Beki azichonganisha Azam, Ihefu | Mwanaspoti

AZAM FC imeanza mazungumzo ya kumuongezea mkataba mpya beki kiraka, Natahaniel Chilambo lakini wakati hilo likitokea, Ihefu imeibuka ghafla na kuonyesha nia ya kumhitaji mlinzi huyo wa zamani wa Ruvu Shooting. Uongozi wa Ihefu unafahamu fika kuwa mkataba wa Chilambo na Azam FC utafikia tamati mwishoni mwa msimu huu hivyo kikanuni inaruhusiwa kufanya mazungumzo naye…

Read More

TBS YATOA ELIMU YA KUDHIBITI SUMUKUVU URAMBO

Na Mwandishi Wetu, Urambo WANANCHI katika Halmashauri ya Wilaya Urambo mkoani Tabora wamepatiwa mafunzo kuhusiana na namna wanavyoweza kuepukana na sumukuvu kwenye mazao ya mahindi na karanga. Elimu hiyo imetolewa mapema wiki hii wilayani hapa na maofisa wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa kushirikiana na wale wa Halmashauri ya Wilaya Urambo. Akizungumza na waandishi…

Read More

Chadema wamkataa jaji kesi kugombea rasilimali

Dar es Salaam.  Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia Bodi ya Wadhamini wake waliosajiliwa, kimewasilisha maombi ya kumtaka Jaji Hamidu Mwanga anayesikiliza kesi yake ya mgogoro wa mgawanyo wa rasilimali za chama, ajiondoe kwenye kesi hiyo. Pia chama hicho kimefungua shauri la maombi kikiiomba Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, iondoe amri zake…

Read More

CCM INA AMINI KWENYE UCHAGUZI WA KIDEMOKRASIA YEYOTE ASHINDE KWA UWEZO WAKE – MAKALLA

-𝑨𝒔𝒊𝒔𝒊𝒕𝒊𝒛𝒂 𝑪𝑪𝑴 𝒏𝒊 𝒊𝒎𝒂𝒓𝒂 𝒏𝒂 𝒊𝒑𝒐 𝒕𝒂𝒚𝒂𝒓𝒊 𝒌𝒘𝒂 𝒖𝒄𝒉𝒂𝒈𝒖𝒛𝒊 𝒘𝒂𝒌𝒂𝒕𝒊 𝒘𝒐𝒘𝒐𝒕𝒆. Chama Cha Mapinduzi kupitia Katibu wake wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo 𝐂𝐏𝐀. 𝐀𝐦𝐨𝐬 𝐌𝐚𝐤𝐚𝐥𝐥𝐚 amesema mambo yote yanayohusiana na matusi na kejeli si sehemu ya utamaduni wa chama hiko. CPA. Makalla amesisitiza kuwa Chama Cha Mapinduzi kinaamini katika kuelekea…

Read More

Maajabu kijana wa Kitanzania aliyebuni mfumo wa AI

Dar es Salaam. Wengi wanaoitaja Tanzania kuwa ina utajiri wa rasilimali, huorodhesha  vitu kama vile, ardhi, vito vya thamani, uoto wa asili na vinginevyo. Wanachosahau  ni kuwa nchi hiyo kubwa zaidi katika ukanda wa Afrika Mashariki, ina rasilimali watu wanaokuna vichwa vyao barabara. Katika orodha hiyo, yumo kijana Noel Sebastian (24) mkazi wa Gongolamboto, Dar es…

Read More