Aliyekataa bao, aliyefunga wafungiwa | Mwanaspoti

BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), imetoa adhabu kwa klabu, wachezaji na waamuzi kufuatia matukio yaliyojitokeza katika michezo mbalimbali  ikiwemo Dabi ya Kariakoo iliyopigwa wikiendi iliyopita, Zanzibar. Katika uamuzi huo uliotangazwa Machi 6, 2026, Simba imeadhibiwa kwa makosa yaliyotokea katika michezo tofauti ya Ligi Kuu Bara. Katika mchezo dhidi ya Dodoma Jiji, Simba imetozwa faini…

Read More

Shingo na misukosuko katika siasa hadi ubunge

Dar es Salaam.  Kama uliwahi kusikia kuhusu neno mapito magumu katika utumishi wa kisiasa, basi mbunge wa sasa wa Ukonga, Bakari Shingo ni miongoni mwa mifano sahihi ya watu waliopita katika njia hiyo hadi kushika wadhifa alionao. Shingo aliyeianza siasa miaka 33 iliyopita akiwa mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), anasema aliwahi kujikuta…

Read More