Mwanasheria Mkuu wa Serikali Aahidi Kuboresha Sekta ya Sheria kwa Kutoa Dira kwa Wanasheria Nchini

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Hamza Johari, ametoa ahadi ya kutoa mwelekeo kwa wanasheria wote nchini ili kuhakikisha wanatoa huduma za sheria serikalini kwa ufanisi, weledi, na ubora kwa kuzingatia mabadiliko ya kiuchumi, kisiasa,teknolojia,tamaduni na hata kimazingira. Ameyasema hayo hayo leo Desemba 6, 2024 Jijini Dodoma katika Kikao chake na wakurugenzi…

Read More

Michoro ya kale Kondoa kuvuta watalii

Dodoma. Maadhimisho ya Siku ya Urithi wa Dunia kwa Afrika kesho Mei 5, 2024 kuwaleta watalii wa ndani na  nje kwenye michoro ya mapangoni iliyopo Kijiji cha Kolo, Kondoa Irangi mkoani hapa. Michoro hiyo ambayo ni Urithi wa Utamaduni na Malikale imetangazwa na Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (Unesco) kuwa moja…

Read More

Nyongeza ya mishahara Zanzibar yaachwa kwenye mabano

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi, ameitaka wizara husika kushirikiana kwa karibu na vyama vya wafanyakazi pamoja na waajiri, kuendeleza majadiliano ya kina na ya mara kwa mara ili kuhakikisha hoja na changamoto zinazowakabili wafanyakazi zinapatiwa suluhisho la kudumu. Ametoa maagizo hayo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), yaliyofanyika kitaifa…

Read More

Wauza nyama wagoma, wananchi wahaha kusaka kitoweo Iringa

Iringa. Wafanyabiashara wa nyama katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa leo Alhamisi Agosti Mosi, 2024 wamegoma kufungua mabucha yao wakilalamikia kupanda kwa tozo na ushuru wa uchinjaji. Tozo hizo wanadai zinatozwa na Halmashauri ya Manispaa ya Iringa na wamechukua hatua hiyo ili kuushinikiza uongozi upunguze gharama hizo walizodai zimepanda kutoka Sh4,000 mpaka Sh10,000. mmoja wa…

Read More