Gamondi, Aziz Ki waitisha Dodoma Jiji

HAIJAISHA hadi iishe, hivi ndio unaweza kusema baada ya kocha wa Yanga kutangaza vita kwenye mechi tatu zilizobaki ikiwemo ya kesho dhidi ya Dodoma Jiji kuwa hawajakamilisha ratiba na wanataka rekodi. Kiungo wa timu hiyo, Stephane Aziz Ki ameungana na kauli ya Gamondi akisisitiza kuwa bado wanayo kazi ya kuendelea kuwapa furaha mashabiki wao bila…

Read More

TRA PWANI YAJA NA MPANGO WA KUTOA USHAURI NA KUSIKILIZA CHANGAMOTO ZA WALIPAKODI

VICTOR MASANGU, PWANI Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani imesema kwamba itawahudumia walipakodi wake kwa kuzingatia misingi imara ya kuwa na uadilifu, uwajibukaji,, weledi pamoja na suala la kuwa na uaminifu pamoja na kuweka mikakati endelevu ya kuwatembelea sehemu zao za biashara kutoa ushauri, kusikiliza changamoto zinazowakabili. Hayo yamebainishwa na Kamishina wa uchunguzi…

Read More

Meja Kunta aliamsha kwa Mkapa

MWIMBAJI wa singeli nchini, Meja Kunta ameingia katika Uwanja wa Benjamin Mkapa katika kilele cha ‘Wiki ya Mwananchi’ huku akiimba wimbo maalumu wa timu hiyo unaojulikana kwa jina la Mwananchi aliomshirikisha Billnass. Wimbo huo uliamsha shangwe kwa mashabiki waliohudhuria tamasha hilo ambalo walianza kuimba na kucheza kwa pamoja. Mbali na wimbo huo ila Meja Kunta…

Read More

RAIS SAMIA KUTOA TUZO ZA WANAHABARI

  .,……………. RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa tuzo za wanahabari zinazofahamika kama ‘Samia Kalamu Awards’ zinazohamasisha uandishi wa habari za maendeleo katika nyanja mbalimbali. Tuzo hizo ambazo zimeandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) zinatarajiwa kutolewa…

Read More

𝗣𝗥𝗢𝗙. 𝗡𝗢𝗠𝗕𝗢 𝗔𝗦𝗜𝗦𝗜𝗧𝗜𝗭𝗔 𝗨𝗧𝗨𝗡𝗭𝗔𝗝𝗜 𝗪𝗔 𝗩𝗜𝗙𝗔𝗔 𝗩𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗙𝗨𝗡𝗭𝗢 𝗩𝗘𝗧𝗔 𝗞𝗔𝗦𝗨𝗟𝗨

Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo Septemba 10, 2024 ametembelea Chuo cha Ufundi Stadi VETA Kasulu Mkoani Kigoma kuona utekelezaji wa mafunzo ambapo ameridhishwa na maendeleo ya Chuo hicho ambacho mpaka sasa kimepokea wanafunzi zaidi ya 180 wa fani mbalimbali za muda mrefu na mfupi. Prof. Nombo amepata nafasi ya…

Read More

Uchunguzi walionaswa na nyara za Sh3.3 bil bado bado

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imesema bado inaendelea na uchunguzi katika kesi ya kusafirisha nyara za Serikali ikiwemo mifupa 1,107 ya Simba zenye jumla ya thamani ya Sh 3.3 bilioni, inayowakabili washtakiwa 12 wakiwemo waliokuwa wafanyakazi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA). Washtakiwa hao ikiwemo kampuni ya usafirishaji ya AB Marine Products…

Read More