Mbeya City kuamkia kwa Pamba Jiji?

“TUNAANZA Ligi na Pamba Jiji.” Ni kauli ya Kipa wa Mbeya City, Beno Kakolanya akiwatuliza mashabiki wa timu hiyo kufuatia mwenendo na matokeo yasiyoridhisha inayopata timu hiyo katika Ligi Kuu Bara. Mbeya City iliyorejea Ligi Kuu msimu huu, haijawa na matokeo mazuri hadi kufikia uamuzi wa kuachana na aliyekuwa na Kocha wake, Malale Hamsini. Timu…

Read More

Mbunge alilia soko la senene, Serikali kumuunga mkono

Dodoma. Mbunge wa Bukoba Mjini (CCM),  Johnston Mutasigwa  ameihoji Serikali kwamba, ina mpango gani wa kuwasaidia masoko ya senene na vifaa bora vya kutengeneza bidhaa hiyo kwa wananchi wa Bukoba. Leo Ijumaa Januari 30, 2026, katika swali la nyongeza, mbunge huyo amesema kwa sasa wafanyabiashara hawana eneo maalumu la kufanyia biashara hiyo na kuomba ikiwezekana…

Read More

RAIS SAMIA AMEJIPANGA KUFIKISHA UMEME VITONGOJI VYOTE

::::::::::: Imeelezwa kuwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameelekeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA), kufikisha umeme kwenye vitongoji vyote vilivyobakia nchini ambavyo bado havina huduma ya umeme ifikapo mwaka 2030. Hayo yamebainishwa leo Januari 30, 2026 na Bw. Frank Mugogo kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mha….

Read More

FURSA MPYA KWA VIJANA: BILIONI 2 KWA WATENGENEZAJI WA MAUDHUI

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda, amesema Wizara imepatiwa kiasi cha TZS bilioni 2 itakayowawezesha watengenezaji wa maudhui mbalimbali mitandaoni kuimarisha kazi zao na kuwaongezea kipato kupitia majukwaa ya kidijitali. Amesema hayo Januari 29, 2026 jijini Dodoma na kubainisha kuwa, fedha hizo zimetolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,…

Read More

DC BUKOBA: MADIWANI TUSAIDIE WATOTO WOTE WAENDE SHULE.

Na Diana Byera_Bukoba. Mkuu wa Wilaya ya Bukoba, Erasto Sima, amewataka madiwani wa Halmashauri ya Bukoba kuhakikisha wanashiriki vyema zoezi la kuhakikisha watoto wote wanaotakiwa kujiunga na kidato cha kwanza, elimu ya awali na darasa la kwanza wanaenda shuleni kabla ya daftari la usajili kufungwa. Kupitia kikao cha Baraza la Madiwani cha robo ya pili…

Read More

DED HALMASHAURI YA BUKOBA ATAJA MIRADI YA KIMKAKATI.

Na Diana Byera_Bukoba. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba, Fatina Hussein Laay, ametaja miradi ya kimkakati itakayotekelezwa na Halmashauri katika mwaka wa fedha 2025/2026 mbele ya Baraza la Madiwani katika robo ya pili ya Halmashauri hiyo kwa lengo la kuitambulisha na kuijadili katika Baraza la Madiwani. Fatina ameeleza hayo mbele ya Baraza kuwa…

Read More