Wafungwa 1,500 watoroka Maputo katika machafuko ya uchaguzi – DW – 25.12.2024

Mkuu wa Polisi Bernardino Rafael amesema jumla ya wafungwa 1,534 walitoroka kutoka gereza lenye ulinzi mkali lililoko umbali wa takriban kilomita 15 kutoka mji mkuu Maputo. Akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari, alibainisha kuwa kati ya waliokuwa wakijaribu kutoroka, 33 waliuawa na 15 walijeruhiwa katika makabiliano na walinzi wa gereza.  Operesheni ya kuwasaka wahalifu…

Read More

Tshabalala apewa mtihami Simba, aletewa chuma

WAKATI Simba ikiendelea kuweka mambo sawa katika dirisha hili la usajili linaloendelea, imeshusha chuma ambacho ujio wake unatajwa kuwa unakwenda kuleta changamoto kwa nahodha msaidizi wa timu hiyo, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ katika eneo analocheza la beki wa kushoto. Hatua hiyo imekuja ikiwa ni baada ya miaka zaidi ya sita kupita ikimshuhudia Tshabalala akitamba atakavyo katika…

Read More

ATM YA WIKI: Fury alivyoendelea kumtajirisha Usky

RIYADH, SAUDI ARABIA: HESHIMA mjini. Vijana wengi wanapenda kusema baada ya kupata mafanikio hasa pesa. Juzi usiku Mei 18, Aleksandr Usyk alimkalisha Tyson Fury pambano la raundi 12, lakini kwa pointi za majaji na unaambiwa pambano hilo limempa pesa za maana. Licha ya ubabe wa Fury lakini Usyk alionyesha ni mwamba kutoka Ukrain na kumtingisha…

Read More

Mkuu wa haki za Umoja wa Mataifa aonya dhidi ya vita vikubwa, rufaa za uondoaji wa haraka – Masuala ya Ulimwenguni

“Nina wasiwasi mkubwa juu ya kuongezeka kwa hatari ya mzozo mpana Mashariki ya Kati na kuzisihi pande zote, pamoja na Mataifa hayo yenye ushawishi, kwa kuchukua hatua za haraka ili kupunguza hali ambayo imekuwa hatari sana,” Volker Türk alisema katika taarifa. Alisisitiza kwamba “haki za binadamu – kwanza kabisa ulinzi wa raia – lazima ziwe…

Read More

‘Bima ya afya kwa watalii haijaleta athari’

Unguja. Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale, Mudrik Ramadhani Soraga, amesema kuwa kuanzishwa kwa bima maalumu kwa watalii hakujapunguza idadi ya wageni kisiwani Zanzibar, bali kumechangia ongezeko la idadi yao. Soraga alibainisha kuwa tangu bima hiyo ilipoanza kutumika rasmi mnamo Oktoba 1, 2024, kumekuwa na ongezeko la watalii kwa asilimia 17 kila mwezi. Amesema…

Read More

Pigo lingine Simba | Mwanaspoti

SIMBA itakuwa uwanjani leo Jumatano kwa mara ya kwanza tangu itoke kambini Misri, lakini baada ya mshambuliaji Jonathan Sowah, kuna staa mwingine inaweza kumkosa mbele ya Yanga. Simba itamkosa Sowah kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga, lakini mashabiki wa timu…

Read More

ACT Wazalendo yajipanga kulitwaa Jimbo la Moshi vijijini

Moshi. Makada wawili wa Chama cha ACT – Wazalendo, wamechukua fomu za kuomba ridhaa ya chama chao kugombea ubunge jimbo la Moshi vijijini mkoani Kilimanjaro, katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu. Makada hao Livin Msele na Jackson Masawe, wamechukua fomu kwa nyakati tofauti katika ofisi za chama hicho mkoa, zilizopo mtaa wa Kiusa,…

Read More