WAZIRI KIJAJI AIELEKEZA TANAPA KUFANYA KAZI KWA KUZINGATIA UTU KATIKA KUBORESHA USTAWI WA JAMII

Na. Philipo Hassan – Mikumi. Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) leo Novemba 25, 2025 ameielekeza TANAPA kuhakikisha inafanya kazi kwa kuzingatia utu ili kuboresha ustawi wa jamii. Dkt. Kijaji aliyasema hayo katika ziara ya kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa ndani ya Hifadhi ya Taifa Mikumi. “Tuendeleeni kuzingatia kaulimbiu ya Mhe….

Read More

Wengine wawili watolewa wakiwa wamekufa, ajali ya mgodini

Shinyanga. Chifu Inspekta wa mgodi unaomilikiwa na Kikundi cha Wachapakazi, Fikiri Mnwagi, amethibitisha kuopolewa kwa miili ya watu wawili waliopoteza maisha kwenye ajali ya mgodi iliyotokea katika kijiji cha Mwongozo, Kata ya Mwenge, Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga. Akizungumza leo Agosti 17, 2025, na waandishi wa habari akiwa eneo la tukio, Mnwagi amesema shughuli ya…

Read More

CCM ‘yawaka’ wanaopotosha hotuba ya Rais Samia

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM), kimesema kinaunga mkono hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassan, kuhusu kukemea vitendo vya utekaji na mauaji aliyoitoa mkoani Kilimanjaro, huku kikiwajia juu wanaoipotosha. Jumanne Septemba 17, 2025 akifunga mkutano mkuu wa maofisa waandamizi wa Jeshi la Polisi na miaka 60 ya jeshi hilo, Rais Samia alilaani vitendo vya…

Read More

MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA MIAKA 30 YA ESRF

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akitazama matokeo ya tafiti mbalimbali yaliyotolewa na Taasisi ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF) wakati alipowasili katika Ukumbi wa Johari Rotana Jijini Dar es Salaam kwaajili ya Ufunguzi wa Mkutano wa Kusherehekea Miaka 30 ya Taasisi ya Utafiti wa Uchumi na…

Read More

WANAFUNZI TPC WADANDIA “KIBERENGE “CHA MIWA KURUDI MAKWAO ,ABC IMPACT WATOA BAISKELI

Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya TPC wakionesha furaha yao wakati wakiendesha baiskeli zilizotolewana taasisi ya ABC Impact kama sehemu ya msaada ukilenga kuondoa changamoto ya usafiri kwa wanafunzi wanaoishimaeneo ya mbali na shule . Wanafunzi wa kike ndio wamekuwa walengwa wakubwa wa msaada wa Baiskeli uliotolewa na taasisi ya ABC katika kuwapunguzia changamoto yakutembea…

Read More

Jaffar Kibaya aamsha mzuka Mashujaa

MSHAMBULIAJI wa Mashujaa, Jaffar Kibaya anayemiliki mabao matatu hadi sasa katika Ligi Kuu, ametoa hamasa kwa mastaa wenzake hususani wanaocheza eneo la ushambuliaji kutumia kwa makini nafasi wanazozipata ili kuisaidia timu hiyo imalize kibabe mechi zilizobaki ili wasalie kwa msimu ujao. Kibaya aliyeanza kupata nafasi kikosini tangu Mashujaa imuajiri kocha Salum Mayanga aliyewahi kufanya naye…

Read More

Unachohitaji kujua – maswala ya ulimwengu

Ijumaa hii, kwa Siku ya kisukari dunianiUN inaangazia jinsi ugonjwa unavyoathiri ujauzito, sambamba na mada ya mwaka huu ya kudhibiti ugonjwa wa kisukari “katika hatua za maisha”. Shirika pia limezindua miongozo yake ya kwanza ya ulimwengu juu ya jinsi ya kusimamia ugonjwa wa sukari kabla, wakati na baada ya ujauzito. “Miongozo hii imewekwa katika hali…

Read More