Zimamoto Mbeya wasaka mwili wa mtoto aliyesombwa na mafuriko
Mbeya. Wakati matukio ya watu kusombwa na maji yakiendelea kujirudia mkoani Mbeya, Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani humo limesema linatarajia kuanza kampeni maalumu ya kuwafikia wananchi kutoa elimu ya tahadhari, hususani kipindi hiki cha mvua. Hatua hiyo inakuja baada ya matukio ya watu wawili, akiwamo mtumishi wa Hospitali ya Wilaya ya Mbarali, idara ya…