Tanzania Mnufaika wa Mpango wa TEF wa Ujasiriamali Afrika 2026

Tanzania imepata uwakilishi miongoni mwa wanufaika wa Mpango wa Ujasiriamali wa Taasisi ya Tony Elumelu (TEF) wa mwaka 2026, huku wajasiriamali 12 wakichaguliwa katika kundi la kwanza la washindi waliotangazwa barani Afrika. Hayo yalitangazwa Transcorp Hilton Abuja, ambapo wajasiriamali 1,951 walibainishwa kama sehemu ya wanufaika wapatao 3,200 watakaosaidiwa na TEF kwa mwaka huu. Uteuzi huo…

Read More

Ally Salim apewa mmoja Dodoma Jiji

KIPA mpya wa Dodoma Jiji, Ally Salim amesaini mkataba wa mwaka mmoja ambao una kipengele cha kuongezewa mwingine endapo akionyesha kiwango cha juu kuisaidia timu hiyo. Kigogo mmoja wa timu hiyo (jina tunalo) alisema sababu ya kumsainisha kipa huyo mwaka mmoja ilitokana na muda mfupi wa kufanya makubaliano ya baadhi ya mambo, hivyo wakaona bora…

Read More

TBS YAENDELEZA MAFUNZO YA KANUNI ZA UONGEZAJI VIRUTUBISHO KWENYE CHAKULA

::::::: Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kutoa mafunzo kuhusu ubora, viwango na kanuni za uongezaji virutubishi kwenye mazao ya chakula ikiwemo mahindi, ngano, chumvi na mafuta yaliyosafishwa, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Kanuni ya mwaka 2024,Mafunzo hayo yamefanyika leo jijini Dar es Salaam yakilenga kuwajengea uwezo wazalishaji, wasambazaji na wauzaji ili kuhakikisha bidhaa…

Read More

Yanga yaifumua Williete, yawafuata Wamalawi

YANGA imefuzu hatua ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuifunga Wiliete SC ya Angola kwa mabao 2-0 na kusonga mbele kwa jumla ya mabao 5-0, huku maswali ya mashabiki kuhusu ubora wa kiwango cha timu hiyo ya Wananchi yakiendelea kuwa mengi. Kwa ushindi huo, Yanga itakabiliana na Silver Strikers ya Malawi kuwania…

Read More

Magori ametoa kauli ya kiuongozi Simba

CRESCENTIUS Magori juzi alitoa kauli ambayo hapa kijiweni tunaamini ndiyo inapaswa kutolewa na kiongozi pindi timu inapopoteza mechi kama ya Jumanne wiki hii dhidi ya Yanga. Amewataka Wanasimba kuwa na utulivu wa hali ya juu katika kipindi hiki ambacho imetoka kupoteza mechi ya sita mfululizo dhidi ya Yanga na katika mechi hiyo ilifungwa bao 1-0….

Read More

Kinda Mtanzania atimkia Manchester | Mwanaspoti

SAFARI ya kinda wa Kitanzania, Gwakisa Mwakipesile  imeanza kuonja ladha ya ushindani wa soka katika Ligi Kuu ya Vijana England baada ya kucheza mechi yake ya kwanza kwa walio na umri chini ya miaka 18. Mwakipesile anayekipiga katika timu ya vijana ya Manchester Rose FC alipata nafasi ya kucheza Alhamisi wakati timu hiyo ilipokutana na…

Read More