Hizi hapa fursa za kiuchumi za uchaguzi mkuu

Dar es Salaam. Ukiacha mbilinge za kisiasa, vijembe na vituko katika majukwaa ya kampeni kuelekea uchaguzi mkuu, tukio hilo limebeba pia fursa za kiuchumi na biashara kwa wananchi. Kwa mujibu wa wadau mbalimbali wa biashara, tukio la uchaguzi linapaswa kutazamwa kwa jicho mtambuka, kwani linabeba fursa za kiuchumi na kibiashara, ambazo zinaweza kuwakwamua watu. Kuchapisha…

Read More

Watatu wakamatwa porini na mtoto aliyeibwa Kibaha

Kibaha. Mtoto mchanga mwenye umri wa miezi saba, Merysiana Melkzedeck, aliyeibwa Januari 15, 2025 katika eneo la Kwa Mfipa, Kibaha mkoani Pwani, amepatikana porini akiwa hai. Akizungumza na waandishi wa habari leo Januari 24, 2025, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Salim Morcase amesema kupatikana kwa mtoto huyo kumetokana na ushirikiano wa pamoja na mamlaka…

Read More

Wakili Kitale apingwa kesi dhidi ya TLS, uamuzi Agosti 9

Mwanza. Mvutano wa kisheria umeendelea kuibuka katika shauri lililofunguliwa na Wakili Steven Kitale katika Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza baada ya mjibu maombi wa nne, Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) kuwasilisha pingamizi likiwa na hoja mbili. Wajibu maombi katika shauri hilo namba 17558/2024, lililoitwa mahakamani leo Jumanne Julai 30, 2024 kwa ajili ya kusikilizwa ni…

Read More

Washindi CRDB Marathon kuvuna mamilioni

WASHINDI wa Mbio za CRDB Bank Marathon 2024 zilizopangwa kufanyika Agosti 18 jijini Dar es Salaam, watazawadiwa jumla ya Sh 98.3 millioni. Mkurugenzi wa Mawasiliano wa CRDB, ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Bank Foundation, Tully Esther Mwambapa alisema wameamua kuweza zawadi nono kwa washindi kutokana na kutambua thamani ya washiriki na hadhi ya…

Read More

Mtibwa Sugar yapeleka mechi zake Jamhuri Dodoma

Kufuatia Uwanja wa Manungu Complex uliopo Morogoro kutokukidhi vigezo vinavyotakiwa ili utumike kwenye michezo ya Ligi Kuu Bara, Mtibwa Sugar imeuchagua Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma kwa mechi za nyumbani za Ligi Kuu Bara. Mtibwa Sugar iliyorejea Ligi Kuu Bara msimu huu, imeanza kwa kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Mashujaa ikiwa ugenini. …

Read More

TPSF yabainisha mambo matano ya kuangazia mwaka 2025

Dar es Salaam. Shirikisho la Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) limeainisha mambo matano makuu litakayoyasimamia mwaka 2025 ili kuendelea kuongeza mchango wake katika uchumi wa nchi. Mambo hayo ni: kuendelea kusukuma ajenda ya ukuaji jumuishi ndani ya sekta binafsi, kuimarisha sera zinazotabirika, kuimarisha mashirika ya sekta binafsi, kukuza mazingira rafiki ya biashara, na kuhamasisha mazungumzo kati…

Read More