USHIRIKIANO WA TCB NA RAMANI KUIMARISHA BIASHARA ZA NDANI
**** Benki ya Biashara Tanzania (TCB) kwa kushirikiana na Ramani.io wamezindua rasmi ushirikiano unaolenga kuimarisha biashara za ndani na kuongeza ujumuishaji wa kifedha nchini wakilenga kuleta mageuzi makubwa katika sekta ya biashara, ikiwemo kuwawezesha wafanyabiashara wadogo na wa kati (SMEs), wajasiriamali, pamoja na biashara ndogondogo. Akizungumza leo jijini Dar es salaam wakati wa kutia hati…