Sh5 bilioni zatumika kufidia uharibifu wa mali

Dar es Salaam. Zaidi ya Sh5 bilioni zumelipwa kama fidia ya uharibifu wa mali kwa wateja zaidi ya 1,000 wa Kampuni ya Bima ya CRDB Insurance Company (CIC). Hayo yalibainishwa katika mkutano uliowakutanisha Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela na menejimenti pamoja na wafanyakazi wa CIC jijini humo. Akizungumza katika mkutano huo leo,…

Read More

KONGAMANO LA KWANZA KUTAMBUA MCHANGO WA KISWAHILI KATIKA UKOMBOZI KUSINI MWA AFRIKA LAFANYIKA NABIMIA

Na Mwandishi Wetu UBALOZI wa Tanzania nchini Namibia kwa kushirikiana na Chuo cha Triumphant wameandaa Kongamano la Kwanza la Kiswahili lililozungumzia mchango wa lugha ya Kiswahili katika harakati za ukombozi wa nchi za Kusini mwa Afrika hususan Namibia. Mgeni Rasmi katika Kongamano hilo lililofanyika Aprili 25, 2025 alikuwa Lt.Gen.(Rtd) Epaphras Denga Ndaitwah, Mwenza wa Rais…

Read More

JUMUIYA YA WAZAZI :CCM TUNAKIU YA UCHAGUZI,

Na Seif Mangwangi, Arusha UMOJA wa Wazazi Tanzania wa Jumuiya ya Chama cha Mapinduzi (CCM), umesema wanachama wa Jumuiya hiyo wanakiu ya uchaguzi na wako tayari kuingia kwenye uchaguzi wakati wowote licha ya kusikia kuna baadhi ya vyama vya siasa vinataka kugomea uchaguzi Mkuu ujao. Aidha Jumuiya hiyo imeandaa kongamano kubwa la kimataifa litakaloainisha mafanikio…

Read More

Watoto 1,500 wasubiri matibabu ya moyo JKCI

  RAIS mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete, anatarajiwa kuongoza harambee ya kuchangia matibabu ya watoto 1,500 wanaougua magonjwa mbalimbali ya moyo ili wapate matibabu kwenye Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Hayo yalisemwa mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam na Naibu Spika wa…

Read More