Melinne City, Real Nine zatinga robo fainali Yamle Yamle Cup
HATUA ya 12 bora ya mashindano ya Yamle Yamle Cup imeanza kuchezwa jana Jumapili Agosti 24, 2025 katika Uwanja wa Mao A uliopo Unguja kwa kuzikutanisha Al Qaida FC na Melinne City. Katika mchezo huo ulioanza saa 10:00 jioni, Melinne City imefanikiwa kutinga hatua ya robo fainali kwa kuitandika Al Qaida mabao 3-2. Fred Kiligo…