MRADI WA KUFUA UMEME WA JNHPP WAKAMILIKA RASMI: DKT BITEKO

…………….   📌Asema ni ndoto ya watanzania,awataka wategemee umeme wa uhakika   📌Asisitiza kazi iliyobaki ni kuimarisha miundombinu ya kuwafikishia wananchi umeme   📌Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Misri kuuzindua rasmi   Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Watanzania kutegemea kupata umeme wa uhakika baada ya…

Read More

Kocha Dodoma Jiji aanika mipango yake

KOCHA wa Dodoma Jiji, Aman Josiah amesema timu itafanya mazoezi kwa wiki moja, huku ikiangalia ni mkoa gani ikienda itapata mechi za kirafiki kwa urahisi kabla ya kurejea mechi za ligi. Ratiba inaonyesha Dodoma Jiji itakuwa wenyeji wa Tanzania Prisons katika mechi itakayopigwa Januari 22, jambo ambalo kocha huyo amesisitiza wanahitaji kupata pointi tatu, hivyo…

Read More

PROF. MWAKALILA AZUNGUMZA NA WANAFUNZI WAPYA WA CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE ASISITIZA UADILIFU NA UZALENDO

Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Profesa Shadrack Mwakalila amewataka wanafunzi wa mwaka wa kwanza wa masomo 2024/25 wa Chuo hicho kuwa Wadilifu,Waaminifu na Wazalendo kwa Chuo na Taifa kwa ujumla.   Prof. Mwakalila amesema hayo leo wakati wa kikao cha pamoja Kati ya Wafanyakazi na Wanafunzi hao wapya kikao ambacho kinefanyika katika…

Read More

Shule ya Kamsamba, Tunduma day zapata wenyeviti wapya

WAJUMBE wa kamati ya bodi ya shule ya sekondari ya Kamsamba na shule ya kutwa ya  Tunduma zinazomilikiwa na jumuiya ya wazazi (CCM) mkoani Songwe wamewachagua wenyeviti watakaoongoza vikao vya shule hizo. Anaripoti Ibrahim Yassin, Songwe…(endelea). Uchaguzi huo umefanikiwa leo tarehe 4 Juni 2024 katika shule ya sekondari ya kutwa iliyopo halmashauri ya mji Tunduma…

Read More

PSPTB YATANGAZA USAJILI WA MITIHANI YA 31 YA KITAALUMA

Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) imetangaza kuanza kwa usajili wa mitihani ya 31 ya kitaaluma (Mid Session Examinations) itakayofanyika kuanzia tarehe 25 Agosti hadi 29 Agosti 2025, katika kituo kimoja kilichopo jijini Dodoma. Akizungumza na vyombo vya habari jijini Dar es Salaam tarehe 03 Julai 2025, Mkurugenzi Mtendaji wa PSPTB, Bw. Godfred…

Read More

Samaki Samaki ilivyosheherekea miaka 17, ni Burudani kwa kwenda mbele

Mgahawa maarufu wa Samaki Samaki, jijini Dar es Salaam, ulitimiza miaka 17 tangu ulipoanzishwa rasmi mwaka 2007. Mgahawa huu, unaomilikiwa na mfanyabiashara maarufu Carlos Bastos, maarufu kwa jina Kalito Samaki, umekuwa na mafanikio makubwa katika sekta ya chakula na burudani nchini Tanzania. Kupitia mafanikio hayo, mwaka 2020, ulizalisha mgahawa mwenza unaoitwa *Kukukuku*, ambao pia jana…

Read More

Waziri Chana: Andaeni majina ya watoto kabla ya kuzaliwa

WAZIRI wa Katiba na Sheria, Balozi Dk. Pindi Chana amewataka wazazi kujenga utaratibu wa kuandaa majina ya watoto wao mapema kabla ya kuzaliwa ili kwa haraka waweze kusajiliwa na kupatiwa vyeti vya kuzaliwa mara baada ya kuzaliwa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Dk. Chana ametoa wito huo mwa wiki Jijini Dodoma wakati wa ziara yake ya…

Read More