Wadau wataka mabadiliko ya sheria wanaojaribu kujiua

Dodoma. Wakati wataalamu wa afya ya akili na wanasheria wakishauri kufanyika marekebisho ya sheria ili wanaojaribu kujiua wapewa tiba  saikolojia, badala ya kukabiliwa na mashtaka, baadhi ya waliofikwa na kadhia hiyo wameeleza wanayopitia. Kwa mujibu wa Sheria ya Kanuni ya Adhabu mtu yeyote anayejaribu kujiua ana hatia ya kosa. Akizungumza Septemba 10, 2025 wakati wa…

Read More

Samia aahidi makubwa Pangani, akimsifu Aweso

Tanga. Mgombea urais kupitia CCM Samia Suluhu Hassan amesema mgombea ubunge wa jimbo la Pangani Jumaa Aweso amefanya kazi kubwa iliyofanya upatikanaji wa maji kufikia asilimia 85. Amesema katika kipindi kijacho cha miaka mitano mpango wa Serikali ni kuhakikisha inamaliza changamoto ya maji kwenye maeneo yote yaliyosalia ili kuhakikisha kila Mtanzania anapata maji safi na…

Read More

Serikali yataja magari ya umeme muarobaini wa bei ya mafuta

Dar es Salaam. Wakati gharama za mafuta zikitarajiwa kupanda kutokana na vita inayoendelea Mashariki ya Kati, Serikali imesema ujio wa magari ya umeme utaleta unafuu wa maisha kwa Watanzania. Mzozo wa vita kati ya Marekani, Israel, na Iran umesababisha kupanda kwa bei ya mafuta duniani, ukizingatia kwamba Mashariki ya Kati inachangia asilimia 20 ya mafuta…

Read More

TANESCO YAKAMATA WATU WATANO WAKIHUJUMU UMEME KAHAMA

Afisa Usalama wa TANESCO Mkoa wa Tabora na Msimamizi wa Usalama wa Kanda ya Magharibi, Said Sombwe, akionesha eneo ambalo wizi wa umeme ulikuwa ukifanyika wakati wa oparesheni maalum ya BAOMA wilayani Kahama. Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limewakamata watu watano katika Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga, kwa…

Read More

Fadlu, mastaa wapya washtua | Mwanaspoti

SIMBA imewasili nchini alfajiri ya jana Ijumaa ikitokea jijini Cairo, Misri ilikoenda kuweka kambi ya mwezi ili kujiweka zaidi kwa msimu mpya wa mashindano, lakini kuna watu watatu wameshtua ndani ya ujio huo akiwemo kocha mkuu, Fadlu Davids. Msafara huo wa Simba uliwasili ulirejea karibu wote isipokuwa kocha huyo na mastaa wengine wapya wa kikosi…

Read More

Mwalunenge ataja masoko, kumbi za kisasa akiomba kura

Mbeya. Mgombea ubunge wa Mbeya Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Patrick Mwalunenge ametaja miongoni mwa vipaumbele vyake kuwa ni kuboresha miundombinu ya masoko, kujenga kumbi za kisasa za mikutano na hoteli ya nyota tano ili kubadilisha taswira ya jiji hilo. Amesema atatenga maeneo ya ujenzi wa vibanda vya wajasiriamali wanaopanga bidhaa chini pamoja na…

Read More

Kariakoo Derby Kupigwa Amaan Complex Leo Usiku

Global Publishers March 1, 2026 0 Comments Macho na masikio ya mashabiki wa soka nchini yataelekezwa Zanzibar usiku wa leo wakati watani wa jadi watakapokutana katika pambano la Kariakoo Derby. Mchezo huo unatarajiwa kupigwa katika dimba la Amaan Stadium (Amaan Complex) kuanzia saa 2:15 usiku, huku presha ikiwa kubwa kwa kila upande kusaka ushindi muhimu….

Read More