Askofu Malasusa agusia utekaji, asema unatia hofu

Dar es Salaam. Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Alex Malasusa amegusia matukio ya utekaji yanayoripotiwa nchini akisema, Watanzania wamepitia kipindi kigumu. Amesema tangu azaliwe kwake hajawahi kusikia watu wakitekwa. Amesema hayo leo Desemba 25, 2024 katika Kanisa la Azania Front, jijini Dar es Salaam wakati wa ibada ya Krismasi…

Read More

Stanbic yatajwa tena benki bora Tanzania mwaka 2025

Dar es Salaam. Kwa mara nyingine tena Stanbic imetajwa kuwa Benki Bora zaidi Tanzania kwa mwaka 2025 na jarida la The Banker, chapisho la kimataifa la masuala ya benki chini ya Financial Times. Tuzo hii inatambua utendaji mzuri wa kifedha wa benki, ubunifu na mchango wake endelevu katika maendeleo ya uchumi wa Tanzania na hii…

Read More

WAZIRI MKENDA ATAKA MAAFISA UTHIBITI UBORA WA WILAYA WATEULE KUSIMAMIA MAGEUZI YANAYOFANYWA  SEKTA YA ELIMU

 Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda,akizungumza wakati akifungua Mafunzo Elekezi ya siku tatu kwa Maofisa Uthibiti ubora wa Wilaya Wateule  yanayofanyika jijini Dodoma. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda,akizungumza wakati akifungua Mafunzo Elekezi ya siku tatu kwa Maofisa Uthibiti ubora wa Wilaya Wateule yanayofanyika jijini Dodoma. Waziri wa Elimu,…

Read More

Asasi ya Agenda yabainisha madhara ya kemikali zilizopo kwenye Plastiki

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizojiunga katika kupunguza matumizi ya plastiki kama njia mojawapo ya kutunza na kuhifadhi mazingira. Katika kutekeleza suala hilo Juni mosi mwaka 2019 Tanzania ilitangaza marufuku ya kutengeneza, kusambaza, kutumia au kutunza mifuko ya plastiki. Katazo hili lilifuatia tangazo lililotolewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Waziri wa…

Read More

Lissu kujibu shitaka la uhaini leo kwa mara ya kwanza

‎Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, leo anapandishwa kizimbani, Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, kwa ajili ya kesi ya uhaini inayomkabili, kwa ajili ya usikilizwaji wa awali (preliminary hearing – PH). Kesi hiyo imepangwa kusikilizwa leo, Jumatatu Agosti 8, 2025 katika hatua hiyo  na Jaji Mfawidhi…

Read More

MERIDIANBET YARUDISHA KWA JAMII TENA

KAMPUNI inayosifika kwenye ubashiri ya Meridianbet imefanikiwa lurudisha kwenye jamii kwa mara nyingine tena na leo wamefika maeneo ya Mbagala Kingugi jijini Dar-es-salaam. Zamu hii imekua ni Mbagala ambapo Meridianbet wamefanikiwa kufika kwenye familia yenye uhitaji kwelikweli na kutoa msaada, Ambapo wametoa msaada kwenye familia ya Mzee Yusuph Mdogwa ambaye ana ulemavu wa macho. Familia…

Read More

Msako wa CEO, KMC yaivamia Yanga

UONGOZI wa KMC unatafuta Ofisa Mtendaji Mkuu (CEO), baada ya Daniel Mwakasungula, aliyekuwa anashikilia nafasi hiyo kumaliza mkataba wake, huku taarifa zikieleza Mkurugenzi wa Mashindano wa Yanga, Ibrahim Mohamed, ni miongoni mwa wanaotajwa kumrithi.  Licha ya uongozi wa KMC kutoweka wazi juu ya suala hilo, lakini Mwanaspoti linatambua Ibrahim ni miongoni mwa wanaohitajika ili akakiongoze…

Read More