WAZIRI WA MIFUGO AIPONGEZA TADB KWA KUREJESHA USHIRIKA WA WAFUGAJI, AZINDUA VITUO VYA KUKUSANYIA MAZIWA

Na Diana Deus-  Kagera. Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), kwa kushirikiana na Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi, imezindua rasmi vituo 23 vya kukusanyia maziwa (Milk Collection Centers – MCCs) vilivyojengwa na kuboreshwa kupitia Mradi Shirikishi wa Wasindikaji na Wazalishaji wa Maziwa Tanzania (TI3P). Waziri wa Uvuvi na Mifugo, Dkt. Bashiru Ally…

Read More

Video: Serikali Yatangaza Hatua Kuhakikisha Mafuta Yanapatikana

Bakari Mahundu March 23, 2026 0 Comments Serikali imewahakikishia wananchi uwepo wa akiba ya mafuta ya kutosha nchini, huku ikijizatiti kufanya kila linalowezekana kuhakikisha nishati hiyo inapatikana kwa wananchi. Hayo yameelezwa leo, Jumatatu Machi 23, 2026 na Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, katika kikao na taasisi zilizo chini ya wizara hiyo zinazohusika na sekta ya…

Read More

Matumizi ya Nishati Safi Kupikia Yapata Msukumo Mpya

Na Mwandishi Wetu, Mwanza MATUMIZI ya nishati safi ya kupikia yamepata msukumo mpya jijini Mwanza baada ya baadhi ya wananchi kukabidhiwa zawadi walizojishindia kupitia kampeni ya “Gesi Yente” inayoendeshwa na kampuni ya Oryx Energies, kama motisha ya kuhamasisha ununuzi na matumizi ya gesi ya kupikia. Hafla ya kukabidhi zawadi hizo imefanyika leo Septemba 2, 2025…

Read More