TCRA: Tuwaandae vijana kuchochea mfumo wa kidijiti

Arusha. Ili kuongeza wataalamu wa usalama wa mtandao watakaolinda mustakabali wa mazingira ya kidijitali nchini yenye kuchochea mfumo wa kidijiti na ubunifu, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imeeleza muhimu wa kuongeza jitihada za kuwaandaa vijana katika eneo hilo. Mkurugenzi wa Tehama kutoka TCRA, Tusajigwe Mwalukasa amesema ni muhimu jitihada hizo kuongezwa ili kuchochea bunifu na…

Read More

RC Songwe apiga marufuku uchomaji mkaa

Songwe. Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Jabir Makame ametangaza marufuku ya ukataji holela wa miti katika mkoa huo akisisitiza kuwa hatua kali zitachukuliwa dhidi ya wote watakaokiuka agizo hilo. Makame ameyasema hayo wakati wa kuhitimisha Jukwaa la Wadau wa Mazingira, Maji na Nishati Safi ya Kupikia lililofanyika leo Januari 30, 2026, likiwakutanisha wadau mbalimbali kutoka…

Read More

SAMIA LEGAL AID KURUDISHA TABASAMU LA WANANCHI.

Na Seif Mangwangi, Michuzi TV, Arusha. Msaada wa kisheria wa Samia Legal Aids umeahidi kurudisha tabasamu kwa wananchi kwa kuwapatia msaada wa kisheria katika migogoro inayowakumba hadi pale ufumbuzi unapopatikana. Akizungumza katika mkutano wa wanasheria kutoka sekretarieti za mikoa wanaotoa msaada wa kisheria kutoka  SAMIA LEGAL AIDS nchi nzima, Mkurugenzi wa sheria ofisi ya Waziri…

Read More

Kocha Alliance Girls asepa, timu yabariki

HATIMAYE baada ya tetesi za muda mrefu, Kocha Mkuu wa Alliance Girls, Sultan Juma ameondoka klabuni hapo na kwenda kutafuta changamoto kwingine baada ya mazungumzo ya kuongeza mkataba kushindwa kufanikiwa. Juma ameondoka pamoja na wasaidizi wake, Amani Luambano na Masoud Bakari (kocha wa makipa), ambao walisaini mkataba wa mwaka mmoja msimu uliopita. Chini ya benchi…

Read More