MJUMBE WA NEC MHE. RWEBANGIRA ATEMBELEA MAFUNZO YA WATENDAJI WA UCHAGUZI TABORA NA KIGOMA

Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe.Magdalena Rwebangira, leo Julai 16,2025, ametembelea mafunzo yanayofanyika kwa Watendaji wa Uchaguzi ngazi ya Mkoa na Jimbo kwa Mkoa wa Tabora na Kigoma yanayoendelea katika kituo cha Tabora. Mjumbe Mhe.Rwebangira ameshuhudia mada mbalimbali zikiendelea kuwasilishwa sambamba na mafunzo yanayofanyika kwa njia ya vitendo. Mafunzo haya ya siku…

Read More

Wawakilishi waikalia kooni Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu

Unguja. Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wameikalia kooni Bodi ya Mikopo Zanzibar kwa kuchelewesha fedha za kujikimu kwa wanafunzi licha ya kutengewa kiasi kikubwa cha fedha. Wamesema hali hiyo inasababisha wanafunzi kukosa utulivu kwenye masomo yao. Wakichangia mjadala wa hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali kwenye…

Read More

Leo ndio leo mastaa wote Yanga kufahamika 

YANGA imetoa taarifa mpya juu ya kambi  ya maandalizi ya msimu mpya wa mashindano na kwamba sasa itaanza tena palepale ilipojiandaa kuchukua mataji nane ndani ya misimu mitatu ambapo mastaa wote wapya waliosajiliwa na wale walioongezewa mikataba watakuwa hadharani kuanzia keshokutwa Jumatatu. Taarifa mpya kutoka Yanga inasema kikosi hicho sasa kitarudi rasmi kambini kuanza mazoezi,…

Read More

Lissu: Tutaiondoa CCM madarakani kwa uchaguzi huru siyo silaha

Mbeya. Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema namna bora ya kukiondoa Chama Cha Mapinduzi (CCM) madarakani ni kutumia utaratibu wa uchaguzi huru, haki na siyo kutumia silaha. Pia, kimesema bila kudai mabadiliko katika uchaguzi haitawezekana kuking’oa CCM madarakani kutokana na mazingira yalivyo kwa sasa kikiwaomba wananchi kuamua. Akizungumza leo Machi 23, 2025 kwenye mkutano…

Read More

Mchina chini ya ulinzi akituhumiwa kwa utapeli

Arusha. Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Felician Mtahengerwa ameagiza kukamatwa kwa raia mmoja wa China, Wang Zhiqiang ambaye anatuhumiwa kwa utapeli. Pia, mkuu huyo wa wilaya ameliagiza Jeshi la Uhamiaji wilayani humo kushikilia hati zake za kusafiria na vibali vyote alivyonavyo raia huyo hadi atakapolipa madeni yote ya wateja wake. Mchina huyo anatemiliki kampuni ya…

Read More