Serikali yatwishwa zigo vurugu za bodaboda

Dar es Salaam. Mamlaka za usimamizi wa sheria za usalama barabarani zinalalamikiwa kwa kushindwa kutekeleza wajibu wake ipasavyo, hivyo kuwa chanzo cha vurugu za madereva wa bajaji na bodaboda. Lawama zinaelekezwa kwa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Ardhini (Latra) na Jeshi la Polisi Kitengo cha Usalama Barabarani zinazosimamia Sheria ya Usalama Barabarani ya mwaka 1973…

Read More

Undani soko la nyama choma la Kumbilamoto Dar

Dar es Salaam. Je, umewahi kusikia kuhusu soko la nyama choma la Kumbilamoto? Mie nimesikia habari zake kwa watu kadhaa, nikaweka mpango wa kuandaa mtoko wa kwenda kula nyama choma, mwishoni mwa wiki. Jana Jumapili Julai 6, 2025 siku ya mapumziko, natoka ‘home’ kwenda kula nyama choma-Vingunguti. Ndio, Vingunguti. Machinjioni. Nyama za kila aina zinapatikana,…

Read More

Moto wateketeza vibanda 13 soko la Singida

Dodoma. Moto ambao chanzo chake bado hakijafahamika umeteketeza vibanda 13 vilivyomo ndani ya Soko Kuu la Singida na kuharibu mali ambazo bado thamani yake hakijafahamika. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Amon Kakwale amethibitisha leo Jumamosi Julai 5, 2025 kwamba sehemu kubwa ya mali za wafanyabiashara ziliokolewa. Moto huo ulianza saa nne usiku na kwamba…

Read More

Waziri wa Kilimo Atembelea Shamba la Kuzalisha Mbegu za Shayir

WAZIRI wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) ametembelea shamba la kuzalisha mbegu za shayiri la kampuni ya Silverland Ndolela Limited, tarehe 18 Septemba 2024 lililopo mkoani Ruvuma.  Amepitia mashine na Mifumo mbalimbali ya uzalishaji wa mbegu na kujadili namna ya kushirikiana nao, ubia kati ya Serikali na Sekta Binafsi (Public Private Partnership – PPP), katika…

Read More

Yanga yashusha kitasa kipya, msaidizi wa Aucho

KLABU ya Yanga imekamilisha usajili wa kiungo mkabaji, Aziz Andambwile kutoka Singida Fountain Gates kwa mkataba wa miaka miwili. Kiungo huyo amejiunga na Yanga kuongeza nguvu eneo la kiungo cha ukabaji ambapo anaungana na Khalid Aucho na Jonas Mkude. Usajili wa kiungo huyo unamaanisha kwamba anakwenda kuchukua nafasi ya Zawadi Mauya ambaye hivi karibuni aliondoka…

Read More

Lissu ataka Chadema mpya kwenye uongozi wake

  TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ametangaza nia ya kuwania nafasi ya uenyekiti wa hicho. Amesema kuwa atafanya mabadiliko kadhaa ambayo anayaona na mapufu. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam … (endelea). Lissu akitangaza Rasmi uamuzi huo leo amesema ametangaza uamuzi huu baada ya kujiona anasifa zilianishwa na Katiba…

Read More

Watoto hatarini kupata magonjwa yasiyoambukiza kutokana na ulaji mbovu

Moshi. Ulaji usio sahihi kwa watoto umetajwa kuchangia ongezeko la watoto wenye uzito uliopitiliza, hatua inayowaweka katika hatari ya kupata magonjwa yasiyoambukiza wakiwa bado wadogo. Daktari bingwa wa magonjwa ya watoto katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kilimanjaro, Mawenzi, Dk Jonas Kessy amesema wazazi wengi wamekuwa wakiwaanzishia watoto vyakula mapema kinyume na maelekezo ya…

Read More

Kisasi cha mtoto kwa mzazi ni matokeo ya maumivu uliyompa

Wazazi wanapaswa kutambua kuwa athari za malezi mabaya hazikomei utotoni, bali huenda zikatawala maisha ya mtoto hata akiwa mtu mzima. Kupitia upendo, uelewa na mawasiliano, tunaweza kuvunja mzunguko wa mateso na kujenga kizazi chenye afya ya mwili na akili. Siku njema huonekana tangu asubuhi, Waswahili ndivyo wasemavyo, msemo ambao pi ulianza kutumika tangu enzi za…

Read More

Hekaya za Mlevi: Sasa imbeni “miskanka mishisha”…

Dar es Salaam. Waswahili waliposema “Pombe siyo maji” hawakukosea hata kidogo. Ilitokea siku moja tukitayarisha mazishi ya rafiki yetu aliyetutoka siku moja kabla. Tukaliandaa kaburi kwa jinsi ilivyotakiwa, lakini tukiwa njiani kurudi msibani tukakiona kivuli. Tukaona si vibaya tukapate moja mbili za kutoa uchovu pamoja na kupunguza makali ya msiba. Tulikuwa kadiri ya watu sita tukiongozana…

Read More