BARABARA YA MLIMA KITONGA KUWA NJIA NNE
…….. 📌Lengo ni kupunguza foleni, usalama 📌Ni Maelekezo ya Rais Samia 📌Waziri Ulega aagiza manunuzi yaanze mara moja SERIKALI iko katika hatua za mwisho za kuanza upanuzi wa barabara ya Kitonga mkoani Iringa ambayo sasa itakuwa ya njia nne na yenye taa za barabarani. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema kuwa hatua hiyo ni uamuzi…