MWENYEKITI KIBUGUMO ,KIGAMBONI AJIVUNIA MAFANIKIO YAKE YA UONGOZI NDANI YA MIAKA MITANO

  Na Mwandishi Wetu,DmNews tz online  MWENYEKITI wa Serikali ya mtaa wa Kibugumo katika Halmashauri ya Wilaya Kigamboni Yusuph  Selemani Tindwa  Amesema kuwa katika kipindi cha uongozi wake amejitahidi kutatua Kwa kiwango kikubwa kero ya migogoro ya ardhi. Amesema wakati anaingia madarakani  mwaka 2019 mtaa wa kibugumo ulikuwa na changamoto kubwa ya ardhi lakini baada…

Read More

Simba yamgeukia kiungo Mzambia | Mwanaspoti

BAADA ya kumalizana na winga Joshua Mutale (22), mabosi wa Simba wamedaiwa hawajamaliza kazi huko Zambia baada ya kuhamia kwa kiungo mkabaji wa Zesco United, Kelivin Kapumbu (28) kwa nia ya kumvuta Msimbazi kukiwasha kwa msimu ujao wa mashindano ya ndani na yale ya kimataifa. Hata hivyo, taarifa hizo kutoka ndani ya Simba zinasema kuwa…

Read More

AGIZO LA SERIKALI LATEKELEZWA NA  JKT

Mkuu wa Tawi la Utawala JKT na Mwenyekiti wa Kamati ya Kimkakati ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Brigedia Jenerali Hassan Mabena,akiondoa kitambaa tayari kuzindua  jiko la gesi katika Kikosi 825 KJ Mtabila, wilayani Kasulu, Mkoa wa Kigoma. Na Alex Sonna-KASULU VIJIJINI JESHI la Kujenga Taifa (JKT) limeanza kutekeleza agizo la Serikali la matumizi ya nishati…

Read More

Fanya mambo haya baada ya kufungua funga ya Ramadhani

Wiki iliyopita tuliona matatizo ya kiafya yanayoweza kujitokeza wakati wa kufunga, yaani kujinyima kula kwa zaidi ya saa 16. Leo tutaona vitu vya kufanya kujikinga matatizo ya kiafya kutokana na kufunga. Kunywa maji: Kunywa maji mara kadhaa usiku kucha angalau glasi 10 baada ya kufungua mpaka kulala. Kunywa hata kama hujisikii kiu, hali ya kiu…

Read More

SAT YAWAJENGEA UWEZO WAKULIMA NA WAFUGAJI SIMANJIRO

Na Mwandishi wetu, Simanjiro SHIRIKA la kilimo endelevu Tanzania (SAT) limewajemgea uwezo wafugaji na wakulima zaidi ya 10,000 wa vijiji 10 vya wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, wa kutokomeza udumavu, matumizi ya mbinu za kilimo ikolojia, usimamizi bora wa malisho kwa mifugo na lishe ya mama na mtoto. Wafugaji na wakulima wa vijiji vya Kandasikira,…

Read More

NGORONGORO YATANGAZA VIVUTIO VYA UTALII KWA WASHIRIKI WA ROMBO MARATHON.

 Na Mwandishi Wetu, Rombo. Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imeshiriki katika tamasha la _Rombo _Marathon_ lililofanyika leo tarehe 23 Desemba 2025,  Rombo Mkoani Kilimanjaro na kuvutia wageni kutoka maeneo mbalimbali ya ndani na nje ya nchi.  Ushiriki wa Ngorongoro Rombo Marathon ambayo pia watumishi wa Mamlaka hiyo wameshiriki mbio za umbali tofauti inadhihirisha jitihada…

Read More

CCK YAJIPAMBANUA KUSHIKA,KUZINDUA KIJICHI KESHO

………… Chama cha siasa cha Kijamii CCK kimesema moja ya kipaumbele chake katika kampeni za uchaguzi wa mwaka huu kitaweka mikakati mizuri kwa vijana ikiwemo kuboresha elimu imara itakayomsaidia mtanzania kuweza kujiajiri. Mwenyekiti wa Chama hicho na Mgombea nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania David Mwaijojele amesema hayo leo wakati akizungumza jijini…

Read More

Nne zajiweka pazuri 8 Bora DBL

USHINDANI mkali wa timu zinazotafuta nafasi ya kucheza hatua ya nane bora katika ligi ya kikapu mkoa wa Dar es Salaam (BDL), umeonyesha timu nne ndizo zenye nafasi  kucheza hatua ya nane bora. Hatua ya nane bora  itatokana na timu zilizofanya vyema baada ya kila moja kumaliza kucheza michezo 30. Timu zilizojiweka katika nafasi ya…

Read More

Lissu adaiwa kushikiliwa na Polisi Ruvuma

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu anadaiwa kushirikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma muda mchache baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara uliofanyika wilayani Mbinga mkoani humo. Bado haijafahamika chanzo cha Lissu, pamoja na walinzi wake wawili, kada mmoja wa chama aliyefahamika kama Shija Shebeshi kushikiliwa na polisi,…

Read More