Wenye ulemavu watengewa Sh570 milioni za mikopo

Unguja. Katika kutatua changamoto za watu wenye ulemavu kuhusu upatikanaji wa mikopo inayotolewa na Serikali, Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA) na Baraza la Taifa la Watu Wenye Ulemavu Zanzibar wamesaini  hati ya makubaliano yenye lengo la kuhakikisha watu hao wanapata fursa bila vikwazo. Akizungumza leo Ijumaa, Julai 11, 2025, katika utiaji saini huo,…

Read More

Straika Coastal apiga hesabu za Simba

WAKATI safu ya ulinzi ya Simba ikiongozwa na beki Mcameroon, Che Malone Fondoh ikiwa haijaruhusu bao lolote katika mechi nne za Ligi Kuu Bara msimu huu, imeonekana kumpa kazi mpya mshambuliaji wa Coastal Union, Maabad Maulid, akianza kupuiga hesabu kali kabla ya kesho timu hizo kukutana. Maabad  ndiye mshambuliaji kinara wa Coastal, akiwa na mabao…

Read More

Askofu Sangu alivyomzungumzia Papa Francis

Shinyanga. Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Shinyanga, Msinyori Liberatus Sangu ameeleza kwa masikitiko namna anavyomuenzi na kumkumbuka Papa Francis. Akizungumza na waandishi wa habari leo Aprili 21, 2025 katika Kanisa Kuu Parokia ya Mama mwenye huruma Ngokolo iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga mkoani Shinyanga amesema kuwa, “Papa Francis ndiye alinifanya kuwa Msinyori (kufanya…

Read More

Tamaduni za kigeni chanzo ukatili wa kijinsia, mauji albino

NAIBU Waziri Mkuu, Dk. Dotto Biteko amesema vitendo vya mmomonyoko wa maadili vinavyotokea nchini ikiwamo mauaji ya watu wenye ualbino na mapenzi ya jinsia moja ni matokeo ya Watanzania kuuacha utamaduni wao na kuukumbatia wa mataifa mengine. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Biteko ameyasema hayo katika Tamasha la Utamaduni la Bulabo 2024 lililofanyika katika Kata…

Read More

Makundi yenye itikadi kali yanawaua raia Burkina Faso – DW – 18.09.2024

Tangu Februari mwaka 2024, HRW imesema kwamba  wapiganaji wa  itikadi kali  wamefanya mashambulizi saba, ambayo yaliua takriban raia 128 na kukiuka sheria za kimataifa za kibinadamu. Ilaria Allegrozzi, mtafiti mwandamizi wa shirika hilo katika kanda ya Sahel amesema kunashuhudiwa ongezeko la ghasia na mauaji vinavyoendeshwa na makundi yenye itikadi kali  nchini  Burkina Faso  na kwamba huo…

Read More

Hamisa na Baba Levo washinda tuzo

Mwimbaji Star Clinton Levokatusi Chipando Maarufu Kama Baba Levo Pamoja na mrembo Hamisa Mobetto wameshinda tuzo ya Influencers Bora wa Mwaka kupitia tuzo za Consumer Choice Awards Africa zilizotolewa Usiku wa Jana Baba Levo baada ya ushindi huo amefunguka kwa kusema “Mtanange ulikuwa Mzito sana, nawashukuru waandaaji wa Tuzo, ni mara yangu ya kwanza kugombea…

Read More

Kashai Mtafanya Biashara Kidijitali: Waziri Nape

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Stephen Byabato wametinga katika Soko la Kashai mjini Bukoba jana usiku na kushiriki kikao cha wafanyabiashara wa soko hilo. Wafanyabiashara wa soko hilo walikutana jana Julai 15, 2024 usiku kwa ajili kushiriki kikao…

Read More

Serikali yavuna Sh1.8 trilioni sekta ya uziduaji

Dar es Salaam. Serikali imevuna jumla ya Sh1.877 trilioni kutoka kwa kampuni 44 zilizohusishwa katika sekta ya madini, mafuta, na gesi, huku tofauti kati ya malipo na mapato ikiwa ni Sh402.41 milioni kwa mwaka wa fedha 2021/22. Hayo yamebainishwa leo na Alhamisi Septemba 12, 2024 na Waziri wa Madini, Anthony Mavunde alipokuwa akizindua ripoti ya…

Read More