OMO aahidi kuwashirikisha wananchi kuinua uchumi Zanzibar

Pemba. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama cha ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman, maarufu OMO, amesema Serikali atakayoiunda itahakikisha kila mwananchi wa Pemba anashiriki katika shughuli za kiuchumi ili kukuza maendeleo ya kisiwa hicho. Amesema wakazi wa Pemba hawatakiwi kufundishwa biashara, kwa sababu wana kipaji na uwezo, hivyo, Serikali ya ACT-Wazalendo itakayoundwa baada ya…

Read More

NIC Tanzania na Benki ya COOP Watia Saini Mkataba wa Ushirikiano wa Kimkakati Kupanua Upatikanaji wa Huduma za Bima

Shirika la Bima la Taifa Tanzania (NIC) Limited imeingia makubaliano ya Ushirikiano (MoU) na Benki ya COOP Tanzania. Hafla rasmi ya kutiwa saini ilifanyika tarehe 10 Septemba katika Makao Makuu ya Benki ya COOP, Mtaa wa Kuu, Dodoma. Akizungumza wakati wa hafla hiyo, Kaimu Abdi Mkeyenge, Mkurugenzi Mtendaji wa NIC, alisema: > “Ushirikiano huu wa…

Read More

Chama la Samatta hatarini kushuka daraja

KLABU ya Le Havre AC anayoichezea mshambuliaji wa Kitanzania, Mbwana Samatta iko kwenye nafasi mbaya na hatari ya kushuka daraja kama haitashtuka mwishoni. Le Havre iko nafasi ya 15 kwenye msimamo wa ligi, nafasi ambayo siyo salama kutokana na tofauti ndogo ya pointi na timu zinazopigania kubaki kwenye ligi hiyo. Timu hiyo imekusanya pointi 26…

Read More