Serikali yatwishwa zigo vurugu za bodaboda

Dar es Salaam. Mamlaka za usimamizi wa sheria za usalama barabarani zinalalamikiwa kwa kushindwa kutekeleza wajibu wake ipasavyo, hivyo kuwa chanzo cha vurugu za madereva wa bajaji na bodaboda. Lawama zinaelekezwa kwa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Ardhini (Latra) na Jeshi la Polisi Kitengo cha Usalama Barabarani zinazosimamia Sheria ya Usalama Barabarani ya mwaka 1973…

Read More

Padri aliyekufa ajalini kuzikwa Manyoni Septemba 17

Dodoma. Paroko wa Parokia ya Mkula, jimbo la Ifakara, mkoani Morogoro, Padri Nicolaus Ngowi aliyefariki dunia katika ajali ya gari juzi jioni atazikwa Jumatano ya Septemba 17, mwaka huu kwenye makaburi ya wamisionari wa Damu Azizi ya Yesu, yaliyopo Manyoni, mkoani Singida. Padri Ngowi alifariki papo hapo, Septemba 9, 2024 katika ajali ya gari iliyotokea…

Read More

WAHANDISI WANAOKIUKA MAADILI KUCHUKULIWA HATUA: ULEGA

::::: Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ameitaka Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) kuwachukulia hatua za kinidhamu na kutopewa kazi nyingine wahandisi wasiofanya kazi zao kwa uadilifu na wasiozingatia viapo na miiko ya taaluma yao. Ameeleza hayo Septemba 26, 2025 jijini Dar es Salaam wakati akifunga maadhimisho ya 22 ya Siku ya Wahandisi Tanzania ambayo…

Read More

Msikie Awesu kuhusu Maxi Zengeli

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Awesu Awesu amemtaja Maxi Nzengeli wa Yanga ni mchezaji mzalendo ndani ya timu yake ambaye anapambana kuhakikisha kila kitu kinakwenda sawa. Kauli ya Awesu imekuja baada ya hivi karibuni Maxi kumtaja kiungo huyo kuwa miongoni mwa wachezaji anaowakubali na kutamani kucheza naye timu moja. Maxi alisema: “Awesu kipaji chake ni kikubwa,…

Read More

Mghana Singida FG akumbushia deni lake

LICHA ya kurudi kuitumikia Singida Fountaine Gate huku akiwa ameifungulia madai kwa Shirikisho la Kimataifa la Soka (FIFA), nyota kiraka raia wa Ghana, Nicholas Gyan ameuomba uongozi wa timu hiyo kumlipa deni analowadai ili mambo yasiwe mengi. Gyan alirudishwa Singida baada ya FIFA, kuipa siku 45 timu hiyo kumlipa deni la ada ya usajili huku…

Read More

SAU yakomaa na kilimo | Mwananchi

Dar es Salaam. Chama cha Sauti ya Umma (SAU), kimezindua rasmi kampeni zake za uchaguzi mkuu huku  mgombea urais kupitia chama hicho, Majalio Kyara akiahidi kusimamia kilimo hai ili kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi. Akizungumza katika uzinduzi huo leo Jumanne Septemba 9, 2025, katika Viwanja vya Ukonga Mombasa, Dar es Salaam Kyara amesema kilimo ni…

Read More