Ligi Kuu Bara: Hawa mbona kazi wanayo!

MSIMU mpya wa Ligi Kuu Bara wa 2025-2026 unaanza leo ukiwa ni wa 62 tangu ilipoanza 1965. Kila timu kati ya 16 zinazoshiriki zinaanza hesabu mpya kuwania pointi 90 kupitia mechi 30 kila moja, kukiunda na jumla ya mechi 240 kwa msimu mzima. Klabu zinazoshiriki ni watetezi Yanga, Simba, Azam, Singida Black Stars, Tabora United,…

Read More

Kwa Wasichana katika Ukanda wa Kikabila wa Pakistani, Michezo ya Wanawake Inakuja kwa Gharama — Masuala ya Ulimwenguni

Picha inaonyesha timu ya kriketi ya wasichana wote kutoka Dir ambayo ilifika fainali ya michezo ya kanda, yote bila kufundishwa, mnamo 2023. "Fikiria kile wanaweza kufikia wakiwa na vifaa vinavyofaa na mafunzo yanayofaa," Alisema Noorena Shams, pia kutoka Dir. Kwa hisani: Noorena Shams na Zofeen Ebrahim (karachi, pakistan) Jumatano, Machi 04, 2026 Inter Press Service…

Read More

Masista wanne waliofariki ajalini Mwanza kuzikwa Dar

Mwanza. Masista wanne waliopoteza maisha katika ajali ya gari jijini Mwanza wanatarajiwa kuzikwa Septemba 19, 2025, Boko, jijini Dar es Salaam, huku dereva wao akizikwa Nyegezi, Mwanza. Masista hao ambao ni Lilian Kapongo, aliyekuwa Mkuu wa Shirika la Masista Wakarmeli Wamisionari wa Mtakatifu Theresia wa Mtoto Yesu Duniani na aliyekuwa Mshauri Mkuu na Katibu Mkuu…

Read More

Wananchi Watakiwa Kuzingatia Taratibu za Uchimbaji Visima, Wahimizwa Kutumia Maji ya Bomba

Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Songea (SOUWASA) imewataka wananchi kuzingatia taratibu za uchimbaji wa visima na kuendelea kutumia maji ya bomba ambayo yamehakikishwa usalama wake. Akizungumza Kaimu Mkurugenzi wa usambazi wa maji safi na usafi wa mazingira kutoka SOUWASA Mhandisi Jafari Yahaya, amesema uchimbaji wa visima si kosa, lakini lazima ufanyike kwa…

Read More

Lupaso imechangamka | Mwanaspoti

WAKATI tamasha la Simba Day likifikia kilele leo, mashabiki wa timu hiyo wamejitokeza kwa wingi kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Tamasha hilo linafanyika leo likiwa ni msimu wa 17 tangu lilipofanyika kwa mara ya kwanza mwaka 2009, chini ya uongozi wa Hassan Dalali na Mwina Kaduguda. Nje ya Uwanja wa Benjamin…

Read More

Wazazi wanaoshawishi wanafunzi darasa la saba kufanya vibaya waonywa

Shinyanga. Katibu Tawala Msaidizi Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mkoa wa Shinyanga, Mwalimu Samson Allute Hango, amewaonya wazazi wanaoshawishi wanafunzi kufanya vibaya katika mitihani yao ya mwisho, huku akiwapa matumaini wanafunzi kuwa mtihani utakuwa ndani ya yale waliofundishwa. Akizungumza na waandishi wa habari leo, Septemba 9, 2025, wakati akitoa taarifa ya wanafunzi watakaofanya mtihani wa…

Read More