Mwanasiasa Mkongwe William Lukuvi Afariki Dodoma – Video

Global Publishers March 25, 2026 0 Comments Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania, William Vangimembe Lukuvi enzi za uhai wake. Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania, William Vangimembe Lukuvi, amefariki dunia asubuhi ya Machi 25, 2026 akiwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa alipokuwa akipatiwa matibabu. Kwa mujibu wa taarifa rasmi iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Moses M. Kusiluka, Lukuvi…

Read More

BALOZI KAGANDA ATEMBELEA OFISI ZA TPA NCHINI ZIMBABWE

Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, Kamishna wa Polisi (CP) Suzan Kaganda, ametembelea ofisi za Mamlaka ya Bandari ya Tanzania (TPA) zilizopo mjini Harare na kufanya mazungumzo na Mwakilishi wa TPA nchini humo, Bi. Kulthum Boma kuhusu namna ya kuimarisha huduma na kuongeza ufanisi katika usafirishaji wa mizigo kupitia bandari za Tanzania. Ziara ya Mheshimiwa Balozi…

Read More

NIRC Yaridhishwa Na Kasi Ya Ujenzi Wa Skimu Ya Makwale-Kyela – Global Publishers

Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) kupitia Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Uendelezaji wa Miundombinu, Mhandisi Leopord Runji, imefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ikiwemo ujenzi wa skimu ya Umwagiliaji Makwale, iliyopo Kyela mkoani Mbeya. Katika ziara hiyo Mhandisi Runji ameeleza kuridhishwa na kazi inayoendelea na kumtaka Mkandarasi anayetekeleza mradi huo kuongeza nguvu ili kukamilisha…

Read More

DKT.NCHIMBI AWASILI JIJINI ARUSHA KUENDELEA NA MIKUTANO YAKE YA KAMPENI

MGOMBEA Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John  Nchimbi, amewasili mkoani Arusha leo Ijumaa Septemba 12,2025 na kuendelea na mikutano yake ya kampeni akitokea  Mkoa wa Katavi. Mara baada ya kuwasili jijini humo,Balozi Dkt.Nchimbi ataelekea Wilayani Longido,Jimbo la Longido  ambako atawahutubia Wananchi…

Read More

Gamondi autaka ubingwa Cecafa Kagame Cup

KOCHA wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi ametangaza kuwa lengo kubwa kwenye michuano ya Cecafa Kagame Cup 2025 ni kuipa timu yake ubingwa akiitumia pia kama sehemu ya maandalizi ya mashindano ya kimataifa na msimu mpya wa Ligi Kuu Bara. Gamondi, aliyewahi kuinoa Yanga, ameanza jana, Jumanne safari yake na Singida kwenye mchezo wa Kundi…

Read More

MFAHAMU MGOMBEA: Twalib Kadege ni spidi mperampera hadi Ikulu

Miaka 10 iliyopita, Taifa lilipokuwa linauelekea  uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, aliyekuwa mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, aliibuka na kaulimbiu ya “Hapa Kazi Tu” iliyobeba tafsiri ya maono yake ya kuwafanya Watanzania wafanye kazi bila lelemama. Mwaka 2020, mgombea urais wa Chama cha The United People’s Democratic Party(UPDP), Twalib Ibrahim…

Read More

Mapigano ya hivi punde ya mpaka wa Afghanistan na Pakistan, mauaji ya mwanaharakati wa haki za wanawake wa Iraq yalaaniwa, hatua muhimu ya ugonjwa wa ukoma wa Chile – Global Issues

Ofisi ya uratibu wa misaada, OCHAiliripoti kuwa takwimu za majeruhi “bado haziwezi kuthibitishwa kwa kujitegemea” kwa sababu ya ufikiaji mdogo. Shule na masoko katika wilaya kadhaa za mpakani zimesalia kufungwa huku kukiwa na hali ya kutokuwa na utulivu inayoendelea, wakati moto wa chokaa umelazimu familia kukimbia vijiji kaskazini magharibi mwa Pakistan. Shughuli za misaada katika…

Read More