ELIMU YA PSSSF KIGANJANI YAWAFIKIA WANACHAMA MAONESHO YA OSHA

NA K-VIS BLOG/KHALFAN SAID, ARUSHA MFUKO wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), umewakumbusha wanachama wake kuwa, huduma zote zinazohusiana na uanachama wa mwanachama zinapatikana mtandaoni, (PSSSF Kiganjani). Meneja wa PSSSF, Kanda ya Kaskazini, Bi. Vonness Koka, amesema hayo wakati akiongoza timu ya watumishi wa Mfuko huo kupeleka elimu ya matumizi ya PSSSF…

Read More

WAZAZI WATAKIWA KUWAHAMASISHA VIJANA KWENDA SHULE – MWANAHARAKATI MZALENDO

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, ametoa wito kwa wazazi kuhakikisha vijana wao wanapata elimu kwa kuwapeleka shule, hasa katika shule za sekondari. Waziri Mkuu alisisitiza kuwa bila elimu, vijana hawawezi kufikia malengo yao na kuchangia kikamilifu katika maendeleo ya taifa. Akizungumza jana na wakazi wa kijiji cha Mtondo, Kata ya Nambiranje, wilayani Ruangwa, Waziri Mkuu alisema,…

Read More

Kivuli cha Mbowe kinavyoitesa Chadema

Dar es Salaam. Licha ya uamuzi wa kukaa kimya kwa aliyekuwa mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kuhusu yanayoendelea ndani ya chama hicho, kivuli chake kimeendelea kuwa mwiba wenye athari lukuki. Dhana na hisia kuwa yuko nyuma ya makundi yanayopingana mitazamo na uongozi wa sasa wa chama hicho zimeendelea kugubika fikra za…

Read More

Hivi ndivyo TLS ya Mwabukusi itakavyokuwa

Dar es Salaam. Kufuata ushindi alioupata, Rais mpya wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi, amesema atakirudisha chama hicho kwenye misingi yake. Katika uchaguzi huo uliofanyika jijini Dodoma Agosti 2, 2024 Mwabukusi aliibuka mshindi kwa kupata kura 1,274 kati ya 2,218 zilizopigwa akifuatiwa na Sweetbert Nkuba aliyepata kura 807. Wagombea wengine katika uchaguzi huo…

Read More

Taswira ya Msukosuko wa Kisiasa wa Tanzania Kabla ya Uchaguzi wa 2025 – Masuala ya Ulimwenguni

Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia Jijini Mbeya wakifyatua gesi ya chai kuwatawanya wanachama wa chama cha upinzani cha Chadema waliokusanyika kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Vijana Agosti 12, 2024. Credit: Kizito Makoye/IPS by Kizito Makoye (dar es salaam) Jumatatu, Oktoba 21, 2024 Inter Press Service DAR ES SALAAM, Oktoba 21 (IPS) – Katika maandamano…

Read More

Amissi Tambwe wala hajakurupuka | Mwanaspoti

SIKU chache baada ya kutangazwa kuwa meneja wa Singida Black Stars, straika nyota wa zamani wa Simba na Yanga aliyeacha alama katika Ligi Kuu, Amissi Tambwe amevunja ukimya na kuteta na Mwanaspoti, akisema amefanya uamuzi sahihi kukubali ofa hiyo na wala hakukurupuka tu. Tambwe alitua nchini kwa mara ya kwanza Julai, 2013 na alisaini mkataba…

Read More