TPA KUFUNGUA MILANGO YA BIASHARA KIMATAIFA
Na Mwandishi Wetu Serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) inaendelea kufungua fursa za uwekezaji katika sekta ya meli ili kuimarisha usafirishaji wa mizigo ndani na nje ya nchi. Katika juhudi hizo, TPA ilipokea maombi kutoka kampuni ya Gold Voyage Logistics Limited, tanzu ya Zijin Mining Group Co. Ltd, ya kukodisha eneo katika…