DKT.DIMWA: AENDELEA NA ZIARA YAKE MKOA WA KASKAZINI UNGUJA

NA IS-HAKA OMAR,ZANZIBAR. NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa,amesema Serikali inakopa fedha kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo ya Wananchi wote na sio kwa maslahi ya watu wachache. Hayo ameyasema katika mwendelezo wa ziara yake wakati akizungumza na wanachama wa katika Tawi la CCM Mafufuni Jimbo la Bumbwini…

Read More

Mkongwe wa siasa, rafiki wa Mwalimu Nyerere afariki dunia

Dar es Salaam. Mwanasiasa mkongwe na shujaa wa harakati za uhuru wa Tanganyika, Alhaj Mustafa Mohamed Songambele, amefariki dunia siku chache baada ya kutimiza umri wa miaka 100, akiwa ameacha historia ya kipekee, ikiwemo kumbukumbu ya kumchekesha Mwalimu Nyerere hadi kudondoka sakafuni kwa kicheko. Alhaj Songambele, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Juni Mosi, 2025…

Read More

Baba arejea nyumbani baada ya miaka 60 akiwa mikono mitupu

Nairobi. Boniface Muhandia (99) ndiyo jina linalojadiliwa nchini Kenya kwa sasa baada ya mzee huyo aliyeondoka nyumbani kwake Kijiji cha Eshisari, Mumias Mashariki, Kaunti ya Kakamega kwenda nchini Uganda kutafuta maisha, kurejea akiwa mikono mitupu. Tovuti ya Taifa Leo imeripoti jana kuwa Muhandia ambaye ametimiza miaka 60 bila kuiona familia yake wala kujua kinachoendelea, aliondoka nyumbani…

Read More

Samatta arudishwa Stars kuivaa DR Congo

KAIMU kocha mkuu wa timu ya Taifa Stars, Hemed Morocco ametangaza kikosi cha wachezaji 23 watakaoshiriki katika maandalizi ya michezo miwili ya kuwania nafasi ya kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon 2025) dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DR Congo).  Tanzania ambayo ipo kundi H ikiwa na pointi nne baada ya kutoka suluhu…

Read More

Vita mpya Aziz KI, Feisal yahamia huku

UNAIKUMBUKA ile bato ya viungo Feisal Salum ‘Fei Toto’ wa Azam na mwenzake Stephanie Aziz KI wa Yanga, basi msimu huu wamekuja kivingine na mdogo mdogo wanaanza kukiwasha tena wakikimbizana kwa mpango tofauti. Msimu uliopita viungo hao walikimbizana kuwania tuzo ya ufungaji bora katika Ligi Kuu Bara na hata kupiga asisti baina yao hali iliyoleta…

Read More

Kasongo: Kuna makosa saba kila baada ya dakika 90

OFISA Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi (TPLB), Almasi Kasongo amesema kutegemea kamati ya waamuzi bado ni tatizo tofauti na mataifa mengine yaliyoendelea, wakati akichangia mjadala unaohusu, ‘Makosa ya waamuzi Ligi Kuu Bara, nini kifanyike? Kasongo ameyasema hayo leo Jumatano Februari 26, 2025 kupitia mjadala kwa njia ya mtandao wa Mwananchi X space wenye Mada…

Read More

Mauaji ya Waalawi nchini Syria, kunyongwa nchini Iran, watetezi wa haki za binadamu katika Jamhuri ya Afrika ya Kati – Masuala ya Ulimwenguni

Akizungumza mjini Geneva, OHCHR msemaji Liz Throssell alisema kuwa Ofisi inafahamu kuhusu ripoti na video zinazodaiwa kuonyesha mauaji ya wanaume wa Alawite huko Homs na miji mingine ya Syria tangu kupinduliwa kwa utawala wa Assad, ambao ulikuwa na uhusiano wa miongo mingi na Alawism – tawi la Uislamu wa Shia: “Tunafahamu taarifa hizo na ni…

Read More

NMB yawatangazia fursa vijana wenye bunifu mbalimbali

BENKI ya NMB imeshiriki kwenye maadhimisho ya elimu, ujuzi na ubunifu yanayoendelea kwenye viwanja vya Shule ya Sekondari Popatlaly huku ikitoa fursa kwa vijana wenye bunifu mbalimbali kwenda kufanya majaribio kwenye mfumo maalum wa majaribio katika benki hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Hayo yalisemwa na Meneja wa Benki ya NMB Kanda ya Kaskazini, Baraka Ladislaus wakati…

Read More