UNICEF yaanzisha upya wito wa ulinzi wa shule nchini Ukraine huku kukiwa na 'uhalisia mbaya' wa mashambulizi – Masuala ya Ulimwenguni

John Marks, wa muda UNICEF Mwakilishi nchini Ukrainia, alitoa rufaa upya kwa shule kulindwa huku vita vikiendelea. “Katika wiki ya kwanza ya mwaka mpya wa masomo, vifaa vya elimu katika maeneo kama vile Dnipro, Kryvyi Rih, Kyiv, Lviv na Sumy viliripotiwa kuharibiwa katika mashambulizi,” alisema. alisema. “Uhamishaji katika maeneo yaliyo karibu na mstari wa mbele…

Read More

Sita mbaroni kwa tuhuma za mauaji

Arusha. Jeshi la Polisi mkoani Arusha linawashikilia watu sita kwa tuhuma za mauaji ya Wilson Mbise (25), mkazi wa King’ori wilayani Arumeru na kujeruhi wengine sita. Watuhumiwa hao ambao majina yao yamehifadhiwa, wanadaiwa kutenda mauaji hayo Septemba 11, 2025. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Arusha, leo Ijumaa Agosti…

Read More

TLS yawafunda waandishi wa habari, yawataka kusaidia umma kutumia uhuru wa kujieleza

Chama cha Wanasheria cha Tanganyika (TLS), kimewataka wandishi wa habari nchini kuzitumia sheria zilizopo kuhakikisha wanausaidia umma katika ukuzaji wa uhuru wa kujieleza. Anaripoti Wellu Mtaki, Dodoma… (endelea). Hayo yameelezwa jana tarehe 4 Juni 2024 jijini Dodoma na Makamu Mwenyekiti wa TLS Wakili Deus Nyabiri alipofungua mafunzo ya siku mbili ya kuwajengea uwezo waandishi wa…

Read More

MZUMBE YABUNI MBEGU YA MGOMBA KUPITIA NDIZI MBIVU

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV KUFUATIA changamoto kwa wakulima wa zao la ndizi kuwa na uhaba wa mbegu bora za migomba ya ndizi, mwanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Mzumbe amefanya utafiti na kubuni mbegu bora ya kisasa kwa kutumia ndizi mbivu  Akizungumza leo Julai 10,2024 katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba yanayofanyika…

Read More

Mbowe: Tutailinda Chadema | Mwananchi

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amekiri kuwepo kwa minyukano ndani ya chama hicho, akisema wanaimaliza ndani kwa ndani na watakilinda chama hicho kwa gharama yoyote. Kauli ya Mbowe imekuja kufuatia ukimya wake wa zaidi ya miezi miwili, huku kukiwa na mivutano ya hoja ndani ya chama hicho,…

Read More