TPA KUFUNGUA MILANGO YA BIASHARA KIMATAIFA

Na Mwandishi Wetu  Serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari  Tanzania (TPA) inaendelea kufungua fursa za uwekezaji katika sekta ya meli ili kuimarisha usafirishaji wa mizigo ndani na nje ya nchi. Katika juhudi hizo, TPA ilipokea maombi kutoka kampuni ya Gold Voyage Logistics Limited, tanzu ya Zijin Mining Group Co. Ltd, ya kukodisha eneo katika…

Read More

Furahia na dumisha ndoa yako kisayansi

Kwa muda mrefu, ndoa imekuwa ikitazamwa kama jambo la hisia, bahati au mapenzi yasiyo na maelezo. Watu wengi huamini kuwa ndoa ikianza vizuri, basi itaendelea kuwa nzuri, au ikianza kwa shida, basi ni mkosi wa maisha. Lakini utafiti wa kisayansi umeanza kubadilisha mtazamo huu. Leo, sayansi inaonesha kuwa ndoa yenye furaha si bahati nasibu, bali…

Read More

Daraja linalounganisha Bamba na Dege Kigamboni lakatika

Dar es Salaam. Wananchi wa Kigamboni wameeleza adha wanayopitia kutokana na kukatika kwa daraja linalounganisha eneo la Bamba na Dege, Kigamboni jijini Dar es Salaam kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha. Leo Jumapili, Machi 22, 2026, Mwananchi imefika eneo hilo na kushuhudia utepe wa njano ukiwa umezungushwa kuanzia mita kama 50 kutoka daraja lililokatika, ili kuzuia…

Read More

Marekani Yaipa Iran Saa 48 Kufungua Strait of Hormuz

Global Publishers March 22, 2026 0 Comments Rais wa Marekani, Donald J. Trump, ametuma ujumbe mkali akiilenga Iran kuhusu hali ya usalama katika eneo la Strait of Hormuz. Kupitia ujumbe uliosambaa mtandaoni, Trump ameonya kuwa Iran inapaswa kufungua njia hiyo muhimu ya kimataifa bila vitisho ndani ya muda maalum wa saa 48, akisisitiza kuwa hatua…

Read More

NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI NA RAIS WA RED CROSS TANZANIA DAVID KIHENZILE ATEMBELEA OFISI ZA RED CROSS AFRIKA KUSINI

JOHANNESBURG: Naibu Waziri wa Uchukuzi, ambaye pia ni Rais wa Red Cross Tanzania David Kihenzile, ametembelea ofisi za Red Cross jijini Johannesburg, ambako alikutana na viongozi wakuu wa Southern African Red Cross Society akiwemo rais na katibu mkuu, na kujadili namna bora ya kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Afrika Kusini, hususan katika kuendeleza shughuli…

Read More