AKU yaadhimisha Siku ya Waandishi Dar

Dar es Salaam. Serikali imeshauriwa kukusanya takwimu kuhusu idadi ya watu wanaopenda kusoma vitabu ili kuendelea kuhimiza tabia ya usomaji kwa Watanzania. Takwimu hizo zitasaidia kuimarisha juhudi za kukuza usomaji, kuhakikisha rasilimali zinatumika vyema ili kuhamasisha watu wengi kujenga tabia ya kusoma vitabu na kuboresha matokeo ya elimu nchini. Wito huo umetolewa jana Ijumaa, Novemba…

Read More

WAZIRI WA AFYA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA KIDO CBALOZI WA KAMPENI YA HOLELA-HOLELA ITAKUKOSTI

  Kampeni ya Holela-Holea Itakukosti inasisitiza mbinu kamilifu ya “Afya Moja” kushughulikia tatizo la UVIDA na magonjwa ya zuonotiki. Holela-Holela ilizinduliwa mwishoni mwa mwezi uliopita ikiwa ni ushirikiano ya Ofisi ya Waziri Mkuu Wizara ya Afya, Wizara ya Mazingira, Wizara ya Mifugo na Uvuvi na Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID). Dodoma Jumamosi…

Read More

Ahueni bei ya mafuta ikisalia ilivyokuwa Oktoba

Dar es Salaam. Watuamiaji wa vyombo vya moto nchini wataendelea kupata ahueni kwani bei za mafuta zitakazotumika Novemba, 2025 zitaendelea kusalia kama zilivyokuwa Oktoba mwaka huu, isipokuwa kwa petroli jijini Dar es Salaam. Wanunuzi wa rejareja katika jiji la Dar es Salaam wataongeza Sh32 katika kila lita ya mafuta watakayonunua Novemba mwaka huu ikilinganishwa na…

Read More

Balozi Nchimbi aonya maofisa utumishi kuacha uonevu

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi amewataka watumishi wanaosimamia utawala na rasilimali watu sehemu za kazi kuwatendea haki wafanyakazi wote kwa kujiepusha na vitendo vyovyote vya uonevu. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Akizungumza kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wataalam wa Rasilimali Watu na Utawala Duniani, leo Jumatatu mkoani Morogoro, Balozi…

Read More

Jaruph autamani msimu ujao Morocco

MSHAMBULIAJI wa Ain Diab ya Morocco, Jaruph Juma amesema msimu uliopita haukuwa bora kwa upande wake akitaja uchovu na kutofanya mazoezi vilimkwamisha kuanza vizuri. Ain inashiriki Ligi Kuu ya Soka la Ufukweni nchini Morocco ambapo Mtanzania huyo alijiunga nayo wakati ligi inaenda mwishoni. Licha ya kutoanza vizuri lakini kwenye michezo 10 aliyocheza Jaruph amefunga mabao…

Read More