WATAFITI WA MIMEA VAMIZI WATUA SERENGETI

Ziara ya kikazi ya watafiti wa mimea vamizi kutoka Jamhuri ya Cuba walioungana na wataalam wa ikolojia kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii katika Hifadhi ya Taifa Serengeti inatarajiwa kuwa neema kubwa kwa Wanyamapori kwenye Hifadhi hiyo, kwa kuongeza maeneo ya malisho kwa wanyama hao ambayo kwa sasa yameanza kuathiriwa na mimea vamizi. Akizungumza na…

Read More

Dar City walistahili NBL | Mwanaspoti

DAR city ndio mabingwa wa Ligi ya Kikapu ya Taifa (NBL) iliyomalizika katika viwanja vya CHinangali, Dodoma, lakini kama hujui kilichoipa ubingwa ni mambo mawili tu. Dar City ilicheza fainali na ABC na kuifunga katika michezo miwili, wa kwanza ikishinda kwa pointi 97-46 na wa pili kwa 78-46 na kuwa ushindi wa 2-0. Kilichoibeba timu…

Read More

Hali ya hewa yakwamisha Dreamliner kutowasili Z’bar

  Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ndege aina ya Boeing B787-8 Dreamliner, ambayo ilitarajiwa kutua kwa mara ya kwanza kwa uzinduzi leo tarehe 19 Agosti 2024, katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, Zanzibar, haitoweza kufika kama ilivyopangwa kutokana na changamoto za hali ya hewa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar… (endelea). Mapokezi…

Read More

Sasa vijiji vyote Mtarwa vina umeme

Ni furaha na nderemo kwa wakazi wa Mkoa wa Mtwara mara baada ya Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kufanikiwa kufika umeme katika Vijiji vyote 785 katika Mkoa huo. Akizungumza wakati wa hafla ya kuwasha umeme katika Kijiji cha Makome A ambacho ndio kijiji cha mwisho kuunganishwa na nishati ya umeme katika Mkoa huo…

Read More

KIMENYA: Miaka 11 Prisons, mafanikio bila majuto

MAISHA ya wanasoka wengi yana historia ndefu. Wapo wanaoanza kwenye akademi za soka, wanaojikuta wakianza timu za mtaani na wanaoanzia shule na kutokana na vipaji vyao wanaibuka na kuwa nyota wakubwa. Hata hivyo, wengi wanasema vipaji vyao ni tangu utotoni. Ni kweli, vipaji vingi huonekana tangu utotoni na kinapoendelezwa ndio kinakwenda kubadilisha maisha ya mchezaji…

Read More

Teknolojia inavyorahisisha maisha: Leading East Africa Limited yaleta suluhisho la maji safi

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Kadri teknolojia inavyozidi kukua, maisha yanakuwa rahisi zaidi. Sasa, hakuna ugumu tena wa kusafisha maji ya kunywa au matumizi mengine kwa kuyasubiri kwa muda mrefu. Mashine za kisasa zinazoweza kukurahisishia kazi hiyo ndani ya muda mfupi zimekuwa suluhisho bora, na maji yako yanakuwa safi kwa matumizi. Suluhisho hili linapatikana kupitia…

Read More

Chadema yateua makatibu kanda nne

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimefanya uteuzi wa makatibu  wa kanda nne wa chama hicho. Taarifa iliyotolewa leo Jumamosi 17 Agosti,2024 na Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje, John Mrema,  imezitaja kanda hizo kuwa ni  Magharibi, Serengeti, Victoria na Nyassa. Mrema amesema uteuzi wa makatibu hao umethibitishwa na Kamati…

Read More

Kwa nini Muungano wa Wafanyikazi wa UN haukubaliani na mradi wa gharama kubwa na unaosimamiwa na Kamishna-Maswala ya Ulimwenguni

Katibu Mkuu wa UN, Antonio Guterres anaandika waandishi wa habari juu ya mpango wa UN80 juu ya urekebishaji wa mwili wa ulimwengu. Mikopo: Umoja wa Mataifa Maoni na Ian Richards, Laura Johnson (Geneva) Alhamisi, Juni 05, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Laura Johnson ni Katibu Mtendaji na Ian Richards ni rais wa Umoja wa…

Read More