HADITHI: Bomu Mkononi – 15
MISHI, binti mrembo wa Kitanga, ambaye ukimwona unaweza kusema ni Mwarabu, ameolewa na dereva wa malori, Musa, lakini tayari amekolea katika penzi la mfanyabiashara, Mustafa.
MISHI, binti mrembo wa Kitanga, ambaye ukimwona unaweza kusema ni Mwarabu, ameolewa na dereva wa malori, Musa, lakini tayari amekolea katika penzi la mfanyabiashara, Mustafa.
Dar es Salaam. Katika jitihada ya kukomesha vitendo vya ukatili wa kijinsia ikiwamo rushwa ya ngono kwa wanawake wajasiriamali, taasisi inayoshughulika na uwezeshaji wa wasichana ya Her Initiative imekuja na jukwaa mseto la kidigitali la Ongea Hub ili wasichana wajasiriamali waripoti matukio ya ukatili wa kijinsia. Pia, kupitia jukwaa hilo wasichana wajasiriamali wanaunganishwa na mamlaka…
Mwanza. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linachunguza chanzo cha moto ulioteketeza mabweni mawili ya Shule ya Sekondari ya Wasichana Sumve iliyopo Wilayani Kwimba mkoani hapa. Tukio hilo limetokea Alhamisi Novemba 20, 2025 saa 07:13 mchana baada ya moto uliozuka wakati wanafunzi wakiendelea na masomo darasani. Moto huo uliteketeza mabweni ya Nkwame na Dk Magufuli…
BAADA ya ratiba ya Ligi ya Championship kuwekwa wazi, Kocha wa Kagera Sugar, Juma Kaseja amesema moja ya malengo makubwa anayopambana nayo ni kuhakikisha anakirejesha tena kikosi hicho Ligi Kuu Bara, licha ya ushindani mkubwa uliopo. Akizungumza na Mwanaspoti, Kaseja alisema baada ya ratiba kutoka na kikosi hicho kuanza mechi mbili mfululizo nyumbani, wanahitaji kupambana…
::::::: Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), kupitia Kanda ya Kaskazini, inaendelea kutumia jukwaa la Maonesho ya Nane Nane 2025 yanayoendelea katika Viwanja vya Nane Nane mkoani Arusha kuwafikia Watanzania kwa kuwapatia elimu kuhusu uhifadhi, utalii na fursa za uwekezaji katika maeneo yake ya usimamizi. Kupitia ushiriki wake ndani ya banda la pamoja la…
Na Lilian Ekonga………… Shirika la Msichana Initiative na shirika la Norwegian Church Aid wamekutana na viongozi wa dini mbalimbali kutoka mikoa zaidi ya 10 kwa lengo la kujadili na kujenga uelewa kuhusu mabadiliko ya umri wa ndoa. Akizungumza na waandishi wa Habari katika mkutano huo Mkurugenzi wa Shirika la Msichana intiative Rebeka Gyumi amesema wamekutana…
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan awasili Addis Ababa nchini Ethiopia kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa kawaida wa 38 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU). Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bole, Addis Ababa nchini Ethiopia…
Bunge la 12 linakaribia kuvunjwa hivi karibuni. Hii ni makala ya kuwaomba Watanzania tusiruhusu tena Bunge lisilo na kambi rasmi ya upinzani, kama ilivyokuwa kwa Bunge hili la 12. Kutokuwepo kwa kambi thabiti ya upinzani kumelifanya Bunge hili likose hoja kinzani zenye mashiko na mvuto masikioni mwa wasikilizaji na watazamaji. Hata ikitokea kwamba Watanzania, kwa…
Canada. Kuna imani kuwa kitanda hakizai haramu. Uzoefu wetu unaonyesha kuwa kitanda kinazaa haramu japo huhalalishwa kwa visingizio mbalimbali kama mila, ujinga na ubutu wa teknolojia. Ujio wa kipimo cha DNA unaonyesha kuwa kitanda kinazaa haramu tu. Kusema kitanda hakizai haramu ni uchafu kimila. Ni hatari, majuto, na makosa makubwa kwa wasioamini wala kukubali uchafu…
Takriban watoto wote duniani kote wanapata elimu ya msingi bila malipo, huku karibu 90% wakimaliza shule ya msingi. Lakini ni hadithi tofauti kwa watoto wa shule ya awali na ya upili. Credit: Shafiqul Alam Kiron/IPS Maoni na Jo Becker (new york) Alhamisi, Januari 23, 2025 Inter Press Service NEW YORK, Januari 23 (IPS) – The…