Mamilioni ya kazi zilizo hatarini huko Asia-Pacific kama kupitishwa kwa AI katika mataifa tajiri-maswala ya ulimwengu

Kama vile ukuaji wa uchumi katika 19th Karne “igawanye ulimwengu kuwa matajiri wachache na masikini”, Mapinduzi ya AI yanaweza kufanya vivyo hivyo. “Nchi ambazo zinawekeza katika ustadi, kompyuta nguvu na mifumo ya utawala mzuri itafaidika, zingine zinahatarisha kuachwa nyuma sana“Alionya Philip Schellekens, mchumi mkuu wa mpango wa maendeleo wa UN kwa mkoa wa Asia na…

Read More

Baresi aanza na washambuliaji KMC

KOCHA Mkuu wa KMC, Abdallah Mohamed ‘Baresi’ amesema timu haiwezi kufunga bila ya kuwa na washambuliaji wenye ubora wa kuona lango, hivyo mpango wa kwanza ndani ya timu hiyo ni kufanyia kazi eneo hilo dirisha la usajili sambamba na kumchomoa beki mmoja Zimamoto. Baresi amejiunga na KMC kuziba pengo la Marcio Maximo aliyefikia makubaliano ya…

Read More

Kesi ya ‘vigogo wa Kigamboni’ yakwama

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeshindwa kusikiliza ushahidi katika kesi ya kuchepusha fedha na kuisababishia Wizara ya Tamisemi hasara ya Sh165 milioni, inayowakabili washtakiwa 13, wakiwemo wakuu wa Idara wa Manispaa ya Kigamboni, kutokana na washtakiwa wawili kushindwa kuleta Mahakamani wakitokea gereza za Segerea. Kesi hiyo ilipangwa leo Jumanne Januari 13, 2026…

Read More

Hii Taifa Stars usiikatie tamaa

GHAFLA Taifa Stars imepindua meza kibabe na kurudi njia kuu kwenye matumaini ya kufuzu ushiriki wa Fainali za Mataifa Afrika, baada ya kuichapa Guinea kwa mabao 2-1 tena ikiwa ugenini. Mchezo huo wa Kundi H ulipigwa huko Ivory Coast, kulikochaguliwa na Guinea kuwa uwanja wa nyumbani, huku ikitoka kupoteza mbele ya DR Congo wakati Tanzania…

Read More

Dira ya maendeleo 2050, asasi za kiraia zafundwa

Arusha. Mwenyekiti wa Chama cha Wanawake Wafanyabiashara Tanzania (TWCC), Mercy Silla amezitaka asasi za kiraia nchini kuwa na mikakati ya kusogeza mbele ajenda za maendeleo ya nchi, ili kuhakikisha lengo la utoaji huduma shirikishi linatimizwa kwa wananchi wote. Silla ameyasema hayo leo Juni 2, 2025 jijini Arusha wakati wa ufunguzi rasmi wa wiki ya asasi…

Read More

New King yavunja mwiko na kupanda ZPL 

Timu ya New King maarufu ‘Wachoma Mahindi’ imetegua kitendawili kilichokuwa kikiulizwa na wengi kwa miongoni mwa timu zilizopanda daraja na msimu ujao itacheza Ligi Kuu Zanzibar(ZPL). Timu nyingine zilivuka hatua hiyo kwa Kanda ya Pemba ni Wawi na Fufuni zitakazocheza ZPL kwa kwa mara ya kwanza pia.  Wachoma Mahindi wametinga hatua hiyo baada ya kuitandika mabao…

Read More