Mtoto wa Mjini – 6

HUKU akiendelea kuwatazama kwa zamu vijana wale kutaka kuwakumbuka kama aliwahi kuwaona mahali, mzee Mangushi alijibu: “Marhaba…”Na baada ya kutambua sura zao zilikuwa ngeni machoni pake, akawauliza: “Niwasaidie nini?” “Kuna shida kidogo mzee wangu,” alisema mmoja wao na kumfanya mzee Mangushi kuutoa mwili wake wote nje ya mlango.“Shida gani tena?” alihoji uso wake ukitaliwa na wasiwasi.“Mimi…

Read More

Pingamizi la Lissu latupwa | Mwananchi

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imetupilia mbali pingamizi lililowasilishwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu. Lissu aliwasilisha pingamizi mahakamani hapo, Septemba 8, 2025 akihoji endapo  Mahakama Kuu, Masjala Ndogo Dar es Salaam ina mamlaka ya kusikiliza kesi ya uhaini. Uamuzi huo umetolewa leo, Septemba…

Read More

Ombwe la midahalo mjadala | Mwananchi

Dar es Salaam. Licha ya shangwe, shamrashamra na furaha zinazoshuhudiwa katika mikutano ya kampeni za uchaguzi, kukosekana kwa midahalo ya wagombea urais inayorushwa mubashara kunatajwa kuwa ombwe katika demokrasia ya Tanzania. Hii si ajali ya kisiasa ya msimu huu pekee. Ni utamaduni uliojengeka kwa zaidi ya miongo mitatu tangu kuanza kwa mfumo wa siasa za…

Read More

REA YAANZA USAMBAZAJI WA MAJIKO BANIFU 8,424 KIGOMA

Wakala wa Nishati Vijijini imeanza utekelezaji wa mpango mkakati wa kitaifa wa nishati safi ya kupikia ili kufikia lengo la zaidi ya asilimia themanini 80% ya watanzania ifikapo mwaka 2034 wawe wanatumia nishati safi ya kupikia nishati ambayo ni salama kwa mtumiaji na rafiki kwa mazingira. Akizungumza wakati wa ugawaji wa majiko katika Wilaya Kibondo…

Read More

Ubalozi wa Tanzania Afrika kusini wachunguza madai ya Mtanzania kushambuliwa

Dar es Salaam. Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini James Bwana amesema wanafuatilia kwa ukaribu tukio la kijana aliyedaiwa ni Mtanzania ambaye ameonekana akipigwa nchini humo huku akilazimishwa kufunga duka lake. Kupitia video fupi iliyotumwa mtandaoni kijana huyo wa kiume akiwa kwenye duka lake,alitakiwa kuonyesha nyaraka ambazo alizionyesha akitamka neno ‘valid’ikiwa na mana ziko sawa’…

Read More

Watuhumiwa wa Mauaji ya Shyrose Mabula Wauawa na Polisi Mbeya – Video – Global Publishers

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya, limetoa taarifa kuwa watuhumiwa watatu waliokuwa wakituhumiwa kumteka kisha kumuua Shyrose Mabula, mwanafunzi wa Shahada ya Sheria Chuo Kikuu cha Mzumbe, Tawi la Mbeya, Shyrose Mahande (21), wameuawa wakati wakijaribu kupambana na polisi wakati wa ukamataji wao. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, amewataja waliouawa kuwa ni Marwa Nyahega,…

Read More

Ahueni wakulima Kishapu wakikabidhiwa matrekta

Shinyanga.  Wakulima wilayani Kishapu mkoani Shinyanga wamekabidhiwa matrekta yenye thamani ya Sh238.4 milioni ili kuondokana na matumizi ya jembe la mkono na kuongeza uzalishaji kupitia kilimo na kukuza uchumi wao na taifa kwa ujumla. Akikabidhi matrekta hayo Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Peter Masindi leo Septemba 26, 2025 amesema hatua hiyo ni chachu ya kuwaletea…

Read More