MTU WA MPIRA: Simba Imesajili vizuri, Yanga bado ni bora

TUMESHUHUDIA Dabi ya Kariakoo bora kabisa Alhamisi iliyopita. Soka lilipigwa kweli kweli pale kwa Mkapa. Hakuna aliyetaka kupoteza hata sekunde. Licha ya ushindi wa Yanga, mpira ulikuwa mzuri sana. Ulikuwa wa ushindani na ufundi mkubwa. Uliakisi ukubwa wa soka la Tanzania kwa sasa. Kabla ya mchezo Yanga alipewa nafasi kubwa ya kushinda. Wapo walioamini angeshinda…

Read More

Wawili wakamatwa kwa tuhuma za mauaji, dawa za kulevya

Arusha. Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limewakamata watu wawili kwa tuhuma za usafirishaji wa dawa za kulevya na mauaji. Wawili hao ni dereva bajaji, Peter Mwacha (18) mkazi wa Sombetini Jijini Arusha ambaye amekamatwa akituhumiwa kusafirisha  dawa za kulevya aina ya mirungi kilogramu 98.55, huku Ramadhani Yahaya (28) maarufu Msambaa akituhumiwa kwa mauaji. Taarifa…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Moalin silaha ya siri Yanga

YANGA ni wajanja sana na kwa kijiweni kuna kauli yetu unatakiwa uwe umesoma Cuba ili uweze kuwashtukia walivyo na hesabu ndefu na mipango ya kiandamizi. Wakati wanamchukua Abdihamid Moalin walituzuga jamaa anaenda kuwa mkurugenzi wa ufundi lakini kumbe walishatumia akili ya Cuba katika uamuzi wa kumchukua kocha huyo kutoka KMC. Kwanza ana leseni daraja A…

Read More