MADAKTARI WANAWAKE WA KIISLAM TANZANIA WAZINDUA MFUKO WA KUSAIDIA HUDUMA ZA AFYA KWA WATOTO WENYE UHITAJI

Katika kuunga mkono falsafa ya UTU NA MAENDELEO inayoasisiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Madaktari Wanawake wa Kiislam nchini wamezindua rasmi Mfuko wa Kusaidia Huduma za Afya kwa Watoto Wenye Uhitaji, unaojulikana kama Muslimah Medical Support Fund (MMSF). Mfuko huu ni mwendelezo wa juhudi za kujitolea ambazo madaktari…

Read More

Chama la Mtanzania hali tete Oman

CHAMA la mshambuliaji wa Mtanzania Mgaya Ally (Salalah SC), linaloshiriki Ligi Daraja la Kwanza Oman liko kwenye hali mbaya katika msimamo wa ligi. Mgaya alijiunga msimu huu kwa mkataba wa mwaka mmoja akitokea Coastal Union ya Tanga ambako nako alitumikia nusu msimu. Hadi sasa ligi hiyo imepigwa mechi 26 na Salalah iko mkiani mwa msimamo…

Read More

Kauli ya Lissu yazidisha fukuto Chadema

Dar es Salaam. Katika hali inayoendelea kufukuta ndani ya Chadema, kufuatia kauli ya Makamu Mwenyekiti wa chama hicho (Bara), Tundu Lissu kwamba kuna fedha zimemwagwa katika uchaguzi wa ndani, kikao cha Kamati Kuu kinachosubiriwa ndio kinatajwa kutegua kitendawili. Kikao hicho ambacho hata hivyo tarehe yake haijapangwa, kinatarajiwa kuwa cha moto, huku hoja ya fedha kumwagwa…

Read More

DC Maswa akerwa uvamizi vyanzo vya maji, atoa onyo

Maswa. Mkuu wa Wilaya ya Maswa, Dk Vincent Anney, amewaonya watu wanaovamia maeneo ya vyanzo vya maji na kufanya shughuli za kibinadamu, ikiwamo ukataji wa miti kwa ajili ya kuchana mbao. Ametoa onyo hilo kufuatia tukio la kukamatwa kwa watu wawili, Guyashi Njile na Kelvin January, na Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Mjini…

Read More

Nicholas Gyan aingia anga za Pamba Jiji

PAMBA Jiji imeonyesha nia ya kunasa saini ya winga wa zamani wa Fountain Gate, Mghana, Nicholas Gyan kwa ajili ya kuwapa huduma yake msimu ujao 2025/26. Nyota huyo ambaye amecheza kwa mafanikio Simba hajamaliza msimu na timu ya Fountain Gate kutokana na changamoto ya malipo sasa ni mchezaji huru yupo nchini kwao Ghana. Chanzo cha…

Read More

Bado Watatu – 22 | Mwanaspoti

Kwa vile nilikuwa na ahadi na mtu, usingizi uliniruka. Nilikwenda kukaa sebuleni hadi saa tano na nusu nikiangalia televisheni. Baada ya hapo nilizima televisheni, nikaenda kupenua pazia la dirisha na kuchungulia nje.Nilikuwa nimezima taa, hivyo mtu wa nje asingeniona, isipokuwa mimi ndiye ningeweza kumuona. Nilisimama hapo dirishani kwa dakika nyingi nikiangalia nje. Nilikuwa ninataka nimuone…

Read More

Cheche alia na mambo mawili Chama la Wana

KOCHA Mkuu wa Stand United ‘Chama la Wana’ ya Shinyanga, Idd Cheche amesema kukosa umakini eneo la ulinzi na utumiaji sahihi wa nafasi za kufunga kimewaangusha katika mechi ya kwanza ya Ligi ya Championship msimu huu. Stand United ilianza vibaya msimu huu kwa kichapo cha mabao 2-1 mbele ya Songea United kwenye Uwanja wa Majimaji….

Read More

RC Malima atoa wito kwa wadu wa Kilimo, Mifugo na Mazingira kushiriki Samia Kilimo Biashara Expo 2024 Gairo

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima, amewataka wadau wa Sekta ya Kilimo, Mifugo na Mazingira kuchangamkia fursa ya Maonesho Makubwa ya Kilimo Biashara yanayotarajiwa kufanyika Wilayani Gairo kuanzia Oktoba 06, 2024 hadi Oktoba 12, 2024. Rai hiyo ameitoa Leo wakati wa Mkutano wake na waandishi wa habari kuzungumzia Maonesho hayo ambayo yatawaleta…

Read More