Uongozi kituo cha afya Ilula waonywa wakipokea msaada wa gari la wagonjwa

Iringa. Uongozi wa Kituo cha Afya Ilula umeonywa kutobagua wagonjwa wanaohitaji kutumia gari la kubebea wagonjwa na kuhakikisha wananchi wote wenye uhitaji wanapata huduma bila kikwazo. Hayo yamesemwa leo, Jumatano, Januari 29, 2025, na mbunge wa Kilolo, Justine Nyamoga, alipokuwa akikabidhi gari la kubebea wagonjwa kwa kituo hicho kilichopo Kitongoji cha Masukanzi, Kata ya Ilula,…

Read More

UN inahitaji ulinzi wa haraka kwa wanawake na wasichana walio katika mazingira magumu – maswala ya ulimwengu

Kama misaada ya dharura inapoingia, wanawake na wasichana ambao tayari walikuwa katika mazingira magumu kwa sababu ya miaka ya migogoro, uhamishaji na kutokuwa na utulivu wa kiuchumi, sasa wanakabiliwa na hatari kubwa zaidi kutoka Vurugu za msingi wa kijinsia na unyonyaji. Kulingana kwa umoja unaoongozwa na un kujibu shida. “Wasichana wana hatari kubwa, haswa wanapotengwa…

Read More

Uingereza yathibitisha kuwazuia wahamiaji – DW – 01.05.2024

Haya yanajiri huku mmoja akiripotiwa kujipeleka kwa hiari Rwanda kutoka Uingereza.  Kamata kamata ya wahamiaji inajiri wiki moja baada ya wabunge kumaliza mvutano uliokuwepo bungeni na kupitisha sheria hiyo baada ya kutangaza kuwa Rwanda ni nchi salama. Waziri Mkuu wa Uingereza Rishi Sunak, aliapa kuwazuia wahamiaji kuingia Ulaya kupitia njia za baharini, na wiki iliyopita…

Read More

TLS yataka wadau kusaka mwafaka wa kitaifa

Dar es Salaam. Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) kimetaka wadau wa kisiasa, viongozi wa dini, taasisi za umma na wataalamu kukutana pamoja kujadiliana masuala yanayoitatiza nchi ili kuufanya mwaka 2025 kuwa wa mwafaka wa kitaifa. Chama hicho kimeangazia mambo manne yanayopaswa kujadiliwa ili kupata mwafaka wa kitaifa kuwa pamoja na kuheshimiwa kwa misingi ya…

Read More

IAA, Misitu zaanza vyema nane bora RCL

Timu za IAA SC ya Arusha na Misitu ya Tanga zimeanza vyema michuano ya Ligi ya Mabingwa Mikoa (RCL), hatua ya nane bora baada ya kupata ushindi katika mechi za ufunguzi. Michuano hiyo ambayo inachezwa na vijana walio chini ya umri wa miaka 20 inashirikisha timu nane ambazo zilishika nafasi mbili za juu katika vituo…

Read More