Matarajio ya harusi yalivyogeuka msiba Rufiji

Dar es Salaam. Waswahili husema, “kisicho riziki hakiliki,” methali hiyo imeakisi uhalisia katika familia ya Jamal Kwangaya iliyopo wilayani Rufiji mkoani Pwani. Familia hiyo iliyokuwa katika matarajio ya  harusi, ghafla mpango huo uligeuka huzuni, baada ya aliyetarajiwa kuolewa kupoteza maisha. Bibi harusi mtarajiwa Hanifah Kwangaya ni mmoja kati ya ndugu wanne wa familia moja walipoteza…

Read More

Guinea,Sudan zipaisha Tanzania FIFA | Mwanaspoti

USHINDI wa mechi mbili dhidi ya Sudan na Guinea umeipaisha Tanzania kwenye viwango vya ubora vinavyotolewa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA). Stars ilikutana na Sudan katika michuano ya CHAN kutoka na sare ya matokeo ya jumla ya kufungana 1-1, kila taifa likishinda kwake nyumbani kwa bao 1-0 mechi ya mwisho ya marudiano ikipigwa…

Read More

Mvua yasababisha nyumba 10 kuzingirwa na maji Musoma

Musoma. Zaidi ya nyumba 10 pamoja na kituo kimoja cha afya zimezingirwa na maji kufuatia mvua zilizonyesha katika manispaa ya Musoma usiku wa kuamkia leo Agosti 18, 2025 na kusababisha mafuriko katika baadhi ya mitaa. Kufuatia hali hiyo, kituo hicho kilichopo Kata ya Bweri kinachomilikiwa na Kanisa la African Inland Church (ACT) kimelazimika kusitisha huduma…

Read More

Waeleza sababu za kuporomoka kwa ushairi Tanzania

Dar es Salaam. Wakati mataifa yakiadhimisha Siku ya Ushairi Duniani, wadau wa Kiswahili na ushairi nchini wameeleza vikwazo vinavyokwamisha ushairi nchini ikiwa ni pamoja na elimu duni na kudharau fasihi ya Kiswahili. Siku ya Ushairi Duniani huadhimishwa Machi 21 kila mwaka na siku hii ilianzishwa mwaka 1999 na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu,…

Read More

Dk Kaushik: Kuna ongezeko vifo vya mapema vitokanavyo na magonjwa yasiyoambukiza

Dar es Salaam. Takwimu zikionyesha zaidi ya asilimia 34 ya vifo vyote nchini, vinatokana na magonjwa yasiyoambukiza (NCDs). Daktari bingwa mbobezi wa magonjwa ya ndani na kisukari, Profesa Kaushik Ramaiya amesema kuna ongezeko la vifo vya mapema vitokanavyo na magonjwa hayo. Magonjwa yasiyoambukiza ni pamoja na saratani, kisukari, shinikizo la damu, magonjwa ya moyo, afya…

Read More

Kipre akunjua moyo kwa Fei Toto

WAKATI msimu ukimalizika, staa wa zamani wa Azam FC, Kipre Junior ameweka wazi jina la kiungo mwenzake aliyemkosha zaidi msimu huu na kupiku rekodi yake, akimtaja Feisal Salum. Kipre aliyeitumikia Azam kwa misimu miwili na kuweka rekodi ya kufunga mabao 12, aliondoka na kutimkia MC Alger ya Al geria msimu huu ambako ndiko anakipiga kwa…

Read More