MBUNGE MZAVA AHOJI UJENZI WA BARABARA 4 JIMBO LA KOROGWE VIJIJINI AITAKA WIZARA KUKAMILISHA KWA WAKATI

Na Janeth Raphael MichuziTv -Bungeni -Dodoma Mbunge wa Korogwe Vijijini, Timotheo Mzava (CCM) ameiomba Wizara ya Ujenzi kuharakisha mchakato wa ujenzi wa barabara nne za Handeni- Kibrash – Kwamtoro, Tanga- Pangani- Makurunge, Soni- Bumbuli- Dindira -Korogwe na Old Korogwe – Magoma- Mashewa- Bombomtoni na Mabokweni kwani ni muhimu kiuchumi kwa wananchi wa Jimbo hilo. Akichangia…

Read More

Mokhtar afufua ndoto za MauritaniaMAURITANIA

USHINDI wa Mauritania dhidi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati katika michuano ya CHAN 2024 umeibua matumaini mapya kwa kikosi cha Mourabitounes, huku mchezaji bora wa mechi hiyo, Ahmed Mokhtar Ahmed, akitamba juu ya ushindi huo. Baada ya mechi mbili mfululizo bila kufunga dhidi ya Madagascar na Tanzania, presha ilionekana kuwa kubwa kwa washambuliaji wa…

Read More

OCS na wenzake sita kortini wakituhumiwa mauaji ya raia

Bukoba. Askari Polisi wanne akiwemo Mkuu wa Kituo cha Polisi (OCS) cha Kata ya Goziba, Wilaya ya Muleba Mkoani Kagera, John Mweji na mgambo watatu wamefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kumuua Baraka Lucas. Mwili wa Lucas (20) aliyekuwa mbeba dagaa wabichi Mwalo wa Kisiwa cha Goziba, ulipatikana ukielea Ziwa Victoria Juni 12, 2024 ikiwa ni siku…

Read More

VETA YABUNI DAWA YA KUKABILIANA NA UTI NA FANGASI

Na Avila Kakingo MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi (VETA), imebuni dawa ya kukabiliana na ugonjwa ya maambukizi ya bakteria kwa njia ya mkojo (UTI) na fangasi inayoitwa Lab Spray Disinfectant. Mwalimu wa Maabara Kutoka VETA Chang’ombe, Ally Issa ameyasema hayo  katika Kongamano na maonyesho ya tisa ya Sayansi, Teknolojia, na Ubunifu (STICE) linalohitimishwa…

Read More

Ma- DED wanolewa kuhusu uchaguzi, rushwa na mikopo

Kibaha. Wakurugenzi wa mamlaka za serikali za mitaa nchini kote leo Mei 6, 2024, wameanza mafunzo ya siku tatu yenye lengo la kuwaongezea mbinu za kuboresha utekelezaji wa majukumu yao mahala pa kazi. Mada zitakazotolewa wakati wa mafunzo hayo yanayofanyika Kibaha mkoani Pwani ni pamoja na masuala ya rushwa na ubadhirifu katika mamlaka za Serikali…

Read More