Kilio wananchi, madereva kero ya foleni Dar

Dar es Salaam. Ukiacha wingi wa mishemishe, starehe, biashara na vituko vinavyotokana na idadi kubwa ya watu katika Jiji la Dar es Salaam, msongamano wa magari barabarani ni moja ya karaha yenye maumivu yanayogusa sekta nyingi. Mbali na kuwa kikwazo cha kuwahi kazini, msongamano wa magari unadhoofisha uzalishaji wa nchi, unaongeza gharama za usafiri na…

Read More

Yanga kuweka kambi Ulaya | Mwanaspoti

IMEPITA misimu mitatu mfululizo Yanga ikijichimbia kambi ya maandalizi ya mpya mpya (pre season) ikiwa Avic Town, Kigamboni jijini Dar es Salaam, lakini safari hii huenda mambo yakabadilika baada ya klabu hiyo kupata mwaliko wa kwenda Ulaya kuweka kambi kujiandaa na msimu mpya. Klabu hiyo ambayo leo usiku inazindua kitabu kiitwacho Klabu Yetu, Historia Yetu, imepata…

Read More

Waendesha kampeni Lissu apate gari jipya

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Tundu Lissu kukabidhiwa gari lake lililokuwa limehifadhiwa katika Kituo Kikuu cha Polisi Mkoa wa Dodoma, baadhi ya watu, wakiwamo makada wa chama hicho, wameanzisha mchango kwa ajili ya kumnunulia gari jipya. Lissu alikwenda kituoni hapo juzi kuchukua gari hilo ikiwa imepita miaka saba…

Read More

Mo Dewji awatia hasira mastaa Simba

KIKOSI cha Simba kinaendelea kujifua baada ya mchezo wao wa Ligi Kuu uliokuwa upigwe leo dhidi ya Dodoma Jiji kuahirishwa, lakini mapema bilionea na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa klabu hiyo, Mohammed ‘MO’ Dewji amechochea moto wa kuzoa pointi kwa timu hiyo. Kabla ya mechi za jana, Simba ilikuwa kileleni mwa msimamo ikiwa na…

Read More

Tanzania yafanikiwa Kuzuia Asilimia 86 ya Uzalishaji wa Kemikali Hatari kwa Tabaka la Ozoni – MWANAHARAKATI MZALENDO

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Ashatu Kijaji amesema Tanzania imefanikiwa kuzuia tani 216 sawa na asilimia 86 ya uzalishaji wa kemikali hatari kwa tabaka la ozoni ambazo zingeingia nchini na kuleta madhara. Amesema mafanikio hayo yamekuja kutokana na Tanzania kuungana na nchi zingine duniani kuridhia na kusaini Itifaki…

Read More

VODACOM TANZANIA WAMKARIBISHA NWANKWO KANU KWENYE TWENDE BUTIAMA

 Taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation imemkaribisha nchini Tanzania, gwiji wa Soka Barani Afrika kutoka nchini Nigeria, Nwankwo Kanu, katika ziara ya mbio za Twende Butiama mwaka 2024.  Kupitia taasisi yake ya Kanu Heart Foundation, Kanu ameelezea kufurahishwa kwake kuungana na juhudi zinazofanywa na Twende Butiama kama sehemu ya kumuenzi Baba wa Taifa wa Tanzania, Hayati…

Read More