao na Idara ya…

Read More