Simba V Azam FC… utamu upo kati

SIMBA imetamba leo itaendeleza Ubaya Ubwela pale ilipoishia wakati itakapokuwa wenyeji wa Dabi ya Mzizima dhidi ya Azam FC, huku Wanalambalamba wakijibu mapigo kwamba safari hii hawakubali unyonge mbele ya Mnyama. Mechi hii namba 167 ilipangwa kupigwa Uwanja wa KMC Complex, kuanzia saa 10:00 jioni, lakini juzi Bodi ya Ligi (TPLB) ilitoa taarifa ya kuuhamisha…

Read More

JKU kiroho safi kwa Yanga SC

KOCHA wa timu ya JKU, Haji Ali Nuhu amekubali matokeo ya kulikosa taji la Muungano walililolipigia hesabu mapema, lakini akiwapongeza wachezaji wa timu hiyo kwa kujitoa na kuonyesha kiwango kizuri katika michuano hiyo iliyomaliizika juzi usuku kwenye Uwanja wa Gombani, Pemba. Katika mchezo huo wa fainali JKU iliyozing’oa Singida Black Stars na Azam, ilikubali kichapo…

Read More

Yao apewa kiroba cha Nyanya Karume

MSAFARA wa Paredi la Kibingwa la Yanga inayosherehekea ubingwa wa 30 katika Ligi Kuu Bara na wa misimu mitatu mfululizo haushi vituko, kwani mara ulipoibukia pembeni ya soko la bidhaa la Karume, maeneo la Ilala, beki wa kulia wa timu hiyo,  Yao Kouassi alijikuta akipewa zawadi ya aina yake. Yao akiwa kwenye furaha na mashabiki…

Read More

KEKI KUBWA ZAIDI AFRIKA MASHARIKI YATINGISHA SABASABA – LAZIZ BAKERY YAONYESHA MAFANIKIO YA SERIKALI KWA UBUNIFU WA KIPEKEE

::::::::’ KATIKA Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa maarufu kama sabasaba,kampuni ya Laziz Bakery imeibua mshangao na kuvutia maelfu ya watembeeleaji way maonesho hayo baada ya kutengeneza keki kubwa yenye uzito wa tani 3 sawa na kilo elfu 3, ikiwa ni keki kubwa zaidi kuwahi kutengenezwa Afrika Mashariki. Keki hiyo si tu ya kipekee…

Read More