Aga Khan Foundation yazindua mradi kuimarisha kilimo, lishe Zanzibar
Unguja. Taasisi ya Aga Khan Foundation imezindua Mradi wa Maendeleo Plus unaohusisha mpango wa kilimo cha kuzalisha upya na lishe, unaolenga kuimarisha ustawi na uhuru wa wakulima kwa kuongeza mavuno na mapato kwa gharama ndogo. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa mradi huo uliofanyika jana Alhamisi Januari 29, 2025, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Aga Khan Foundation…