CRDB KANDA YA KUSINI YATOA WITO KWA WAKULIMA KUCHANGAMKIA MIKOPO YA RIBA NAFUU
Na mwaandishi wetu Lindi BENKI ya CRDB Kanda ya Kusini imetoa wito kwa wakulima kuchangamkia mikopo ya riba nafuu,ambayo inatolewa na Benki hiyo kwa wakulima nchini ili kuwawezesha kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabia ya nchi kwenye sekta ya kilimo. Meneja Mahusiano wa Benki hiyo Kanda ya Kusini,Adamu Yusufu amesema mikopo hiyo inatolewa kuptia…