Cholera inazidi ulimwenguni, sasisho la DR Kongo, ambaye anaongoza mazoezi ya dharura ya afya ulimwenguni – maswala ya ulimwengu

Shirika la Afya la UN lilisajili karibu kesi 810,000 na vifo 5,900 kutoka kwa ugonjwa unaoweza kuepukwa mnamo 2024; Hiyo ni asilimia 50 ya juu kuliko mwaka uliopita, kulingana na Dk Philippe Barboza, ambaye anaongoza WHOTimu ya Cholera. Alisema kesi za hivi karibuni zilizoripotiwa ni za karibu kabisa na kwamba ugonjwa unaendelea kuathiri nchi ambazo…

Read More

VIJIJI VYOTE MTWARA VIMEFIKISHIWA UMEME SASA NI ZAMU YA VITONGOJI

-BILIONI 16.7 KUSAMBAZA UMEME VITONGOJI 150 -KUNUFAISHA KAYA 4,950 Baada ya kukamilisha usambazaji wa umeme katika vijiji vyote 785 Mkoani Mtwara, Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatekeleza mradi wa shilingi bilioni 16.7 wa kusambaza umeme kwenye vitongoji 150 utakaonufaisha kaya 4,950 mkoani humo. Mhandisi Msimamizi wa Miradi ya Umeme REA Kanda ya Kusini,…

Read More

Kamishna Wakulyamba Apongeza Jitihada za Uimarishaji wa Hifadhi za uhifadhi misitu na utalii Wilayani Tanga.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Kamishna Benedict Michael Wakulyamba, amepongeza juhudi za Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) katika kuimarisha usimamizi wa hifadhi za mikoko na utalii wilayani Tanga. Katika ziara yake hiyo, Kamishna Wakulyamba alitembelea ofisi ya TFS Wilaya ya Tanga na kukutana na Mhifadhi wa Wilaya pamoja na…

Read More

Samia alivyotikisa kila wizara kwa miaka mitatu

Dar es Salaam. Siku 1,220 za Rais Samia Suluhu Hassan madarakani zimekuwa za panga, pangua kwenye baraza lake la mawaziri kutafuta ufanisi huku mabadiliko hayo yakidaiwa kuwanyima wateule hao nafasi ya kutosha kuonyesha ubunifu na kuacha sifa katika taasisi wanazoziongoza. Samia aliingia madarakani Machi 19, 2021 baada ya Rais John Magufuli aliyefariki dunia Machi 17,…

Read More

Fadlu abeba mbadala wa Tshabalala

LICHA ya kuongeza mkataba wa kuendelea kuitumikia Namungo, beki wa kushoto Anthony Mligo yupo katika rada za Kocha wa Simba, Fadlu Davids anayedaiwa kuwaambia mabosi wa timu hiyo kuwa anahitaji huduma ya kijana huyo mwenye miaka 20, kiasi cha kumuita mazoezini amuone zaidi. Kwa mujibu wa taarifa kutoka ndani ya Simba, siku ya Alhamisi iliyopita,…

Read More

Vifaranga milioni 2.5 vya matango bahari, samaki vyazalishwa kuchochea uchumi wa buluu

Unguja. Katika kuhakikisha rasilimali za uchumi wa buluu zinakuwa na kunufaisha wananchi, vifaranga milioni 2.5 vya samaki na matango bahari vimezalishwa visiwani Zanzibar. Kati ya vifaranga hivyo, milioni moja vimezalishwa Pemba na milioni 1.5 vimezalishwa Unguja na tayari 26,000 vimeshatolewa kwa wafugaji 310. Vifaranga hivyo vimezalishwa na Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi Zanzibar…

Read More

Maandamano ya wanafunzi wa Bangladesh, vifo vya uzazi Yemen, Siku ya Mandela, kuheshimu haki za LGBT katika EuroGames 2024 – Masuala ya Ulimwenguni

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ameelezea wasiwasi wake kuhusu vifo na majeruhi vinavyoripotiwa nchini Bangladesh huku kukiwa na maandamano ya wanafunzi na anatoa wito wa uchunguzi wa kina wa Serikali kuhusu vitendo vyote vya unyanyasaji. Takriban wiki mbili zilizopita, maandamano ya wanafunzi yalizuka katika kampasi za vyuo vikuu katika mji mkuu Dhaka…

Read More