Barabara ya Mbagala Rangi Tatu-Kongowe kuanza upanuzi

Dar es Salaam. Huenda kilio cha muda mrefu cha watumiaji wa barabara ya Kilwa, kipande cha Mbagala Rangi Tatu hadi Kongowe, kikatamatika baada ya mkandarasi kuanza kupeleka wataalamu na vifaa eneo hilo tayari kuanza kazi. Kipande hicho cha urefu wa kilometa 3.8 kinatarajiwa kutumia siku 450, sawa na miezi 15, hadi kukamilika kwake na kitakabidhiwa…

Read More

Ulaji maini kupita kiasi watajwa hatari kwa mjamzito

Geita. Maini ni miongoni mwa vyakula vinavyosifika kwa kuwa na virutubisho vingi muhimu, ikiwemo chuma, protini na vitamini A. Hata hivyo, kwa mama mjamzito, ulaji wa maini kupita kiasi unaweza kusababisha madhara makubwa kwa mtoto tumboni. Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), vitamini A aina ya retinol ikizidi mwilini hasa wakati wa ujauzito,…

Read More

Mabula afichua kitu Azerbaijan | Mwanaspoti

KIUNGO wa Shamakhi FC inayoshiriki Ligi Kuu Azerbaijan, Alphonce Mabula amesema huu unaweza kuwa msimu wake bora na wenye mafanikio tangu aanze kucheza soka la kulipwa. Kabla ya kutimkia Shamakhi kiungo huyo aliwahi kuitumikia FK Spartak Subotica ya Ligi Kuu ya Serbia maarufu kama Serbian SuperLiga kwa misimu miwili. Akizungumza na Mwanaspoti, Mabula alisema msimu…

Read More

Rais Mwinyi ahimiza amani na mshikamano nchini

Dar es Salaam. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi, amewataka Watanzania kudumisha amani, utulivu na mshikamano katika taifa, kwani bila amani hakuna mafanikio yanayoweza kufikiwa. Rais Mwinyi amesema hayo leo Machi mosi, 2026, katika mashindano ya kimataifa ya Quran yaliyofanyika Jijini Dar es Salaam, yaliyoandaliwa na Taasisi ya Al-Hikma, yakikutanisha washiriki 26 kutoka mataifa…

Read More

Ramadhani ni mwezi wa toba, kuokolewa na moto

Mwezi wa Ramadhani ni mwezi ambao milango ya pepo hufunguliwa na milango ya moto hufungwa. Katika mwezi huu, Allah Mtukufu huwapa neema waja wake wanaofunga kwa kuwaokoa na moto wa jahannam. Moto ambao joto lake ni kali sana, kina chake ni kirefu, na adhabu yake ni nzito. Mtume wa Allah (rehema na amani ziwe juu…

Read More

BRECOL Yatangaza Nafasi ya Quantity Surveyor kwa Miradi ya Majengo

Global Publishers March 2, 2026 0 Comments 1️⃣ Quantity Surveyor (Civil Building Project) Minimum Qualifications: Bachelor of Science in Building, Quantity Surveying, Construction Management, or related field Minimum of 2 years proven experience in civil building projects Key Responsibilities: Prepare Bills of Quantities (BOQ), cost estimates, and tender documents Conduct cost analysis and budget control…

Read More