Bado Watatu – 11 | Mwanaspoti

“AFANDE kama ulivyosema alama za dole gumba ni zile zile za kwanza. Hii imethibitisha kwamba muuaji ni mtu yule yule,” Ibrahim akaniambia kabla sijakaa kwenye kiti. Nilipokaa nikamuuliza: “Na zile alama za marehemu mmeshazichunguza?” “Tumezichunguza kujua kama ni mtu ambaye tuna rekodi naye lakini tumepata matokeo ya kushangaza kama yale tuliyoyapata mwanzo ndio maana nimekuita.”…

Read More

Vifaa vya Sh10 milioni kuwainua wakulima wanawake Tabora

Tabora. Wanawake wanaojishughulisha na kilimo mkoani Tabora wamepewa zana za kilimo na pembejeo, pamoja na ufuatiliaji wa kilimo chenye tija, kwa lengo la kuwasaidia kujikwamua kiuchumi. Zana vilivyotolewa ni pamoja na pampu za unyunyiziaji wa dawa, mabomba na pampu za maji kwa ajili ya umwagiliaji pale panapokua changamoto ya upatikanaji wa maji, pamoja na buti…

Read More

Wananchi Wahimizwa Kujiunga na Hifadhi Skimu

Serikali imehimiza wananchi kujiunga katika na Hifadhi Skimu ili kujihakikishia usalama wa maisha yao ya sasa na baadaye ikiwemo kunufaika na mafao yanayotolewa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF). Akizungumza katika hafla ya uhamasishaji wa kujiunga na hifadhi hiyo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe….

Read More

Mpina giza nene sakata la urais Tanzania

Dar es Salaam. Ni rasmi sasa ndoto ama harakati za Luhaga Mpina kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, zimefikia tamati. Hatua hiyo inatokana na Mpina, aliyewahi kuwa Mbunge wa Kisesa kwa miaka 20 kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), kukihama chama hicho na kujiunga na ACT-Wazalendo. Mwanasiasa…

Read More

Singida Black Srats itakula sana raha za Chama

SINGIDA Black Stars ilianza kwa kusuasua sana mashindano ya Kombe la Kagame yaliyomalizika Jumatatu wiki hii kwa fainali baina yao na Al Hilal ya Sudan. Na sio kama ilikuwa inacheza vibaya bali pale mbele haikuwa na mtu wa kulainisha. Pupa zilikuwa nyingi sana ilipokuwa inashambulia. Ilionekana wazi Mwamba wa Lusaka ambaye alisajiliwa lakini akachelewa kujiunga…

Read More

Chelsea Yapokea Kipigo Kingine cha Aibu Dhidi ya Everton

Global Publishers March 21, 2026 0 Comments Mshambuliaji Beto ameibuka shujaa wa Everton FC baada ya kufunga mabao mawili muhimu yaliyoisaidia timu yake kuibuka na ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya Chelsea FC katika mchezo uliopigwa kwenye dimba la Hill Dickinson. Everton walionyesha ubora wao tangu dakika za mwanzo za mchezo huo, huku Beto…

Read More