Uhamiaji yaja na siku 28 za kukagua vibali

Arusha. Idara ya Uhamiaji imetangaza siku 28 za ukaguzi na uhakiki wa vibali vya ukaazi na hadhi mbalimbali za kiuhamiaji kwa raia awa kigeni wanaoishi na kufanya kazi nchini. Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa jana Septemba 11, 2025 na Msemaji Mkuu wa Idara ya Uhamiaji, Paul Mselle, ukaguzi huo utafanyika kuanzia Septemba 11,…

Read More

Shahidi aeleza alivyokamata vielelezo kesi ya Malisa

Moshi. Shahidi wa pili wa upande wa Jamhuri katika kesi ya makosa ya kimtandao inayomkabili Mchungaji Godfrey Malisa, ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi jinsi alivyoenda kupekua nyumbani kwa Malisa na kukusanya vielelezo vinne ambavyo ni simu, kompyuta (laptop) mbili pamoja na chaja moja ya laptop. Shahidi huyo, Mkaguzi wa Polisi, Nickson Mwamnyasi wa Kituo…

Read More

Mastaa Stars waondoka CHAN kibosi

TANZANIA ikiwa mwenyeji wa CHAN 2024 ikishirikiana na Kenya na Uganda, imeaga mashindano baada ya kuondolewa na Morocco katika hatua ya robo finali lakini mastaa wa timu hiyo wamendoka na mkwanja wa maana usipime. Stars ya awamu hii ilikuwa na mvuto wa aina yake kuanzia namna inavyocheza na zaidi ikaweka rekodi ya kucheza robo fainali…

Read More

Pedro, Barker jeuri ipo hapa

IMEBAKI muda usiozidi saa 48 kabla ya Dabi ya Kariakoo haijapigwa kwenye Uwanja wa New Amaan Complex uliopo Unguja, huku makocha wa Yanga na Simba kila mmoja ni kama ana jeuri ya kujivuni jeshi lake katika kumpa furaha huko Zanzibar. …

Read More

Wadau Afrika Mashariki waungana kukabiliana na uvuvi haramu

Dar es Salaam. Wadau kutoka sekta mbalimbali katika ukanda wa Afrika Mashariki wameungana kuanzisha juhudi za pamoja za kukabiliana na uvuvi haramu, ambao unaendelea kuwa tishio kwa rasilimali za bahari, mazingira na maisha ya mamilioni ya watu wanaotegemea uvuvi kwa ajili ya kipato na lishe. Hayo yamebainika katika kongamano la Sauti za Buluu lililofanyika hivi…

Read More

Anguko la biashara za familia liko hapa

Biashara za familia ni sehemu muhimu sana ya uchumi katika nchi nyingi duniani, na Tanzania pia ni miongoni mwa nchi hizo. Kuanzia maduka madogo ya rejareja, biashara za usafirishaji, kilimo, ujenzi hadi biashara za jumla, biashara nyingi nchini zinamilikiwa na kuendeshwa na familia. Biashara hizi hutoa ajira, huongeza kipato cha familia, na huchangia maendeleo ya…

Read More

Mbinu za kutatua migogoro kwenye ndoa

Uhusiano wa watu wengi umefikia katika hali mbaya na mwingine kufa kabisa, huku wanandoa wakiachana katika maumivu na majeraha makali ya moyo. Chanzo kikubwa kikiwa kutojua kwao kuishughulikia migogoro inayojitokeza katika uhusiano wao. Mara nyingi katika ushauri tunasema shida sio kujikuta ndani ya migogoro bali shida ni namna mnavyoishughulikia migogoro hiyo. …

Read More