Simba, Azam, Singida BS zaweka rekodi ugenini CAF

ILICHOFANYA Yanga jana Ijumaa ikiwa ugenini nchini Angola baada ya kushinda mabao 0-3 dhidi ya Wiliete Benguela, ndicho kilichofanywa na wawakilishi wengine watatu wa Tanzania Bara katika michuano ya CAF, Simba, Azam na Singida Black Stars baada ya zote kupata ushindi leo. Hiyo inaonesha ni mwanzo mzuri wa wawakilishi wetu katika michuano ya kimataifa msimu…

Read More

WASHINDI WAWILI WA MNADA WA PIKU WAKABIDHIWA ZAWADI

:::::::::: JUKWAA la kidijitali la PIKU Afrika, linaloendesha minada ya kipekee kupitia mtandao, limetangaza na kukabidhi zawadi kwa washindi wawili wa awamu ya nne ya promosheni yake ya minada ya kidijitali. Katika hafla hiyo, washindi wawili bora waliibuka na zawadi mbalimbali kama ifuatavyo: Mshindi wa kwanza, Hamimu Madenge, Meneja wa Super Market ya Viva iliyopo…

Read More

TLS yaazimia mambo 10 kumtetea mwenzao, polisi yaonya

Dar/Mikoani. Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), kimeamua mambo 10 ya kutekelezwa na wanachama wake, ikiwamo kutokupokea kesi za msaada wa kisheria kutoka mahakamani hadi hatua za kisheria zitakapochukuliwa dhidi ya waliohusika na shambulio dhidi ya Wakili Deo Mahinyila. Vilevile, TLS kupitia Baraza la Uongozi imetakiwa kupanga na kutangaza siku ya maandamano ya amani ya…

Read More

Mgombea udiwani Tanga aahidi kusaka mwarobaini mikopo kausha damu

Tanga. Mgombea udiwani wa Kata ya Msambweni, jijini Tanga kupitia chama cha ACT-Wazalendo, Bakari Idd Chuo ameahidi kutafuta njia mbadala ya kupata mikopo nafuu kwa wananchi wake na kuepukana na ile ya “kausha damu,” ambayo imesababisha baadhi ya ndoa kuvunjika. Akizungumza katika kampeni zake za kujinadi zilizofanyika maeneo ya Tamta, Kata ya Msambweni, jijini Tanga,…

Read More