
Wenye ulemavu watengewa Sh570 milioni za mikopo
Unguja. Katika kutatua changamoto za watu wenye ulemavu kuhusu upatikanaji wa mikopo inayotolewa na Serikali, Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA) na Baraza la Taifa la Watu Wenye Ulemavu Zanzibar wamesaini hati ya makubaliano yenye lengo la kuhakikisha watu hao wanapata fursa bila vikwazo. Akizungumza leo Ijumaa, Julai 11, 2025, katika utiaji saini huo,…