BARABARA YA MLIMA KITONGA KUWA NJIA NNE

…….. 📌Lengo ni kupunguza foleni, usalama 📌Ni Maelekezo ya Rais Samia 📌Waziri Ulega aagiza manunuzi yaanze mara moja SERIKALI iko katika hatua za mwisho za kuanza upanuzi wa barabara ya Kitonga mkoani Iringa ambayo sasa itakuwa ya njia nne na yenye taa za barabarani.  Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema kuwa hatua hiyo ni uamuzi…

Read More

Coca-Cola Kwanza Ltd drives growth with Tuk-Tuk Incentive

Coca-Cola Kwanza (CCK) handed over six Tuk-Tuks to top performing Official Coca-Cola Distributors as part of a Returnable Glass Bottle (RGB) incentive programme run in the fourth quarter of last year. The Tuk-Tuk incentive was open to all qualifying distributors of CCK products and aimed to reward those businesses driving growth and ensuring that a…

Read More

Mke adaiwa kujiteka, akishinikiza mume kulipa Sh10 milioni

Mwanza. Polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia Loveness Kisile (30), mkazi wa Mtaa wa Temeke, jijini Mwanza akituhumiwa kutoa taarifa za uongo kwa askari, ndugu, jamaa na marafiki kuwa ametekwa. ‎Anadaiwa kutoa taarifa kwa mume na ndugu zake kwamba ametekwa na watu watatu waliotaka Sh10 milioni ili wasimdhuru na kuondoa ujauzito aliokuwa nao. Kamanda wa Polisi…

Read More

Je Wolves Msimu Huu Atashuka Daraja?

LEO hii Meridianbet inaangazia klabu ya Wolverhampton Wanderers ambao wamekuwa na msimu mbaya kwenye mashindano yote hadi sasa. Timu hiyo kutoka Uingereza inahitaji mabadiliko za haraka sasa kubakia kwenye ligi msimu ujao. Wolverhampton Wanderers wameonyesha ukuaji na mapambano yasiyo na kifani kwenye mashindano yote waliyoshiriki. Licha ya changamoto za kiufundi na ushindani mkali kutoka klabu kubwa…

Read More

Uhamisho na vifo vya raia vinaongezeka katika eneo lote – Masuala ya Ulimwenguni

© UNICEF/Ibarra Sánchez Nyumba zilizoharibiwa kusini mwa Lebanon. (picha ya faili) Ijumaa, Machi 13, 2026 Habari za Umoja wa Mataifa Kuongezeka kwa uhasama katika Mashariki ya Kati kunaendelea kusababisha vifo vya raia, kuhama kwa watu wengi na kuongezeka kwa mahitaji ya kibinadamu. Mapigano katika mpaka wa Israel-Lebanon yameongezeka, huku mamilioni ya watu katika eneo hilo…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Rais ajaye anapaswa kujua haya

Kila rika huwa na mitindo yake ya maisha. Wakati fulani nilishuhudia wazee wetu wakivaa suruali pana na mashati ya kubana, wajomba na baba wadogo wakavaa mashati makubwa na suruali za kubana, sisi tuliokuwa wadogo tukavalishwa mitindo kwa kutegemea anayekuvalisha. Tuliweza kujuana kuwa huyu kavalishwa shati la “puto” na mjomba au “slim fit” na baba yake….

Read More

Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Awasili Arusha Kongamano la 5 la Idhaa za Kiswahili Dunianiss

Bakari Mahundu March 24, 2026 0 Comments Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mheshimiwa Hemed Suleiman Abdulla akiongozana Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Paul Makonda, wakati akiwasili katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC), linapofanyika Kongamano la Tano la Idhaa za Kiswahili Duniani, leo Machi 24,…

Read More