KERRY 2026 TASTE CHARTS REVEAL TANGERINE, TAMARIND, AND MANGO CHILLI DRIVE A CONTINENT-WIDE SHIFT IN FLAVOUR

 *********** TANZANIA, Dar Es Salaam – Kerry, the global leader in taste and nutrition, has unveiled the Tanzania 2026 Taste Charts, highlighting a definitive shift in consumer palates across the continent. The new reports, covering 54 countries across Africa, including Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, and Zambia, signal that African consumers are moving beyond traditional staple…

Read More

Soko Ilala Boma kuboreshwa, wafanyabiashara wajipanga mapema

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikianza michakato ya uboreshaji wa Soko la Nguo na Vyakula Ilala Boma jijini Dar es Salaam, wafanyabiashara sokoni humo, wameanza kujihesabu na kupeana namba ili wasikose nafasi baada ya ukarabati. Hofu ya wafanyabiashara hao, imetokana na yaliyotokea katika Soko la Kariakoo lililoungua Julai mwaka 2021, baada ya ukarabati, kuliibuka malalamiko…

Read More

Meridianbet Yaisogeza Mtaani Meridian Bonanza

MERIDIANBET imeusogeza kwenu mchezo mpya wa kasino mtandaoni, Meridian Bonanza, ambao tayari unazua shauku kwa wapenzi wa michezo ya kubashiri. Mchezo huu ni mkubwa, wa kisasa na wenye ubunifu wa hali ya juu, unaokuweka karibu na ushindi wa kusisimua kila unapopiga mzunguko wako. Meridian Bonanza inachagizwa upekee wake kwa kipengele cha Ante Bet. Wachezaji wanapewa…

Read More

Majogoro aibuka mazoezi ya KMC, uongozi wafunguka

MUDA mfupi baada ya Mwanaspoti kuripoti kuwa aliyekuwa kiungo mkabaji wa Chippa United ya Afrika ya Kusini, Baraka Majogoro kuhitajiwa na KMC nyota huyo ameibukia mazoezi ya timu hiyo. Majogoro kwa sasa ni mchezaji huru baada ya kuvunja mkataba na Chippa na tayari baadhi ya timu zimeonyesha nia ya kumhitaji ikiwemo KMC. Timu hiyo ikiwa…

Read More

Unavyoweza kumjua hasidi wa ndoa yako

Katika maisha ya ndoa, hakuna jambo zuri kama kuwa na mwenza unayependana naye kwa dhati, lakini pia hakuna changamoto kubwa kama kushughulika na watu wasiokutakia mema uhusiano huo.  Watu hawa, mara nyingi huingia katika maisha ya wanandoa kama marafiki, ndugu, au hata majirani, lakini lengo lao si jema. Ni muhimu sana kutambua na kujua dalili…

Read More