KONA YA MALOTO: Mtihani wa Lissu Chadema ni sawa na Ruto Kenya

Uchaguzi unapoisha, macho yote humtazama aliyeshinda. Matarajio huwa mengi endapo mshindi anakuwa mpya kwenye kiti. Mategemeo huwa na nguvu zaidi pale mshindi mpya anapofanikiwa kupitia agenda ya kumsiliba mtangulizi wake. Ilitokea Kenya kama mfano dhahiri. Rais William Ruto, hadi sasa bado anateswa na urais wake. Tangu alipokula kiapo kuiongoza nchi hiyo, Septemba 13, 2022, amekuwa…

Read More

Safari ya maisha ya Ndugai ilivyohitimishwa Kongwa

‎Kongwa. Mwili wa Spika wa Bunge mstaafu Job Ndugai umezikwa leo Agosti 11, 2025 shambani kwake, katika Kijiji cha Mandumbwa Kata ya Sejeli wilayani Kongwa huku Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiongoza waombolezaji kwenye mazishi hayo na kutoa ujumbe wa kumuenzi. ‎Wengine waliohudhuria mazishi hayo ni Katibu Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ),…

Read More

Hatimaye Hersi afunguka ndoa ya Aziz Ki, Mobetto

Rais wa Yanga, Hersi Said amevunja ukimya kuhusu ndoa ya nyota wa timu hiyo, Stephane Aziz Ki na Hamisa Mobetto. Ndoa hiyo ilifungwa jana Februari 16, 2025 katika Msikiti wa Masjid Nnuur uliopo Mbweni jijini Dar es Salaam ikifuatiwa na hafla ya kibao kata iliyofanyika nyumbani kwa bibi harusi, Bahari beach. Siku moja kabla ya ndoa, Mobetto…

Read More

WATU SABA MIAKA 30 JELA NA WENGINE KIFUNGO CHA MAISHA KWA MAKOSA YA KUBAKA NA KULAWITI MKOANI PWANI – MWANAHARAKATI MZALENDO

    KATIKA kipindi cha Julai hadi agost 2024 watuhumiwa saba katika mkoa wa Pwani, wamehukumiwa miaka 30 jela na wengine kufungwa maisha kwa makosa ya kulawiti, kubaka na kuzini . Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Pwani, Pius Lutumo alieleza, wale wote wanaojihusisha na vitendo hivyo watakamatwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria. Alitaja kati…

Read More

Serikali, kina ‘Boni Yai’ wavutana kuahirisha kesi

Dar es Salaam. Kesi ya Meya wa zamani wa Ubungo jijijlni Dar es Salaam, Boniface Jacob maarufu Boni Yai na mwenzake, mwanaharakati Godlisten Malisa, iliyokuwa imepangwa kuanza kusikilizwa ushahidi leo imekwama baada ya shahidi aliyetarajiwa kudaiwa kuugua ghafla. Mwendesha mashtaka, Wakili wa Serikali Mwandamizi, Job Mrema ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoa wa Dar es…

Read More

Waliokuwa watumishi Kigamboni wapandishwa kizimbani

Dar es Salaam. Aliyekuwa Mkuu wa Idara ya Fedha na Mhasibu wa Manispaa ya Kigamboni, Jonathan Manguli (38) na wenzake 12, wakiwamo wafanyabiashara wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa na mashtaka 10, yakiwamo ya kuchepusha fedha na kuisababishia Wizara ya Tamisemi hasara ya Sh165 milioni. Washtakiwa wengine waliokuwa watumishi wa manispaa hiyo ni mhasibu Godfrey Martiny (44), mkuu…

Read More

Serikali yachukua hatua kupunguza mrundikano wa kesi

Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Jumanne Sagini amesema Serikali imeendelea kufanya maboresho ya sera katika kuchochea uanzishwaji wa taasisi mbalimbali za usuluhishi wa migogoro katika sekta mbalimbali ili kupunguza mrundikano wa kesi mahakamani. Amesema jitihada hizo zinafanyika kwa kutambua migogoro ikimalizwa nje ya mahakama inachukua muda mfupi na inaondoa vinyongo na…

Read More

Mikataba mibovu inavyowarudisha nyuma wakulima wa machungwa

Tanga. Utafiti umebaini kuwa mikataba mibovu ya mauzo ya mazao ndiyo chanzo kikubwa cha wakulima wa machungwa kuuza mazao yao kabla hayajakomaa, hali inayowanyima faida halisi na kuwaacha katika mzunguko wa umaskini wa kudumu. Utafiti huo uliofanyika mwaka 2025, ukihusisha wadau wa ndani na nje ya nchi, umeonesha kuwa wakulima wengi huuza machungwa yakiwa bado…

Read More