Kichanga chaokotwa kikiwa kimefariki Njoro, wananchi walaani
Moshi. Katika hali ya kusikitisha, kichanga cha kike kimeokotwa kikiwa kimetelekezwa katika eneo lisilo na makazi ya watu, mtaa wa Viwanda, kata ya Njoro, Manispaa ya Moshi. Tukio hilo limewashtua wananchi wa eneo hilo, huku baadhi yao wakilaani vikali kitendo hicho na kueleza masikitiko yao juu ya tukio hilo la kusikitisha. Kichanga hicho kimeokotwa leo…