BILIONI 60 zimetengwa kuboresha Bandari 3 Ziwa Victoria

Meneja wa Bandari za Ziwa Victoria, Erasto Lugenge aliwaambia wandishi wa habari waliotembelea bandari za Bukoba na Kemondo kuwa uwekezaji huu mkubwa katika bandari za Kemondo, Bukoba na Mwanza Kaskazini unatarajiwa kuboresha ufanisi na uwezo wa huduma za usafiri katika eneo hilo. Bw. Lugenge, ambaye anasimamia bandari 12 upande wa Tanzania wa ziwa hilo, amesema…

Read More

Maxime anaandaa Dodoma Jiji ya mastaa

KOCHA Mkuu wa Dodoma Jiji, Mecky Maxime amesema anaendelea kukisuka kikosi chake kuwa bora na kutoa ushindani mkubwa msimu ujao, huku akitaka kuona kila mchezaji ndani ya kikosi hicho anakuwa staa. Katika maandalizi ya timu hiyo kuelekea msimu ujao, tayari imecheza mechi tatu za kirafiki ikianza na Pamba na kushinda bao 1-0, ikaichapa Singida Black…

Read More

Raizin Hafidh kiroho safi Mtibwa

MSHAMBULIAJI wa Mtibwa Sugar, Raizin Hafidh amesema endapo dili lake la kujiunga na Kagera Sugar litakwama dirisha hili, atakichezea kikosi hicho kiroho safi ili kukipambania kurejea tena Ligi Kuu Bara baada ya kushuka daraja msimu uliopita. Akizungumza na Mwanaspoti, Raizin mwenye mabao 10 na kikosi hicho alisema licha ya Kagera Sugar na Pamba kuonyesha nia…

Read More

Hezbollah wajibu mapigo – Mwanahalisi Online

  KUNDI la wapiganaji wa Hizbollah, nchini Lebanon limejibu mapigo baada ya Israel kuyashambulia makao makuu yake huko Hezbollah, Beirut. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endela). Israel ilifanya mashambulizi kadhaa kwenye makao makuu ya kundi hilo na kwamba mkuu wa Hezbolla, Hassan Nasrallah ndiye aliyekuwa akilengwa. Jeshi la Israel limesema pia kuwa limemuua kamanda wa Hezbollah…

Read More

KUTOKA NDANI YA JIMBO LA KIBAMBA JIONI YA LEO.

Picha mbalimbali za matukio ya Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel John Nchimbi kwenye mkutano wake wa hadhara uliofanyika leo Septemba 29,2025 katika viwanja vya Malamba Mawili,Jimbo la Kibamba wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam.  

Read More