Mtaalamu wa Lishe Afichua Matunda Yasilofaa Kula Asubuhi

Mtaalamu wa lishe, Nichola Ludlam-Raine, amefichua aina ya matunda ambayo hayapendekezwi kuliwa mara kwa mara wakati wa kifungua kinywa, akieleza kuwa baadhi ya matunda maarufu yana kiwango kikubwa cha sukari asilia kuliko watu wanavyofahamu. Akizungumza na The Telegraph, Ludlam-Raine alifanya tathmini ya matunda 18 yanayopendwa nchini Uingereza, akiyapima kulingana na virutubisho kama vitamini na madini,…

Read More

Ilichokisema CCM mbele ya mwakilishi wa UN

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitaendeleza dhamira yake ya  muda mrefu wa kuheshimu utawala wa sheria, kidemokrasia na ushiriki wa kisiasa kwa njia za amani. Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa CCM, Dk Asha-Rose Migiro wakati akikiwakilisha chama hicho katika mazungumzo na Balozi Parfait Onanga-Anyanga, Mwakilishi Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja…

Read More

‘Ni wajibu wa viongozi wa dini kupigania haki’

Dar es Salaam.  Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema viongozi wa dini wana wajibu mkubwa wa kupigania haki, amani ya kweli na utulivu, mambo ambayo wananchi wote wanayahitaji kwa ajili ya maendeleo ya Taifa. Othman, ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, amesema sauti ya viongozi wa…

Read More

Bilionea David Mulokozi Afanyiwa Birthday ya Kifalme, Banana Zoro Aitikisa Babati

Na Mwandishi Wetu. Babati, Manyara: Sherehe ya kumbukizi ya kuzaliwa ya Mkurugenzi wa Mati Super Brands Ltd, Bilionea David Mulokozi, imegeuka kuwa somo la upendo na kuthaminiana baada ya mkewe, Doreen Mulokozi, kumuandalia tukio la kushtukiza lililogusa wengi. Katika sherehe hiyo iliyofanyika Babati Mjini na kuhudhuriwa na wageni mbalimbali waalikwa, Doreen alimzawadia mumewe zawadi mbili…

Read More

Video: Maafisa 40 wa Iran Wauawa katika Mashambulizi ya Israel na Marekani

Global Publishers March 1, 2026 0 Comments  Katika mashambulizi ya Jumamosi, 28 Februari 2026, yanayodaiwa kufanywa na Israel na Marekani, takriban maafisa 40 waandamizi wa Iran wameripotiwa kufariki. Miongoni mwa waliothibitishwa: Ayatollah Ali Khamenei – Kiongozi Mkuu wa Iran, aliuawa asubuhi katika ofisi yake. Abdolrahim Mousavi – Mkuu wa majeshi ya nchi, aliuawa katika…

Read More

Marekani na mtindo mpya kung’oa, kuweka watawala

Marekani mbabe wa dunia, mwamuzi wa mustakabali wa taifa lolote. Hivyo ndivyo unaweza kulielezea taifa hilo lenye nguvu kubwa ya kijeshi, kiuchumi na hata kiteknolojia, mambo yanayoifanya kuwa juu zaidi ya nyingine. Kwa miongo mingi tangu vita ya pili ya dunia, Marekani ilipata nguvu kubwa zilizoiwezesha kufanya uamuzi kwa niaba ya Mataifa mengine, jambo ambalo…

Read More

INADES YAZINDUA BWAWA LA KUNYWESHEA MIFUGO MIGORI IRINGA

Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV SHIRIKA la INADES-Formation Tanzania limezindua ujenzi wa bwawa la kunyweshea mifugo (water trough) katika Kijiji cha Migori, Wilaya ya Iringa, kwa lengo la kuboresha upatikanaji wa maji salama na ya uhakika kwa punda na mifugo mingine midogo. Mradi huo unatekelezwa kwa ushirikiano na Brooke East Africa, kwa kushirikiana na Halmashauri…

Read More