Nasser bingwa Africa, Patel Mkwawa Rally

DEREVA Mtanzania, Yassin Nasser na msoma ramani Mganda, Ally Katumba ndio mabingwa wa Afrika kwa mwaka 2025 licha ya kumaliza nafasi ya tatu katika raundi ya tano ya ubingwa wa mbio za magari wa Afrika zilizomalizika jana Jumapili. Dereva huyo aliyekuwa akiendesha gari aina ya Ford Fiesta R5 alimaliza nafasi ya tatu kwa upande wa…

Read More

Fahamu Madhara ya Vyakula Vitamu Kupita Kiasi kwa Afya ya Figo

Watu wengi huamini kuwa kula vyakula vyenye sukari nyingi kunaweza kusababisha unene, kisukari na hata matatizo ya figo. Kulingana na wataalamu wa afya, jambo hili lina ukweli kwa sababu matumizi makubwa ya sukari yanaweza kuathiri afya ya figo kwa njia mbalimbali. Sukari Nyingi Inavyoathiri MwiliLishe yenye sukari nyingi mara nyingi husababisha unene kupita kiasi na…

Read More

Kanuni ya siku 90 inavyoweza kubadilisha tabia

Dar es Salaam. Wataalamu wa saikolojia duniani wametengeneza ‘Kanuni ya siku 90’ kama mhimili wa mabadiliko ya tabia ya mtu, endapo jambo litafanyika kwa siku hizo mfululizo, inakuwa tabia. Limekuwa ni jambo gumu kwa mtu kubadili tabia, kwa mfano mtu anayetaka kuacha kunywa pombe, uasherati, au kutumia dawa za kulevya. Hata hivyo, wataalamu wanaeleza kwamba…

Read More

UCHAMBUZI WA DANIEL MJEMA: Balozi Nchimbi alivyoanzisha safari ya maridhiano kiana

Ukimsikiliza Makamu wa Rais, Dk Emmanuel Nchimbi alipokuwa akizungumza katika Misa Takatifu ya mazishi ya Mwadhama Polucarp Kardinali Pengo, unaweza kudhani ni maneno ya kisiasa, lakini ukweli ameanzisha safari ya maridhiano. Alichokisema Balozi Nchimbi ni nadra sana kusikia kutoka kwa makada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ambao ni wahafidhina (conservatives) ambao hawataki mabadiliko na wanachukulia…

Read More

Tuwajenge watoto kupenda elimu tangu utotoni

Dar es Salaam. Katika jamii yoyote ile elimu ni silaha muhimu ya kuleta mabadiliko ya kweli. Kupitia elimu, mtu anaweza kufikia ndoto zake, kuibadilisha familia yake, na hata kulibadili taifa zima. Hali hii inaleta umuhimu wa kumjenga mtoto kupenda elimu tangu akiwa mdogo. Ni jambo lisilopingika kwamba mapenzi ya elimu hayaanzi tu ghafla mtoto anapofikia…

Read More

Askofu Massawe aonya upofu wa roho

Dar es Salaam. Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha, Isaac Massawe amesema upofu wa roho umewafanya binadamu kujiona wapo juu ya Mungu hivyo kutojali haki za watu wengine. Amesema mwanadamu hupofushwa na tamaa za mwili, mali na madaraka, hivyo kunahitajika mwanga wa kumsaidia kuona kwa usahihi na kutenda yaliyo sahihi. Askofu huyo alitoa kauli…

Read More

TAKUKURU Kinondoni Ilivyofuatilia Miradi ya Bilioni Moja – Global Publishers

Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa TAKUKURU Kinondoni, Christian Nyakizee. Dar es Salaam, 2 Septemba 2025: Taarifa iliyowasilishwa leo na Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa TAKUKURU Kinondoni, Christian Nyakizee inahusu mafanikio katika utendaji kazi wa TAKUKURU mkoa wa Kinondoni kwa kipindi cha Aprili mpaka Juni 2025 ambapo taasisi hiyo imetekeleza majukumu ya kufuatilia miradi ya maendeleo,…

Read More