Ruvuma Toyota Festive 2025 kukutanisha magari zaidi ya 5000

Zaidi ya magari 5,000 aina ya Toyota yatashiriki kwenye Tamasha kubwa la Utalii mkoani Ruvuma (Ruvuma Toyota Festive) litakalofanyika tarehe 25 Juni 2025. Aidha Tamasha hili linatarajia kuwakutanisha watu kutoka mikoa mbalimbali hapa nchini na nje ya Nchi. Maandamano ya Magari aina ya Toyota yataanzia katika Manispaa ya Songea na kumalizika katika mji mdogo wa…

Read More

UN inaonya uchaguzi uliopangwa wa Myanmar utaongeza ukandamizaji na kutokuwa na utulivu – maswala ya ulimwengu

Jeremy Laurence, msemaji wa Ofisi ya Haki za Binadamu ya UN, Ohchr. aliambiwa Waandishi wa habari huko Geneva kwamba kupiga kura kunatarajiwa kuanza mnamo Desemba 28, kwa kile alichoelezea kama kura inayodhibitiwa na kijeshi iliyofanywa katika mazingira “yaliyojaa vitisho na vurugu” na ilikandamiza ushiriki wa kisiasa. Vyama vingi vikubwa vya siasa vimetengwa na wapinzani zaidi…

Read More

Rais Samia awatakia kheri kidato cha sita

Dar es Salaam. Wakati leo Jumatatu, Mei 5, 2025 wanafunzi wa kidato cha sita na ualimu wakianza mitihani yao ya Taifa Rais  wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewatakia heri. Mitihani hiyo kwa kidato cha sita itahitimishwa Mei 26, 2025 huku ile ya ualimu itamalizika Mei 19, 2025. Hii ni kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na…

Read More

Yusuph Mhilu aongeza mmoja Geita Gold

GEITA Gold ya Championship imemwongezea mkataba wa mwaka mmoja mshambuliaji Yusuph Mhilu kuitumikia timu hiyo msimu ujao wa 2025/2026. Msimu uliopita Mhilu aliifungia timu hiyo mabao 10 na asisti moja, jambo ambalo uongozi wa timu hiyo umeona umuhimu wa kuendelea naye, kutokana na mikakati yao ya kupanda Ligi Kuu. Alipotafutwa Mhilu kuthibitisha hilo alisema baada…

Read More

Waliokuwa wapangaji Bonde la Msimbazi kulipwa Sh170,000

Dar es Salaam. Waliokuwa wapangaji katika nyumba zinazoathiriwa na mradi wa uendelezaji Bonde la Mto Msimbazi wenye mikataba na wasio nayo, wote watafidiwa Sh170,000. Awali, Serikali ilisema ambao wangelipwa ni wale tu waliokuwa na mikataba, jambo lililozua malalamiko miongoni mwa wapangaji wakisema maisha ya maeneo hayo ingekuwa vigumu kuandikishiana mikataba. Katika utekelezaji wa mradi huo…

Read More

Siri iliyojificha kwenye mazoezi ya kuogelea

Wakazi wengi wa mwambao wa Pwani aghalabu si wageni wa kuogelea. Wakubwa kwa wadogo huwa ni wajuzi wa kuogelea, ikizingatiwa kuwa maeneo yao yamebahatika kupakana na Bahari Hindi. Utawapata wakazi hapa wakitenga muda wao kila siku au wiki kufika baharini na kujivinjari kwa kuogelea. Wale wanaoishi bara pia hutenga nafasi katika likizo zao kuzuru Pwani…

Read More