Lwandamina: Kwa Yanga hii mtakoma!

ALIYEKUWA kocha mkuu wa Yanga, George Lwandamina amesema timu hiyo itaendelea kutawala endapo wapinzani wao hawatakuwa na mikakati mizuri. Raia huyo wa Zambia aliyewahi kuifundisha Yanga kwa misimu miwili kuanzia 2016-2018 alisema, sababu kubwa inayochangia timu hiyo kufanya vizuri kwa misimu mitatu mfululizo ni kutokana na usajili mzuri uliofanywa na viongozi wao kikosini. “Yanga ina…

Read More

Mtibwa yampigia hesabu Dante | Mwanaspoti

MTIBWA Sugar imerejea Ligi Kuu Bara, ikiwa na moto ikianza kupiga hesabu za maana kwa upande wa usajili ikisuka jeshi lake litakalowabakisha wasishuke. Kikosi hicho kinapiga hesabu nzito za kuongeza timu kwa ajili ya mashindano ya msimu ujao, huku ikigoma kuacha asili yake kwa kuwatumia vijana wengi inaowazalisha. Ndio maana kwa sasa inataka kumrudisha beki…

Read More

DED MJI WA KIBAHA AKUTANA NA WAMILIKI NA WAFANYABIASHARA WA VITUO VYA MAFUTA

  Na Mwamvua Mwinyi  Novemba 20,2024 Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha ,Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufanyabiashara kihalali na kulipa Kodi ya Serikali kwa wakati. “Nawasihi sana,nipeni ushirikiano ili sote tukishirikiana tupate Mapato yatakayo hudumia wananchi. Tukiungana kukusanya Mapato,tunakwenda kuibadili Kibaha Kimaendeleo”amesema Dkt.Shemwelekwa. Mkuu wa…

Read More

LUDEWA SIYO PANGO LA WEZI – DC LUDEWA

Na. Damian Kunambi, Njombe. Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Victoria Mwanziva amewataka viongozi wa ngazi zote Wilaya humo ikiwemo wakuu wa Idara kuhakikisha wanasimamia vyema fedha za miradi ya maendeo zinazoletwa na serikali katika maeneo yao na kuhakikisha fedha hizo zinaendana na ubora wa miradi hiyo. Mwanziva ametoa maagizo hayo wakati alitoa hotuba katika kikao…

Read More

Ngushi aibeba Mashujaa, Coastal Union hoi

Bao la mshambuliaji Crispin Ngushi, limetosha kuipa ushindi wa pili Mashujaa, ikiendeleza makali yake kwenye Ligi Kuu Bara ikiwalaza Coastal Union ya Tanga. Ngushi amefunga bao hilo pekee dakika ya 14 akipokea pasi ya beki Abderhman Mussa, kisha mfungaji kuwatoka kiakili mabeki na kipa bora wa Ligi Kuu msimu uliopita, Ley Matampi wa Coastal Union….

Read More