Ibrahim Ajibu aanza tambo mapema

KIUNGO mshambuliaji wa KMC, Ibrahim Ajibu ameweka wazi atakuwa na msimu bora katika kikosi hicho akipewa nguvu na ubora wa usajili uliofanywa na uongozi wa timu. Ajibu msimu 2025/26 ataitumikia KMC baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja na amejiunga na timu hiyo akitokea Dodoma Jiji. Pia amewahi kucheza klabu kadhaa hapa nchini zikiwemo Simba,…

Read More

Idadi ya vifo ajali ya Chemba yafikia 11

Dodoma. Majeruhi wawili kati ya 11 waliokuwa wakipatiwa matibabu baada ya ajali ya basi la abiria na lori iliyotokea Chemba, mkoani Dodoma, wamefariki dunia, hivyo kufanya idadi ya vifo kufikia 11. Ajali hiyo ilitokea alfajili ya jana, Alhamisi Septemba 18, 2025, na kusababisha vifo vya watu tisa, watano wanaume na wanne wanawake. Mganga Mfawidhi wa…

Read More

Tume ya Uhuru ya UN inagundua kuwa vikosi vya Israeli vimefanya mauaji ya kimbari huko Gaza – maswala ya ulimwengu

Watoto wa Gazan wamesimama kwenye kifusi cha nyumba yao iliyobomolewa huko Rafah. Mikopo: UNICEF/EYAD EL BABA na Oritro Karim (Umoja wa Mataifa) Jumatano, Septemba 17, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Umoja wa Mataifa, Septemba 17 (IPS) – Mnamo Septemba 16, jeshi la Israeli lilianza kukera katika jiji la Gaza, likifuatana na kuongezeka kwa maeneo…

Read More

Serikali yaingilia kati mgomo wa madereva daladala Himo

Moshi. Madereva daladala eneo la Njia Panda, Himo wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro, waligoma kwa zaidi ya saa tano wakidai madereva bajaji kuwanyang’anya abiria katika vituo vyao vya kupakia na kushusha abiria barabara ya Marangu–Mwika. Mgomo huo ulitokea Februari 25, 2026 na kusababisha usumbufu kwa wasafiri, huku daladala zikisitisha huduma zikishinikiza bajaji kuondoka katika eneo lao….

Read More

Mabingwa Watetezi Pyramids Waaga CAFCL Kwa Maumivu

Global Publishers March 22, 2026 0 Comments Mabingwa watetezi wa CAF Champions League, Pyramids FC, wameaga rasmi michuano hiyo baada ya kutolewa na AS FAR Rabat kwa jumla ya mabao 3-2 katika hatua ya robo fainali. Baada ya sare ya 1-1 kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza, Pyramids walishuka dimbani wakiwa na matumaini ya kusonga…

Read More