Mwanasiasa Mkongwe William Lukuvi Afariki Dodoma – Video
Global Publishers March 25, 2026 0 Comments Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania, William Vangimembe Lukuvi enzi za uhai wake. Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania, William Vangimembe Lukuvi, amefariki dunia asubuhi ya Machi 25, 2026 akiwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa alipokuwa akipatiwa matibabu. Kwa mujibu wa taarifa rasmi iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Moses M. Kusiluka, Lukuvi…