Shabiki wa Yanga Afungiwa Miezi 12 Kwa Uharibifu wa Mali
Global Publishers March 20, 2026 0 Comments Shabiki maarufu wa Yanga, Carlos Leonard Mayangura, amefungiwa kwa muda wa miezi 12 kufuatia kuhusika katika tukio la uharibifu wa mali katika dimba la Uwanja wa Airtel Mtipa. Kwa mujibu wa taarifa rasmi, shabiki huyo aliongoza kundi la mashabiki pamoja na baadhi ya maofisa wa ulinzi wa klabu…