BENKI YA Biashara DCB KUENDELEA KUBORESHA MAISHA YA WATANZANIA YAJIVUNIA KUTOA MIKOPO YA ZAIDI YA SHS BILIONI 740 TOKEA ILIPOANZISHWA

BENKI YA BIASHARA YA DCB imesema itaendelea kusimamia misingi ya kuanzishwa kwake ambayo ni kusaidia miradi endelevu ya kupunguza umasikini, kuendeleza jamii na kutoa huduma bora zinazokidhi mahitaji halisi ya kila siku ya wateja wao.     Akizungumza jijini Dar es Salaam leo wakati wa Mkutano Mkuu wa 22 wa Mwaka wa Wanahisa wa benki…

Read More

Bhojan achukua fomu aahidi Kisutu mpya

MGOMBEA wa nafasi ya udiwani wa Kata ya Kisutu, wilayani Ilala, jijini Dar es Salaam, Tousif Bhojani, amechukua fomu za uteuzi za Tume Huru ya Uchaguzi (INEC) na kueleza kuwa dhamira yaya ni kuijenga Kisutu mpya. Bhojani alichukua fomu leo katika Ofisi za Ofisa Mtendaji Kata ya Kisutu, ambapo alikabidhiwa fomu hizo na Ofisa Mtendaji…

Read More

Sababu marufuku ya matumizi ya mkaa Dar kukwaa kisiki

Dar es Salaam. Licha ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kuwapiga marufuku wafanyabiashara wa chakula wakiwamo mama na babalishe kutumia kuni na mkaa kupikia, bei kubwa ya gesi na udogo wa majiko vinatajwa kuwa changamoto kwao kutumia nishati hiyo mbadala. Tangazo la jiji pia linawahusu wafanyabiashara wa migahawa na hoteli. Kwa kawaida mama…

Read More

Samia awatoa hofu wafanyabiashara Kariakoo ujio wa EACLC

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema Kituo cha Biashara na Usafirishaji Afrika Mashariki (EACLC) kilichopo Ubungo hakijaanzishwa kushindana na Soko la Kariakoo, bali kuimarisha biashara na kuwa mfano wa kufundisha namna bora ya kuendesha masoko makubwa nchini. “Kuwepo kwa kitu hiki si mshindani wa Soko la Kariakoo. Soko la Kariakoo limejenga jina kwa…

Read More

Yanga ijipange hasa kwa Mokwena

TUMEONA na kusikia tetesi miongoni mwa makocha ambao Yanga inawapigia chapuo kurithi mikoba ya Miloud Hamdi ni aliyekuwa Kocha wa Wydad Casablanca, Rulani Mokwena. Habari hii imetusisimua wengi hapa maskani maana Mokwena ni kocha mkubwa sana Afrika hivi sasa na wasifu wake unajieleza wala hakuna haja na sababu ya kubishana katika hilo. Hauwezi kusema kocha…

Read More

Jinsi Seaweed – na Kuzingatia kwa Mtu Mmoja – Inaweza Kuokoa Ulimwengu – Maswala ya Ulimwenguni

Lesconil, bandari ya uvuvi iliyokatwa na chumvi iliyowekwa ndani ya pwani ya Brittany, kaskazini mwa Ufaransa, husababisha polepole chini ya alfajiri ya Atlantic. Mabwawa ya mawimbi yanang’aa, kupumua na bahari-bila shida lakini kwa kilio cha bahari ya bahari na takwimu moja katika maji ya manjano, goti ndani ya msitu wa mwani. Mtu, Vincent Doumeizel, huinua…

Read More