Mwili waopolewa mtaroni Jangwani | Mwananchi

Dar es Salaam. Mwili wa mtu mmoja umeonekana asubuhi ukielea majini kwenye mtaro uliopo Jangwani, jirani na kilipokuwa kituo cha mabasi ya mwendokasi. Katika eneo hilo kwa sasa unaendelea ujenzi wa barabara mbadala kabla ya kubomolewa ya awali kupisha ujenzi wa daraja la juu litakalounganishwa eneo la Fire na Magomeni. Mwili huo wa mtu mzima…

Read More

Trump asitisha ufadhili kabla ya kesi kusikilizwa

Dar es Salaam. Wakati Bara la Afrika likiwa kwenye mtanziko kuhusu kusitishiwa misaada ikiwemo dawa za ARV, malaria na kifua kikuu, utawala wa Rais wa Marekani Donald Trump umeondoa agizo la kusitisha mikopo ya shirikisho, ruzuku na misaada mingine ya kifedha. Jaribio la Rais Trump kufungia mabilioni ya dola katika ufadhili wa Serikali lilizuiliwa kwa…

Read More

Waziri Junior mguu mmoja Ihefu

Kama mambo yakienda  sawa, mshambuliaji aliyemaliza mkataba wake KMC, Waziri Junior anaweza akasaini Ihefu muda wowote, baada ya kurejea kutoka katika majukumu ya Taifa Stars. Mmoja wa kiongozi wa Ihefu, alisema kila kitu kuhusu Junior kinakwenda vizuri, walikuwa wanamsubiri arejee kutoka katika majukumu ya Taifa Stars, ambayo ilikwenda nchini Indonesia. “Kabla ya kuitwa timu ya…

Read More

Ongezeko magonjwa ya zinaa tishio la ugumba

Morogoro/Dar. Wataalamu wa afya wameonya kuwa jamii inapaswa kuenenda na ngono salama, kwa kuwa ongezeko la magonjwa ya zinaa nchini LInatishia usalama wa afya ya uzazi hasa kwa vijana, kwani yanachochea tatizo la ugumba. Wakitaja athari kwa mwanamke, wamesema huziba mirija ya uzazi, huku magonjwa kama kisonono yakiathiri njia ya kupitisha mbegu kwa mwanaume na…

Read More

ILANI YA UCHAGUZI 2025-2030: CCM na jitihada za Tanzania kuwa kitovu cha usafiri Afrika Mashariki

Dar es Salaam.  Kupitia ahadi za kukamilika kwa ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR), kupanua barabara kuu za kimkakati, na bandari muhimu, Chama cha Mapinduzi (CCM) kimezindua maono kabambe ya kuigeuza nchi kuwa kitovu kikuu cha usafirishaji na usafirishaji Afrika Mashariki. Kama ilivyoainishwa katika ilani yake ya uchaguzi ya 2025-2030, mpango huo unalenga kuimarisha kikamilifu…

Read More