Jina langu ni Dhaka – Masuala ya Ulimwenguni

na Mohammad Rakibul Hasan (dhaka, Bangladesh) Ijumaa, Machi 20, 2026 Inter Press Service DHAKA, Bangladesh, Machi 20 (IPS) – Jina Langu ni Dhaka ni filamu ya majaribio ya dakika moja inayoonyesha Dhaka kama chombo hai, kinachopumua na historia ya miaka 400. Kupitia sauti ya kuakisi, jiji linasimulia mabadiliko yake, migogoro na uthabiti. Inanasa utofauti kati…

Read More

Uvumilivu, bidii, imani vilivyobadili maisha ya Benedicta

Dar es Salaam. Katika jamii nyingi za Kitanzania, ndoto za mtoto wa kike mara nyingi hukwama njiani kutokana na changamoto za kiuchumi, mila na mitazamo potofu. Hata hivyo, simulizi ya Benedicta Mrema ni ushuhuda kuwa bidii, uvumilivu na imani vinaweza kubadili mkondo wa maisha. Ni hadithi ya binti aliyekataa kukata tamaa licha ya vikwazo vilivyoonekana…

Read More

Rais Samia atoa Bilioni 15 Maboresho Shule ya Polisi Kilimanjaro

Na Mwandishi Wetu,Kilimanjaro Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Samia Suluhu Hassan ametoa  Shilingi Bilioni 25 ikiwa ni utekelezaji wa ahadi aliyoitoa wakati wa Kikao cha Maafisa Wakuu Waandamizi wa Jeshi la Polisi kilichofanyika mwaka 2024 lengo ikiwa kuifanyia maboresho Shule cha Polisi Kilimanjaro ambacho kinakabiliwa na uchakavu wa Majengo ambayo yalijengwa tangu  mwaka 1933…

Read More

REKODI UTEKELEZAJI MIRADI SONGWE ZAMBEBA MGOMBEA URAIS CCM RAIS SAMIA SULUHU HASSAN,WANANCHI WANAMSUBIRI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Songwe WAKATI wa mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)Rais Dk.Samia Suluhu Hassan akitarajiwa kufanya mkutano wake wa kampeni kesho Septemba 3,2025 mkoani Songwe ,wananchi wa Mkoa huo wanajivunia mafanikio makubwa waliyopata katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wake. Dk.Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya mkutano katika Mkoa wa Songwe akiwa…

Read More

Rais Samia Amuasili Mtoto Mchanga Aliyetelekezwa Tabora

Bakari Mahundu March 11, 2026 0 Comments Picha ya Rais Samia Suluhu Hassan Akiwa na Mtoto Aliyemuasili Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemuasili mtoto mchanga wa kike leo tarehe 11 Machi, 2026, katika makazi yake, Ikulu Chamwino, mkoani Dodoma. Mtoto huyo aliyepewa jina la Grace Samia Suluhu, alitelekezwa mjini…

Read More

Coca-Cola Kwanza Ltd drives growth with Tuk-Tuk Incentive

Coca-Cola Kwanza (CCK) handed over six Tuk-Tuks to top performing Official Coca-Cola Distributors as part of a Returnable Glass Bottle (RGB) incentive programme run in the fourth quarter of last year. The Tuk-Tuk incentive was open to all qualifying distributors of CCK products and aimed to reward those businesses driving growth and ensuring that a…

Read More

SBL Yazindua Rasmi Serengeti Premium Apple, Kinywaji Ambacho Kimetengenezwa Tanzania

Serengeti Breweries Limited (SBL) imezindua rasmi Serengeti Premium Apple, ikiweka historia kama kinywaji cha kwanza chenye hadhi ya juu ‘Ready-to-Drink (RTD)’ kutengenezwa hapa nchini Tanzania. Uzinduzi huu unalenga kubadili mtazamo wa soko ambalo kwa muda mrefu limetawaliwa na bidhaa za kuagiza kutoka nje ya nchi, kwa kuanzisha bidhaa ya kisasa, ya kiwango cha kimataifa, iliyobuniwa…

Read More