JITOKEZENI KUPATA VITAMBULISHO VYA TAIFA – NIDA

 ::::::::; Na Mwandishi Wetu,  Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imewataka wananchi hususan kutoka makundi yenye mahitaji maalumu kujitokeza kwa wingi kujisajili ili kupata Vitambulisho vya Taifa, hatua ambayo itarahisisha upatikanaji wa huduma muhimu za kijamii ikiwamo afya, elimu na huduma za kifedha. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Idara ya Uzalishaji Vitambulisho kutoka NIDA,…

Read More

Vodacom Wakabidhi Matundu 10 ya Vyoo Shule ya Mkata

Bakari Mahundu March 12, 2026 0 Comments Vodacom Tanzania Foundation, Twende Butiama pamoja na Stanbic Bank Kwenye Picha ya Pamoja Wakizindua Matundu 10 ya Kisasa ya Vyoo Shule ya Msingi ya Mkata, Tanga. Vodacom Tanzania Foundation kwa kushirikiana na Twende Butiama pamoja na Stanbic Bank wamejenga matundu 10 ya kisasa ya vyoo katika Shule ya…

Read More

Tujifunze kwa Finland utoaji elimu ya fedha

Fikiria mtoto wa miaka 13 tayari anaelewa kuweka akiba, kupanga bajeti, au kujaribu biashara ndogondogo. Katika makuzi ni umri mzuri wa kujenga na kuzoesha kwa urahisi zaidi kuwa sehemu ya maisha ya mtu. Nchi ya Finland utoaji wa elimu ya umezingatia msingi huo, programu maalum kujifunza masuala ya fedha binafsi na kipato kwa vitendo maarufu…

Read More

Mke amkata uume mumewe Manyara, wivu wa mapenzi watajwa

Hanang. Mkazi wa kitongoji cha Maweni kijiji cha Kidangu, kata ya Endagaw, wilayani Hanang mkoani Manyara, Veronica Muhale (40), anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa kudaiwa kumjeruhi mume wake Josephati Kasi (45) kwa kumkata kwa kisu na kuondoa sehemu zake za siri. Mwenyekiti wa kitongoji cha Maweni, Mohamed Ramadhani akizungumza na waandishi wa habari leo …

Read More

TEC yawapa onyo mapadri, watawa

Dar es Salaam. Kanisa Katoliki nchibni Tanzania limewapiga marufuku watawa, mapadri na waseminari kujihusisha na kampeni za uchaguzi za chama chochote cha siasa, wala kuvaa sare zao ili kulinda heshima na usafi wa kanisa hilo. Wito huo umetolewa leo Septemba 25, 2025 na Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Askofu Wolfgang Pisa, wakati…

Read More

Rekodi idadi ya wanawake wanaoishi katika umbali wa kushangaza wa mizozo ya kijeshi – maswala ya ulimwengu

Wanawake wanasimama katika makazi yaliyoharibiwa ya kuhamishwa huko Khan Younis, Gaza. Mikopo: Kliniki ya UNFPA/Media Maoni na Taasisi ya Utafiti wa Amani Oslo (Oslo, Norway) Alhamisi, Septemba 25, 2025 Huduma ya waandishi wa habari OSLO, Norway, Septemba 25 (IPS) – uwanja wa vita sio mbali tena; Kwa mamilioni ya wanawake, ni mlango unaofuata. Takriban wanawake…

Read More

Josiah atambia rekodi mpya Dodoma

KOCHA Mkuu wa Dodoma Jiji, Amani Josiah, amesema suluhu (0-0), iliyoipata timu hiyo juzi dhidi ya Simba ni kutokana na wachezaji wa kikosi hicho cha ‘walima Zabibu’, kufuata vyema maelekezo yake ya kucheza kwa nidhamu kubwa na kwa heshima. Akizungumza na Mwanaspoti, Josiah, alisema haikuwa mechi rahisi kutokana na jinsi wapinzani wao walivyokuwa wanacheza, ingawa…

Read More

Diarra kweli nimeamini avumae baharini papa

SASA hivi Yanga wanatamba kumchapa mtani wao Simba katika mechi sita mfululizo za mashindano tofauti ambayo ni Ligi Kuu Tanzania Bara na Ngao ya Jamii. Ni haki yao kutamba kiukweli maana hizi ndio timu mbili kubwa na utani wao wa jadi ni wa muda mrefu hivyo unavyompata mwenzako unapaswa utembee kifua mbele haswa maana siku…

Read More