Mpango asimulia Magufuli alivyomsisitiza kumtegemea Mungu, kudhibiti mapato ya Serikali
Dar es Salaam. Katika kumbukumbu zake kuhusu aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, John Magufuli, Makamu wa Rais mstaafu, Dk Philip Mpango anasimulia kwa sauti ya utulivu lakini yenye hisia akikumbuka kiongozi aliyemfundisha kumtegemea Mungu na kusimamia fedha za umma kwa nidhamu isiyoyumba. Dk Mpango ametoa simulizi hiyo leo Chato inakofanyika misa takatifu ya kumbukumbu…