
Ziara Ya Rais Samia Neema Kwa Wenye Matatizo Ya Kisheria Morogoro
Na Mwandishi Wetu TIMU ya wanasheria wa kampeni ya Mama Samia Legal Aid imeambatana na Rais Samiua Suluhu Hassan kwenye ziara yake ya mkoani Morogoro kwa ajili ya kusikiliza na kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi. Rais Samia yuko katika ziara ya siku sita mkoani Morogoro iliyoanza tarehe mbili na inayotarajiwa kukamilika tarehe saba siku ya…