ZAIDI YA BILIONI 67 ZAPITISHWA KUING’ARISHA CHATO

………… CHATO BARAZA la Madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Chato mkoani Geita, imejadili na kupitisha makisio ya bajeti ya Tsh. Bilioni 67,016,792,267.93 kwa lengo la kutekeleza miradi ya maendeleo kwa manufaa ya wananchi na halmashauri hiyo. Bajeti hiyo inaongezeko la kiasi cha Tsh. 397,666,268 ukilinganisha na makisio ya kiasi cha bilioni 66,619,125,999.93 ya bajeti…

Read More

NIRC, JKT YAUNGANA KUONGEZA UZALISHAJI KUPITIA UMWAGILIAJI

📍 Mlimba, Kilombero – Morogoro Shamba la Chita JKT, lenye ukubwa wa ekari 12,000 zinazolimwa, limepangwa kuwa mfano wa ushirikiano kati ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC).  Tangu mwaka 2021, Jeshi limekuwa likiendeleza mashamba haya kwa kutumia rasilimali za ndani, likikodisha mitambo na kusawazisha mashamba ili kuongeza tija…

Read More

Mapya yaibuka maiti iliyofukuliwa Dodoma

Dodoma. Kaburi la marehemu Peter Kanyamala (85), mkazi wa Mtaa wa Mbalawala jijini Dodoma limefukuliwa na watu wasiojulikana wiki mbili baada ya kuzikwa na uchunguzi wa mwili wake umebaini kuwa sehemu ya nyama ilikatwa chini ya titi la kushoto. Marehemu Kanyamala alifariki dunia Januari 15, 2026, baada ya kugongwa na gari jijini Dar es Salaam,…

Read More

RC MBONI: SHINYANGA TUPO TAYARI KUFANIKISHA UWEKEZAJI

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Mboni Mhita, amepongeza juhudi za Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) katika utekelezaji wa mikakati ya kuhamasisha uwekezaji wa ndani, kufuatia ziara ya kikazi ya mamlaka hiyo mkoani Shinyanga ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa Kampeni ya Kitaifa ya Uhamasishaji wa Uwekezaji wa Ndani inayoendelea…

Read More

Mbeya City kuamkia kwa Pamba Jiji?

“TUNAANZA Ligi na Pamba Jiji.” Ni kauli ya Kipa wa Mbeya City, Beno Kakolanya akiwatuliza mashabiki wa timu hiyo kufuatia mwenendo na matokeo yasiyoridhisha inayopata timu hiyo katika Ligi Kuu Bara. Mbeya City iliyorejea Ligi Kuu msimu huu, haijawa na matokeo mazuri hadi kufikia uamuzi wa kuachana na aliyekuwa na Kocha wake, Malale Hamsini. Timu…

Read More